Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,351
- 9,838
Wakuu salaam!
Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!
Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.
Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..
Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!
Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..
Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?
Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!
Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.
Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..
Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!
Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..
Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?
Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time