Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Usrahell ile iloshinda vita ya siku sita inaishangaa usrahell hii inayochemka vita mwaka mzimaIngeachwa peke yake ungepiga mabomu mazito mazito.. je ulipendelea Vita ilipoanza? Maana bom moja lilikuwa linakalisha na kuacha kreta mitaa karibu 50 jiran... Marwkani ameingilia kati kuwauzia mabomu madogo madogo. Na ndie aliyesababisha kuisha vita... plan ya Israel ilikuwa ni mwezi wiki mbili tu no misaada, na maji, no umeme, no Internet yaani Hamas na Islamic jihad wangenyoosha mikono
Usrahell ya holiwudi ni kali kwel kwel kuliko hiii