Israel ingeachwa yenyewe one vs one na Hamas ingepigwa!

Israel ingeachwa yenyewe one vs one na Hamas ingepigwa!

Sasa Facts ziko all over, labda uniambie haujui zilipo nikudirect, sikuona sababu ya kufanya copy and paste ya numbers ambazo ukijigeuza google zipo, hapa JF zipo, Instagram zipo, Blumberg, Economist, CNN, Aljazeera, BBC, Reuters...kote huko zipo.
Nadhani huyo unayesema ana uwezo mkubwa atakuwa ameshaziona
Sasa kama hizo fact zipo ulileta bandiko lako huku la nini si ungetuambia tuingie Google tukasome. Umekuja kuleta porojo huku jukwaani unadhani wote huku ni wanywa kahawa. Hivi unajua hiyo Marekani yenyewe unayoizungumzia karibu kila sehemu inayohitaji akili kubwa imekamatwa na hao wayahudi unaodai sio lolote sio chochote. Sipo hapa kutetea watu ila kama watu wamekuzidi akili hata kama huwapendi inabidi ukubali tu hakuna jinni. Sasa nikuambie tu ufahamu Israeli hailindwi na Marekani au washirika wake kama unavydhani bali inalindwa na wayahudi ambao wametapaka karibu Ulaya yote na dunia nzima na wanaushawishi mkubwa wa kifedha na wakisiasa ziwe za nchi au za kidunia na ndio maana huwezi sikia taiga lolote likivaimia Israeli japo yupo katikati ya maadui badala yake vinatumika vikundi ambavyo ni ngumu mno kudeal navyo maana hujichanganya na raia.
 
Ukitaka kuielewa Israel weka Uislam pembeni kwanza! Usiwe mshabiki wa upande wo wote!
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Amka wewe utajikojolea
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Mbona hata hapo imepigwa pamoja na kusidiwa??
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
UKO SAHIHI
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Huo ndio ukweli wenyewe ila wazee wa taifa teule hasa wa tanzania hawawezi kukuelewa
 
Ukifanikiwa kujenga mtandao imara wa marafiki ambao hawawezi kukugeuka kutokana na mwingiliano uliopo, basi wewe champion of champions.

Waisrael kila walipofikia baada ya kusambaratishwa duniani kote baada ya kristo, kwanza waliishikilia imani yao, pili walijizatiti kutawala kwenye nyanja zote ikiwemo teknolojia, uchumi n.k.

Baada ya vita vya pili vya dunia walikimbia Marekani kwa wingi na kwa taarifa yako tu waisrael walioko Marekani ni wengi kuliko wanaounda taifa la Israel, na huko wametawala kila nyanja, sekta na kila idara.

So Marekani kumsaidia mwisrael siyo hiari bali ni lazima na ni wajibu wao.

Bila wayahudi kuwepo Marekani hakuna Marekani yenye nguvu. Tambua hilo wewe Ustaadh
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Muongo wewe
 
Hivi hizi habari za Hamas hajapata supply yoyote ile huwa mnazitoa wapi?
 
Haya ni madhara ya kuvutia bangi chooni kwenye jua kali
 
Sasa kama hizo fact zipo ulileta bandiko lako huku la nini si ungetuambia tuingie Google tukasome. Umekuja kuleta porojo huku jukwaani unadhani wote huku ni wanywa kahawa. Hivi unajua hiyo Marekani yenyewe unayoizungumzia karibu kila sehemu inayohitaji akili kubwa imekamatwa na hao wayahudi unaodai sio lolote sio chochote. Sipo hapa kutetea watu ila kama watu wamekuzidi akili hata kama huwapendi inabidi ukubali tu hakuna jinni. Sasa nikuambie tu ufahamu Israeli hailindwi na Marekani au washirika wake kama unavydhani bali inalindwa na wayahudi ambao wametapaka karibu Ulaya yote na dunia nzima na wanaushawishi mkubwa wa kifedha na wakisiasa ziwe za nchi au za kidunia na ndio maana huwezi sikia taiga lolote likivaimia Israeli japo yupo katikati ya maadui badala yake vinatumika vikundi ambavyo ni ngumu mno kudeal navyo maana hujichanganya na raia.
Hiyo unayoongea ni moja ya conspiracy theories, Kuna nyingine pia inayoamini remnants wa manazi ndio wanayoiongoza US..
Hii theory nayoiongea ilitamba Sana kwenye assassination ya JFK.. rais wa Marekani wakati huo.

Base yourself in the ongoing situation, achana na habari za kutikirika
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Wewe unaota mchana, kinachowasaidia hamas wazidi kupambana mpaka tone la mwisho ni dini na ile ahadi ya mabikira 72 inawapa hamasa ya kuona kufa akiwa anapambana ni jambo jema. Israel ni nuclear state, ukivamia kwa lengo la kuwafuta wanakufuta wao, hapo hata cluster bomb hawakutumia, au mabomu yenye simu za kemikali bado. Kwa hiyo dodn't underestimate Israel, nchi kama Misiri, Jordani wanajua umuhimu wa kuishi kwa amani na Israel.
 
Ukifanikiwa kujenga mtandao imara wa marafiki ambao hawawezi kukugeuka kutokana na mwingiliano uliopo, basi wewe champion of champions.

Waisrael kila walipofikia baada ya kusambaratishwa duniani kote baada ya kristo, kwanza waliishikilia imani yao, pili walijizatiti kutawala kwenye nyanja zote ikiwemo teknolojia, uchumi n.k.

Baada ya vita vya pili vya dunia walikimbia Marekani kwa wingi na kwa taarifa yako tu waisrael walioko Marekani ni wengi kuliko wanaounda taifa la Israel, na huko wametawala kila nyanja, sekta na kila idara.

So Marekani kumsaidia mwisrael siyo hiari bali ni lazima na ni wajibu wao.

Bila wayahudi kuwepo Marekani hakuna Marekani yenye nguvu. Tambua hilo wewe Ustaadh
Hauna tatizo..
Shida tu hauna elimu sahihi!

Creation ya taifa la Israel hapo ilipo ni Matokeo ya maamuzi ya vita kuu ya pili ya dunia.
Hawajapigana kwenye hiyo vita kumbuka! Ila yalikuwa maamuzi ya kibinadamu kuwapa sehemu ya kuishi.

Joe Biden sio muisrael, Obama hakuwa muisrael, Trump sio muisrael
USA wanaipambania Israel kwasababu wao ndio walioitengeneza na wana commitment ya kuilinda...

Na Hilo eneo ambalo kijiografia Israel ipo ni eneo muhimu Sana kibiashara na kiusalama...
 
Hiyo unayoongea ni moja ya conspiracy theories, Kuna nyingine pia inayoamini remnants wa manazi ndio wanayoiongoza US..
Hii theory nayoiongea ilitamba Sana kwenye assassination ya JFK.. rais wa Marekani wakati huo.

Base yourself in the ongoing situation, achana na habari za kutikirika
ongoing situation ipi sasa wanimekupa fact hapo za wayahudi hivi unadhani ingekuwa Israel ni dhaifu kama unavyodai wew angewezaje kuishi katikati ya maadaui? Na kama unadai anasaidiwa kwani hao maadai zake hawasaidiwi? Mbona wameshindwa muangamiza. Ingekuwa vyema wajitokeze wapigane sio kuvizia vizia. Kila siku tunasikia wayahudi wameua maafisa na waandamizi mbalimbali wamaadui zake tena hadi kwenye ubaloz lakin hatusikii adui akifanya hivyo ndani ya Israel zaid ya kulenga raia.

Naomba uelewe mimi sitetei wayahudi hapa na wala sisaport vita ila nimepinga andiko lako ulilolileta humu hali ukijua kabisa humu ndani kuna watu wanafuatilia mambo na wanauelewa mpana. Nilitegemea useme ni kwa nini Israel ni dhaifu na uoneshe uimara wa hao maadui zao upo katika nyanja zipi.
 
Back
Top Bottom