Israel ingeachwa yenyewe one vs one na Hamas ingepigwa!

Israel ingeachwa yenyewe one vs one na Hamas ingepigwa!

Endelea kujidanganya, soma historia ya vita ya israel na misri & syria
Unajua what happened kwenye vita ile hadi israel akapata ushindi wa mezani? Wamshukuru traitor mfalme wa morocco ambaye aliahidiwa vitu vingi ikiwemo northern sahara
Umesoma report ya vita kati ya israel na hezbollah 2006 hadi marekani akaenda kuomba ceasefire UN? Nenda kasome uone hawa jamaa zako taifa teule walivyokuwa weupe ingia american army forces library utapata full details ndugu zako walivyoaibika
Unajua kwamba irone dome ambayo ndio tegemeo la israel imeshakuwa dhaifu na marekani wanalijua hilo ndio maana wanamwambia huyu mjinga netanyahu kwamba kwa sasa hatoweza vita atulie wajipange ,hadi mageneral wa jeshi la israel wameshaanza kumgeuka na kumpinga netanyahu hadharani
Hallevi jana kamwambia netanyahu publicly hizi habari za kuimaliza hamas zimefail na haziwezekani, netanyahu kaitisha press na kumjibu ,ingawayeye mtoto wake yupo marekani huku wanajeshi wanazidi kufa kwa ujinga wa mtj mmoja, ndio maana gantz aliresign kwa ujinga huu
 
Hauna tatizo..
Shida tu hauna elimu sahihi!

Creation ya taifa la Israel hapo ilipo ni Matokeo ya maamuzi ya vita kuu ya pili ya dunia.
Hawajapigana kwenye hiyo vita kumbuka! Ila yalikuwa maamuzi ya kibinadamu kuwapa sehemu ya kuishi.

Joe Biden sio muisrael, Obama hakuwa muisrael, Trump sio muisrael
USA wanaipambania Israel kwasababu wao ndio walioitengeneza na wana commitment ya kuilinda...

Na Hilo eneo ambalo kijiografia Israel ipo ni eneo muhimu Sana kibiashara na kiusalama...
Hujajibu hoja zangu ila umeonyesha mapenzi yako zaidi kwa upande unaoushabikia , so umekubaliana na mimi kwamba taifa la Israel popote walipo wameshika hatamu kwenye nyanja zote except kwenye utawala wa kisiasa. Wanasiasa uliowataja ni kweli si waisraeli ila haiondoi ukweli kwamba waisraeli wachache waliopo Marekani wameshika maeneo muhimu na wana influence kubwa sana.

Kabla ya taifa la Israel kuwepo tena mashariki ya kati Palestina lilikuwa koloni la mwingereza so labda ungeniambia waingereza ndio waliingia mkataba na Israel ningekuelewa.

Yote kwa yote sababu kubwa inayofanya mataifa mengi hasa ya magharibi kuwa upande wa Israel ni hiyo niliyokueleza hizo sababu zako ni propaganda tu ambazo hazina ushahidi wowote
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Rubbish 🚮🚮🚮
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Lakini Hamas si ana Allah muweza wa yote na kila kitu?
 
Sasa ndio muda wa kuisaga wiki mbili mzozo uishe anakubali vipi kupoteza wanajeshi wote hao na wengine walemavu? Acheni kumdanganya ni taifa la Mungu huku watu wake wanateseka pia UK US wao wanakula bata na kutuma vi dola 50 watoto wa wazayuni wafe. Husikii wameanza kugoma kuingia jeshini
Hamas wameisoma number
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Na kama sio Iran na Yemen HAMAS ingelikuwachukua muda gani ku survive?
 
Na HAMAS wasisaidiwe na Iran
Brother Hamas hawana kifaru, hawana ndege ya kurusha, ukiacha maroketi wanna silaha ndogondogo tu!
Israel anapewa silaha za kila namna na USA, France, UK, Canada, Germany n.k anapewa silaha za kisasa , Yani kila anachotaka! Na akipungukiwa kidogo analalamika kuliko mtoto wa mwisho aliyegusiwa kipande chake cha mkate.

Pamoja na yote hayo bado amekalishwa, ndani ya uongozi wenyewe wanapoteana!
Hamas wako palepale, wamening'inia na korodani za mtu!

What if Hamas angepata nusu tu ya silaha wanazopata Israel?
What if?
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Hata HAMAS hawako peke yao
 
Umeiona Jiografia ya Gaza?
Hamas anapataje silaha kwa Jiografia hiyo?
Unapata wapi muda wa kuwajibu walokole wa Tanzania wao na Israeli hauwaambii kitu . Hamas chakula tu ni shida achilia mbali hizo silaha . Hamas wangepata japo 0.0001 ya silaha za myahudi mbona maisha yangekuwa magumu sana
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Mmeanza kubadili chorus eeeeeh? Wacha Hamas akione cha mtema kuni!
 
Wakuu salaam!

Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake!

Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila ukitafuta taarifa utaona, ISIS, Hamas, Hezbollah wana stable structure za uongozi compared to Israel.

Israel ni taifa la 'kufikirika' / a state create in myth..
Najua waliyopitia nyuma kihistoria na hasa Chini ya Hitler
That didn't make them a superior race.. just a tragic experience..

Wao wamejitanabaisha Kama watu wenye uwezo mkubwa wa kiintelijensia, sio kweli!
Ni kwasababa propaganda machine yao inafanya kazi vizuri ndio maana wanaonekana wanavyoonekana!

Iangalie Gaza kwenye ramani..all surrounded!
Toka vita ilipoanza Hamas hajapata supply yoyote..
Kumbuka wanaitwa wanamgamba, it's not a regular army..

Imekuwaje Hawa magwiji wa kiintelijensia, knowing kwamba Hamas is their immediate threat, wakawa outsmarted kiasi hicho?

Hawa jamaa mikwara mingi ila ni wa kawaida sana!
Kama sio US wangekua kwenye dust bin long time
Hii vita imeisumbua Israel kwa sababu inabidi achambue wapiganaji ndani ya raia, na hakuna vita ngumu kama hii. Ikiwa ni total war, wiki tu Israel anasagisha Palestina nzima.
 
Kama unasubiri Islael ipigwe - utaaubiri saana ndugu.

Hao HAMAS naona kamasi zishawatoka sasa watakuwa na adabu.
 
Ni rais wa iran aliyedondoshwa na ukungu,akiwa mfadhili mkuu wa hayo makundi ya kigaidi.
Kwahio unaota kwamba iran hata endelea kusapoti hao wanaume washoka?
Iran itaendelea kuwapa sapoti wanaume wa maana ili waweze kuwatwanga wazayuni wa holiwudi
 
Back
Top Bottom