Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Usrahell ile iloshinda vita ya siku sita inaishangaa usrahell hii inayochemka vita mwaka mzimaIngeachwa peke yake ungepiga mabomu mazito mazito.. je ulipendelea Vita ilipoanza? Maana bom moja lilikuwa linakalisha na kuacha kreta mitaa karibu 50 jiran... Marwkani ameingilia kati kuwauzia mabomu madogo madogo. Na ndie aliyesababisha kuisha vita... plan ya Israel ilikuwa ni mwezi wiki mbili tu no misaada, na maji, no umeme, no Internet yaani Hamas na Islamic jihad wangenyoosha mikono
Sio kuchambua wapiganaji tu hii vita usrahell kachambua mpaka karanga na haitakaa ishinde dhidi ya hama na vidume wengineHii vita imeisumbua Israel kwa sababu inabidi achambue wapiganaji ndani ya raia, na hakuna vita ngumu kama hii. Ikiwa ni total war, wiki tu Israel anasagisha Palestina nzima.
Mnapenda kuropoka halaf munajikuta munajuuua wenyeweSasa kama hizo fact zipo ulileta bandiko lako huku la nini si ungetuambia tuingie Google tukasome. Umekuja kuleta porojo huku jukwaani unadhani wote huku ni wanywa kahawa. Hivi unajua hiyo Marekani yenyewe unayoizungumzia karibu kila sehemu inayohitaji akili kubwa imekamatwa na hao wayahudi unaodai sio lolote sio chochote. Sipo hapa kutetea watu ila kama watu wamekuzidi akili hata kama huwapendi inabidi ukubali tu hakuna jinni. Sasa nikuambie tu ufahamu Israeli hailindwi na Marekani au washirika wake kama unavydhani bali inalindwa na wayahudi ambao wametapaka karibu Ulaya yote na dunia nzima na wanaushawishi mkubwa wa kifedha na wakisiasa ziwe za nchi au za kidunia na ndio maana huwezi sikia taiga lolote likivaimia Israeli japo yupo katikati ya maadui badala yake vinatumika vikundi ambavyo ni ngumu mno kudeal navyo maana hujichanganya na raia.
Naukitaka usiielewe usrahell uweke ulokole na ukristo pembeni huwezi ukaielewa usrahellUkitaka kuielewa Israel weka Uislam pembeni kwanza! Usiwe mshabiki wa upande wo wote!
Aendelee tuu,kuna siku wataenda kupiga cheers na rais Raisi.Kwahio unaota kwamba iran hata endelea kusapoti hao wanaume washoka?
Iran itaendelea kuwapa sapoti wanaume wa maana ili waweze kuwatwanga wazayuni wa holiwudi