Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huo ujasiri unaouheshimu hamasi na kuwapa big up. Ndiyo unaosababisha unaona watoto wanaokolewa kwenye majengo yanayoanguka kwa kudunguliwa na mabomIsrael bila Marekani haina chochote!
Biden…huyo Democrat mpenda amani asiye mbaguzi wa rangi, dini, wala jinsia…yeye kama kiongozi wa taifa kubwa linalolikingia kifua Israel, kwa nini aachie huu unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina uendelee?
Leo nimeona kuna kabinti kameokolewa kutoka kwenye jengo lililopigwa mabomu na hao wahalifu wa Israel. Imeniuma sana.
Lakini unajua nini…fcuk Biden!
Hawezi kumfokea huyo Netanyahu na kumwambia akome huo unyama wake?
Wachina na Warusi kwa nini wanaachia huu uhalifu uendelee? Au hawana ubavu kama wanavyodai?
Massive big up kwa Hamas. Ujasiri wao nauheshimu sana.
Acheni ukorofi, afu tusipangiane nani wa kumsapoti.Enzi za Nyerere tulikuwa na msimamo wa kitaifa wa wa kusimamia haki..
Leo unakuta mtanzania ana support Israel.. shame
We jahidina acha kutukana watu. Kwanza hayo mapalestina yalimsaidia idd aminiSiku hizi kuna Watanzania Wapumbavu sana ambao hawajui lolote kuhusu dhuluma na udhalimu mkubwa uliofanywa na unaoendelea kufanywa na Israel kwa Wapalestina ambao ulisababisha Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kuvunja uhusiano na Israel.
We jahidina acha kutukana watu. Kwanza hayo mapalestina yalimsaidia idd amini
Unaposema Israel bila Marekani haina chochote, it's because you're not seeing the bigger picture!Israel bila Marekani haina chochote!
Biden…huyo Democrat mpenda amani asiye mbaguzi wa rangi, dini, wala jinsia…yeye kama kiongozi wa taifa kubwa linalolikingia kifua Israel, kwa nini aachie huu unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina uendelee?
Leo nimeona kuna kabinti kameokolewa kutoka kwenye jengo lililopigwa mabomu na hao wahalifu wa Israel. Imeniuma sana.
Lakini unajua nini…fcuk Biden!
Hawezi kumfokea huyo Netanyahu na kumwambia akome huo unyama wake?
Wachina na Warusi kwa nini wanaachia huu uhalifu uendelee? Au hawana ubavu kama wanavyodai?
Massive big up kwa Hamas. Ujasiri wao nauheshimu sana.
Tena mchana kweupe kabisa. Nasema hivi Israeli piga hizo hedikwota za media uchwara zote na hakuna mbwa wa ICC atayekufanya kitu ili watu weusi somo liwaingie kuwa hizo mahakama wanayoililiaga si kitu bali kwa ajiri ya tawala flani flani za Africa, Asia, Latini Am na Ulaya Mash.Israel has destroyed the tower block housing Al Jazeera and the Associated Press news agency in Gaza.
They are doing this for one reason - to stop the truth being known about their assault on the Palestinian people. Share this and show the truth!
View attachment 1786517
Tena mchana kweupe kabisa. Nasema hivi Israeli piga hizo hedikwota za media uchwara zote na hakuna mbwa wa ICC atayekufanya kitu ili watu weusi somo liwaingie kuwa hizo mahakama wanayoililiaga si kitu bali kwa ajiri ya tawala flani flani za Africa, Asia, Latini Am na Ulaya Mash.
Mkuki kwa nguruwe mtamu eeh vipi hayo maroketi yanayorushwa israel je ni haki kuuawa kwa Waisraeli na maroketiKuna baadhi ya Watanzania Mkuu wanashangaza sana kuliita hili Taifa lililojaa dhuluma na udhalimu eti ni Taifa teule!
Leo nimeona kuna myahudi wa miaka 50 ameuawa na roketi iliyorushwa na magaidi ya kipalestina kwanini duniani inaacha kukemea huu unyama unaofanywa na wapalestina kurusha maroketi na kuuawa Waisraeli?Israel bila Marekani haina chochote!
Biden…huyo Democrat mpenda amani asiye mbaguzi wa rangi, dini, wala jinsia…yeye kama kiongozi wa taifa kubwa linalolikingia kifua Israel, kwa nini aachie huu unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina uendelee?
Leo nimeona kuna kabinti kameokolewa kutoka kwenye jengo lililopigwa mabomu na hao wahalifu wa Israel. Imeniuma sana.
Lakini unajua nini…fcuk Biden!
Hawezi kumfokea huyo Netanyahu na kumwambia akome huo unyama wake?
Wachina na Warusi kwa nini wanaachia huu uhalifu uendelee? Au hawana ubavu kama wanavyodai?
Massive big up kwa Hamas. Ujasiri wao nauheshimu sana.
Ukiondoa udini kwenye hili suala utaamka na kuona uonevu unaofanywa na hawa Israel. Inasikitisha kwa Mu Africa mweusi kuendelea kusapoti ukoloni.Single touch, double manifestation. Long live Israel, long live sons and daughters of Jacob.
Eti na wewe ni baba wa familia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena mchana kweupe kabisa. Nasema hivi Israeli piga hizo hedikwota za media uchwara zote na hakuna mbwa wa ICC atayekufanya kitu ili watu weusi somo liwaingie kuwa hizo mahakama wanayoililiaga si kitu bali kwa ajiri ya tawala flani flani za Africa, Asia, Latini Am na Ulaya Mash.
Huu uonevu unaofanywa na magaidi ya kipalestina kurusha maroketi israel na kuuawa Waisraeli na dunia kuangalia makosa ya israel haukubalikiUkiondoa udini kwenye hili suala utaamka na kuona uonevu unaofanywa na hawa Israel. Inasikitisha kwa Mu Africa mweusi kuendelea kusapoti ukoloni.