themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
Umeona myahudi mmoja tu ujaona watoto chini ya miaka 8 walivyouliwa uko Gaza?Leo nimeona kuna myahudi wa miaka 50 ameuawa na roketi iliyorushwa na magaidi ya kipalestina kwanini duniani inaacha kukemea huu unyama unaofanywa na wapalestina kurusha maroketi na kuuawa Waisraeli?
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Eti na wewe ni baba wa familia