Hao Wayahudi hawafuati hayo mafundisho ya Yesu, wanafuata Jino kwa jino. Kwa hiyo kuna haja ya kudeal nao jino kwa jino!
Myahudi ni jino kwa jino
[ORIGINAL] [emoji123][emoji123]
[emoji116][emoji116]
KUM. 19:20-21 Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako. Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Ila waisilamu wako vuguvugu
[emoji116][emoji116]
[emoji116][emoji116]
وَإِنْ تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَحِيمٌ
Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria, basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
(Suratul Taghābun, Na. 64, Ayat 14)
Na Yesu Ametufundisha Ukiwa Hivyo kama waislamu Mungu ATAKUTAPIKA [emoji24][emoji24]
[emoji116][emoji116]
UFU. 3:16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.
Hivyo waislamu wajiangalie Itakula kwao[emoji24][emoji24]
Sababu Neno la Mungu Yehova ni Thabiti
[emoji116][emoji116]
ISA. 55:11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
[HUO NI ULIMWENGU WA RORO]