Israel isingekuwa na Iron dome defense system ingekuwa habari nyingine

 
Ila Israeli wanatumia gharama kubwa sana kuziintercept hizo rockets za Hamas
Defence system ya Israel ni expensive , kiujumla jeshi lao ni expensive sana.
Hilo ndilo jeshi la kisasa.

Nyuma ya Israel kuna EU na Marekani.
 
Ila Israeli wanatumia gharama kubwa sana kuziintercept hizo rockets za Hamas
Gharama atakayotumia MO kwenda Zanzibar leo na kurudi kesho ni tofauti na gharama utakazotumia wewe
Gharama anayotumia rais wa Marekani kusafiri nje ya nchi ni tofauti na gharama watumiazo marais wa nchi nyingine.
Wakati Manara muajiriwa tu wa Simba anazimia mara mbili kwa tukio la Simba kufungwa bao 4 na Kaizer Chiefs, MO, bilionea aliyewekeza mabilioni yake mengi kweny timu hiyo anaaihirisha kununua Rolls Royce na kuamua kuwekeza zaidi kwenye club hiyo.

Unapoongelea ughali jiulize mara nyingi nyingi huo ughali unautafsiri vipi au unauringanashaje.
 
Magaidi yote ya Palestina yauawe na maeneo yao yote ya kupanga mipango yao imeshalipuliwa. Mungu ni mwema sana na mwenye nguvu.

Wanaingia kwenye vita wasiyoiweza hao watawadhaji.


View attachment 1787712
[emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji2815][emoji2815][emoji2815]
 
in 1948 Israelis expeled more than 70% of the inhabitants of that country to form their new state. And it has systematically contuinued to push t the limit the ones who remained so that they leave that land.
Unadhani kabla ya huo mwaka Israel hawakuwepo pale? Walikuwwpo miaka mingi sana na walikua wanapigana ili waachiwe ardhi yao
 
Unadhani kabla ya huo mwaka Israel hawakuwepo pale? Walikuwwpo miaka mingi sana na walikua wanapigana ili waachiwe ardhi yao
Walikuwepo jewish minorities pale na waliishi kwa amani kabisa na majority arabs wote ndani ya nchi yao.
Tatizo lilianza kwa hawa "walowezi" wa kiyahudi kutoka Ulaya waliokuja na kufukuza wenyeji wao
 
Tatizo mnachanganya mambo!
Ile kwamba inatetewa haina maana watu wanamaanisha Israel ni wakristo na inajulikana kuna madhehebu tofauti!
Mungu alishasema ukiilani Israel umelaaniwa ukiibariki utabarikiwa hiyo haina maana kwamba Israel lzm wawe waKristo au laa!Mungu hakuagiza hivyo eti wa Israel wakristo!
 
Taifa teule halilindwi na sala na maombi, linalindwa na sayansi.
Sisi na Taifa letu lenye uchawi wa mwenge kila kitu tunaamini kinaendeshwa kwa sala na maombi ndio maana hatutoboi
Maombi yana sehemu yake ni agizo pia ili kutimiza unabii mkuu!

Ila hili LA mwenge kwakweli mama kanichefua,sijui ni nn hii!
 
Aiseee[emoji848]
 
Kama Mungu aliwaacha Waisrael wakateseka kwa Hitler na Farao kwa miaka mingi kisha akawanusuru, basi atawanusuru wapalestina pia maana ni watu wake pia na Mungu si mbaguzi
Zile zilikua adhabu kwa uovu waliotenda kwa Mungu, na kupelekwa ulaya na roman empire ilikua ni adhabu ya kumkataa Yesu,

Sio kwamba Mungu anawapendelea anawapa wanacho stahili kama wakimuudhi
 
Hao Wayahudi hawafuati hayo mafundisho ya Yesu, wanafuata Jino kwa jino. Kwa hiyo kuna haja ya kudeal nao jino kwa jino!
 
A woman and a half, the one and only female prime minister to hold such a higher position for Israel. The founder of the state of Israel. Golda Meir. Her legacy lives
Very correct
 
Hao Wayahudi hawafuati hayo mafundisho ya Yesu, wanafuata Jino kwa jino. Kwa hiyo kuna haja ya kudeal nao jino kwa jino!
Myahudi ni jino kwa jino
[ORIGINAL] [emoji123][emoji123]
[emoji116][emoji116]
KUM. 19:20-21 Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako. Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

Ila waisilamu wako vuguvugu
[emoji116][emoji116]
[emoji116][emoji116]
وَإِنْ تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَحِيمٌ
Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria, basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
(Suratul Taghābun, Na. 64, Ayat 14)

Na Yesu Ametufundisha Ukiwa Hivyo kama waislamu Mungu ATAKUTAPIKA [emoji24][emoji24]
[emoji116][emoji116]
UFU. 3:16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

Hivyo waislamu wajiangalie Itakula kwao[emoji24][emoji24]

Sababu Neno la Mungu Yehova ni Thabiti
[emoji116][emoji116]
ISA. 55:11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.

[HUO NI ULIMWENGU WA RORO]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…