Israel itawamaliza Mateka wake kwa kushambulia Gaza wamewaua mateka wengine wawili kwa mabomu

Israel itawamaliza Mateka wake kwa kushambulia Gaza wamewaua mateka wengine wawili kwa mabomu

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.

Taarifa za hivi punde kutoka kwa Hamas zinadai kuwa mateka wawili kati ya watatu walioonyeshwa kwenye video yao ya awali wamekufa kutokana na mashambulizi ya Israel huko Gaza.

Wanajeshi wa Israel kutoka kitengo cha 36 baada ya kuondolewa Ukanda wa Gaza wameshangilia sana wengine wameondoka na vifaru. Toka mwanzo Hamas waliwambia Makaburi yenu yatakuwa Gaza.

IDF inasema kwamba hadi wanajeshi 5000 wanaweza kuchukuliwa kuwa vilema wa kudumu katika siku 100 zilizopita.

kama ni hivyo, askari wao wangapi wameuawa?

Hizi ni hasara ambazo hazijawahi kushuhudiwa katika jeshi la Israel
---
 
Wanajeshi wa Israel kutoka kitengo cha 36 baada ya kuondolewa Ukanda wa Gaza wameshangilia sana wengine wameondoka na vifaru. Toka mwanzo Hamas waliwambia Makaburi yenu yatakuwa Gaza.

IDF inasema kwamba hadi wanajeshi 5000 wanaweza kuchukuliwa kuwa vilema wa kudumu katika siku 100 zilizopita.

kama ni hivyo, askari wao wangapi wameuawa?!
Hizi ni hasara ambazo hazijawahi kushuhudiwa katika jeshi la Israel
 
Maneno ya shujaa mjingamjinga.
Msome Muhindi wa UK anajitoa ufahamu.
Houthis: Tutasimamisha meli kwa muda mrefu kama mauaji ya kimbari ya Israeli yanaendelea

Sunak: mashambulizi ya Houthi hayana uhusiano wowote na Gaza

Naapa kwa mungu hawa watu wanafikiri sisi ni wapumbavu. Tunahitaji mapinduzi. SASA.
 
Msome Muhindi wa UK anajitoa ufahamu.
Houthis: Tutasimamisha meli kwa muda mrefu kama mauaji ya kimbari ya Israeli yanaendelea

Sunak: mashambulizi ya Houthi hayana uhusiano wowote na Gaza

Naapa kwa mungu hawa watu wanafikiri sisi ni wapumbavu. Tunahitaji mapinduzi. SASA.
Hamas walitegemea kitatokea kitu gani walipowachokoza "Waizraeli watoa roho"?Walidhani watachinjiwa ngamia?
 
Back
Top Bottom