Israel itawapa makaazi takriban wakimbizi 30,000 kutoka Afrika kwa masharti kwamba watapigania jeshi la Israel huko Gaza

haya wale timu upinde dili hilo kule mambo yenu ya kupakuana yamehalalishwa kisheria...ILA HAMAS HATARI NA NUSUKIPIGO MPK WATU WANAOMBA KUWAPA WATU URAIA ILI WAKASAIDIE MAPAMBANO NA MAKOBAZI!!1
 
Sina mbavu kabisa...😀😃😄😁😆😅😂🤣😭
 
Ms
 
Vipi huko kwenye pepo ya allah bikira zimeisha?! Au na wewe unataka kuolewa
Wewe bikra yako ilitolewa na muuza chipsi au na Bodaboda? naona umeanza kuwaonea wivu wenye bikra zao,
Nenda kalipiganie taifa teule upigwe RPG ya kwenye trako.
 
Mbona Ukraine walikimbia zaidi ya Raia mil 6 kwenye vita dhidi ya Russia?!
The bottom line ni kwamba kwenye vita yoyote kuna raia watakimbia hasa wanawake na watoto.
 
Nenda Gaza kaokoe mateka upate ukazi wa Israel acha kupambana na Wapalestina JF na Tecno yako.
Wafuasi wa allah mnachuki sana na wayahudi ila hamtaweza kuwatoa miaka 1000.
 
Mayahudi wana akili kweli, wanajua watakaorudi ni kama elfu 5 tu
 
Hapo kwa kuipigania Israel pamoja na kutoa incentives lakini hakuna atakayeenda au watapata wachache Sanaa.
Siku wakisema watu elf 30 wajitolee kwenda Gaza kusaidia na mipaka ikaachwa wazi waingie basi nakuhakikishia kwamba ndani ya wiki moja watajitokeza watu si chini ya milioni 3 kutoka duniani kote.
na hao watu wala hawatahitaji kulipiwa nauli, nauli watajilipia wenyewe na wala hawatahitaji kupewa uraia. Yani wataenda kuisaidia Palestine bila ya malipo wala incentive yeyote ile.

Na kamwe hawatakaa wakaruhusu watu wakajitolee kuwasaidia Palestine kwa sbb wanajua impact yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…