Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Israhell iliita mpaka jeshi la akiba kupigana na wanaumeHiyo siyo vita, ni special military operation (SMO).
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Israhell haina tofauti na M23
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israhell iliita mpaka jeshi la akiba kupigana na wanaumeHiyo siyo vita, ni special military operation (SMO).
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hv papa kama asingesema ubarikiwe ungebarikiwa? [emoji848]Haya mavitu huwa unaandika andika una uhakika gani yalitendeka, una uhakika gani kulikua na huyo muarabu Muhammad ambaye unamubudu kwa nguvu zote hizi, muarabu asingekuja kubaka wazee wetu Pwani hata huo uislamu usingeujua.
Kwani mkishabarikiwa hua mnapewa nini nyie watu[emoji848]Kenge wewe unaamini story za Muddy malaya ambaye alioa mtoto wa miaka 9. Muddy ni pedophile
Alokwambia kama binaadamu wote sawa nani [emoji3]Binadam wote ni sawa imani yako isikudanye.
Ulivyozaliwa wewe ni sawa alivyozaliwa yule, imani umeikuta tu katika jamii uliyozaliwa.
Huwezi kujihesabia haki wakati kifo na hatima ya kifo huijui. Ni vile tu mnajitoa fahamu.
Binadam na jamii iliyostarabika ni ile inayoishi kwa wema na kuwatendea mema wengine kama vile yoyote angependa kutendewa
Mafundisho yenu kwa sababu yanafundishwa kwa mihemuko na ubinafsi yanafungamana sana na ugaidi, ukatili na ubaguzi. Ndio maana jamii na mataifa ya kiisilam yanashida sana hata ninyi kwa ninyi.
Kama kweli huyo muddy anafurahia mnachokifanya basi hafai kwa jamii iliyostarabika. Lazima apigwe tu ila kmaa mnafanya kwa matamanio yenu. Mungu awasamehe sana.
Uislam unahusikaje hapo?. Mbona Saudi Arabia ni waislam pia?Kulikua na kafiri mkubwa akiitwa Abujahal wakati wa mtume. Aliuchukia uislam kuliko wewe lakini alikufa mdomo wazi na kuuacha uislam unakuwa kwa kasi
Kwasababu aliamua kushusha kwa lugha aloishusha yeyeKuna lugha ngapi duniani? Nani aliziumba hizo lugha? Quran imeshushwa(kama mnavyosema) katika lugha gani? Na kwanini aliyeumba hizo lugha hakushusha katika lugha zote
Uliwahi kufa ukajionea kilichopo huko?Jionee huruma ukifa ukiwa sio muislam
Mtume wa Mungu hawezi oa binti wa miaka 9. Uislam ni uongo na ushetani..mamaeeHuyo mtoto alikua mjukuu wako mbona inakuuma baba yake kamuozesha wewe kinakuwasha nini.. au ulitaka uolewe wewe huo ni wivu sasa
Ona jinsi Kamasi wanavyo waterrorize watu wa Gaza; kweli Israel ndiye Mkombozi wao aliyeletwa na MunguKiukweli waarabu washukuru sana wanapambana na Israel maana ingekua Urusi au Wachina wasingekua na hizi huruma, wao hupiga kitu kinachoitwa carpet bombing, Israel wana uwezo wa kusambaratisha kila kitu ndani ya siku moja, ila inawabidi wawe na huruma kwa watoto na kina mama. ambao pia magaidi ya dini hujificha nyuma yao.
Sasa hapa Israel wanafanya jitihada za kuandaa hema zitakazotumika kuishi wananchi wa kawaida ili atakayebaki Rafah asije kulaumu, patapigwa bila huruma maana ndio ngome ya mwisho ya HAMAS.
====================
Amid growing international concern over the Israel Defense Forces’ plans to conquer the Gaza Strip’s southernmost city of Rafah, Israel has drawn up an evacuation plan for civilians along the coast, according to a Tuesday report.
The Wall Street Journal reported that the plan envisions 15 sites containing 25,000 tents each across Gaza, running from the southern edge of Gaza City down to the Al Mawasi area north of Rafah.
Israel has presented the plan to Egypt in recent days, the report said.
Samahani sheikh! Hiyo sentesi sisi tumekuumbeni inamuhusisha Allah na nani? Maana huwa mnasema Mungu ni mmoja tu na hana washirika“Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana mwanamme na mwanamke na tukakufanyeni mataifa na makabila ili mtambuane. Hakika mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Allaah ni yule mwenye kumcha Allaah zaidi.”[1]
Asiyekuwa mwarabu akiwa ni mwenye kumcha Allaah zaidi basi yeye ndiye mbora. Kinyume chake mwarabu akiwa ndiye mwenye kumcha Allaah zaidi basi yeye ndiye mbora. Ubora, utukufu na hadhi inategemea na kumcha Allaah. Yule ambaye atakuwa ni mwenye kumcha Allaah zaidi yeye ndiye mbora. Ni mamoja ni mwajemi au mwarabu.
Maswala mengine mwisho utajiuliza mwenyewe. Wewe mbona mkubwa hivyo ulitokaje ktk sehemu ndogo ? Utasema hukuzaliwa weweSamahani sheikh! Hiyo sentesi sisi tumekuumbeni inamuhusisha Allah na nani? Maana huwa mnasema Mungu ni mmoja tu na hana washirika
Cha ajabu mpaka Allah na Malaika zake wanamuombea mtume.Sasa si bora yeye kafa mdomo wazi kuliko mtume wenu mnaemuombea mpaka leo kwa makosa aliyofanya