Israel kuandaa hema 25,000 zitakazoishi watu wa Rafah kabla kupapiga

Haya mavitu huwa unaandika andika una uhakika gani yalitendeka, una uhakika gani kulikua na huyo muarabu Muhammad ambaye unamubudu kwa nguvu zote hizi, muarabu asingekuja kubaka wazee wetu Pwani hata huo uislamu usingeujua.
Hv papa kama asingesema ubarikiwe ungebarikiwa? [emoji848]
 
Alokwambia kama binaadamu wote sawa nani [emoji3]
Binaadam tuna mionekano sawa ila hatuwezi kua sawa
Hushangai rais analindwa ana msafara ila wewe unalindwa nanani[emoji3]
Ndio kama ilivyo dini duniani kuna dini nyingi ila dini ya maana yakueleweka naya ukweli ni Uislamu kama sio muislamu ujue moto unakuhusu
 
Kulikua na kafiri mkubwa akiitwa Abujahal wakati wa mtume. Aliuchukia uislam kuliko wewe lakini alikufa mdomo wazi na kuuacha uislam unakuwa kwa kasi
Uislam unahusikaje hapo?. Mbona Saudi Arabia ni waislam pia?
 
Kuna lugha ngapi duniani? Nani aliziumba hizo lugha? Quran imeshushwa(kama mnavyosema) katika lugha gani? Na kwanini aliyeumba hizo lugha hakushusha katika lugha zote
Kwasababu aliamua kushusha kwa lugha aloishusha yeye
 
Huyo mtoto alikua mjukuu wako mbona inakuuma baba yake kamuozesha wewe kinakuwasha nini.. au ulitaka uolewe wewe huo ni wivu sasa
Mtume wa Mungu hawezi oa binti wa miaka 9. Uislam ni uongo na ushetani..mamaee
 
Ona jinsi Kamasi wanavyo waterrorize watu wa Gaza; kweli Israel ndiye Mkombozi wao aliyeletwa na Mungu

View: https://x.com/AviKaner/status/1757764291430691105?s=20
 
Samahani sheikh! Hiyo sentesi sisi tumekuumbeni inamuhusisha Allah na nani? Maana huwa mnasema Mungu ni mmoja tu na hana washirika
 
Samahani sheikh! Hiyo sentesi sisi tumekuumbeni inamuhusisha Allah na nani? Maana huwa mnasema Mungu ni mmoja tu na hana washirika
Maswala mengine mwisho utajiuliza mwenyewe. Wewe mbona mkubwa hivyo ulitokaje ktk sehemu ndogo ? Utasema hukuzaliwa wewe
 
Sasa si bora yeye kafa mdomo wazi kuliko mtume wenu mnaemuombea mpaka leo kwa makosa aliyofanya
Cha ajabu mpaka Allah na Malaika zake wanamuombea mtume.
Utawasikia "Yaswalunna nnabii"
Ziko dini za ajabu sana sana. Lakini hii inaongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…