Israel kushindwa kuimaliza Gaza na kuikalia hadi siku ya leo, angeingia vitani na Ukraine angetoboa?

Israel kushindwa kuimaliza Gaza na kuikalia hadi siku ya leo, angeingia vitani na Ukraine angetoboa?

Mayahudi bhana!! Wanakamata hovyo Wapalestina wa watu mitaani! Wanawavua nguo, wanawapigisha magoti na kuwafunga vitambaa usoni! Halafu wanasambaza picha zao mitandaoni, na kuwaaminisha watu eti hao ni Hamas!!! 😁
 
Mayahudi bhana!! Wanakamata hovyo Wapalestina wa watu mitaani! Wanawavua nguo, wanawapigisha magoti na kuwafunga vitambaa usoni! Halafu wanasambaza picha zao mitandaoni, na kuwaaminisha watu eti hao ni Hamas!!! 😁
waarabu wenzako wameshakubali kwamba, miongoni mwa wale waliokamatwa, wapo magaidi ya hamas yalivyovamia siku ile. ila wewe mndengereko unakuja na story zako. wale watabadislishana muda si mrefu na mateka na watarudi. jino kwa jino. 30% ya wale waliokamatwa wamekuwa confirmed walikuwa magaidi, na kama hawatachinjwa basi watapata adhabu kifungo cha maisha, au ala watabadilishana mateka.
 
Habari wana jukwaa hili la kimataifa.Ni moja ya platform nzuri sana hapa JF.

Hii thread ipo katika mfumo wa swali, swali ambalo litazua mjadala ndani yake kila mmoja anaweza kueleza vile anavyoweza ili kulijibu hilo swali.

Mods naomba huu uzi usiunganishwe na nyuzi zingine kwa maana hazifanani hata kidogo.

Ikiwa inakaribia kutimia miaka miwili tangu mgogoro Urusi na Ukraine uanze tumeshuhudia mengi sana katika huu mgogoro lakini kubwa ni kuona Urusi bado anaendelea kupambana kutimiza malengo yake ya military operation aliyoianzisha. Kwa wale pro Nato wamesema mengi sana ambayo siwezi kuandika hapa lakini kubwa kuliko yote ni Udhaifu wa Rusia katika operation hiyo.

Russia anapambana na nchi kubwa sana ulaya ambayo ina silaha nzito alizorithi kutoka Soviet lakini pia back up kubwa anayopewa kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Lakini Urusi bado anaendelea kupambana licha ya vikwazo alivyowekewa.

Kwa upande mwingine pale middle east kumezuka vita nyingine baina ya Israel na Hamas (from Gaza) ambayo inakaribia kutimia miezi 3 sasa tangu ianze, ikumbukwe Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas na sio oparesheni kama kule Urusi hivyo Israel aliingia na nguvu zake zote.

Wengi wetu tuliamini kwa uwezo wa IDF na uwezo wa MOSSAD kwa upande wa intelijensia tulitegemea Israel angemalizana na Hamas ndani ya siku 4 lakini naona imekuwa tofauti.Israel imekuwa inasifiwa sana hapa jukwaani kwa ubora wake katika mbinu na silaha alizokuwa nazo za kisasa.

Tumeona Israel ikingiza Air force yake Gaza na kutoka kadri anavyotaka, Swali kujiuliza Hamas wangekuwa na Ulinzi wa anga kama alivyo Ukraine angeweza kuingia na kutoka?

Maswali ni mengi. Lakini swali la msingi linabaki kuwa. Kama Israel angeingia vitani na Ukraine angeweza kutoboa kwa kuzingatia performance anayoionyesha pale Gaza(Kaeneo kadogo kama wilaya ya kigamboni).
Karibuni kwa majadiliano

Mleta mada umeleta mada nzuri sana kuliko unavyofikiri, mimi mwenyewe nilifubazwa na vyombo vya taharifa vya western juu ya uwezo wa hali ya juu wa israel ujasusi na kivita, kumbe nilikua najidanganya aisee

Vita sio movie za Hollywood ndugu zangu

Kule russia alivyoivamia ukraine, pale USA na Western walivyowela yale mavikwazo hasa ya Swift, nilisema sasa Russia kwisha habari yake, hatoweza endelea na vita itampasa akae mezani na Ukraine ila Russia imeniprove wrong

Wengi wetu tumearibiwa na movie za hollywood na western propaganda, uhalisia haupo ivyo
 
sasa wewe mwanasesere mmoja wa gongolamboto huko kipi ulichoweza? kweli leo mtu mwenye akili timamu anakuja kusema Israel imewashindwa Hamas? wakati wamekamatwa hadi wanatembezwa na chupi tupu wanaume wazima?
Tunasema wameshindwa kwa kuangalia objective zao kabla na baada ya kutangaza vita dhidi ya Hamas.Baadhi ya objective zilikuwa ni kuokoa mateka na kuwamaliza hamas pamoja na kuikalia Gaza.Hizo objective hapo juu hakuna hata moja iliyotumika hadi imefika hatua anafanya negotiations magaidi inaonekana ameshindwa in military perspective
 
Kilichopo mdomoni na kwenye makaratasi Ni tofauti na Hali halisi iliyoko battlefield. Ukikutana na wachambuzi mahaba Kama T14 Armata, HIMARS na Proved utakuta wakimnanga Urusi kwa upinzani alioupata Ukraine. Lakini wakati huo wakishindwa kuinanga the overated IDF ambayo tuliaminishwa ikitia mguu Ukraine lazima iikarishe chini Urusi.

Tena utakuta wachambuzi mahaba hawa wakisema Urusi amezidiwa hadi akafanya mobilization, lakini wanashindwa kusema mbona Israel nae kafanya mobilization ya raia laki 3 wakati anapambana na kikundi kidogo cha Hamas, je Israel nae kazidiwa hadi kufanya mobilization?

Anyway tukiacha mahaba niuwe, Kile kinachotokea uwanja wa vita ni tofauti na movie za akina Rambo, so don't underestimate your enemy.
 
Kusingekuwa na vyombo vya habari Israel angekuwa ameshafuta mavumbi na kuondoka Gaza.
😄 🤣 😂

Nchi zingine zijaribu kuwauwa watu wake vile ingewekewa vikwazo, huyu anauwa watoto na hafanywi kitu nabado anapewa silaha.

Hakuna taifa dhaifu duniani kama Israel mimi namini hata JWTZ tunamchapa Israel kwa ile mizinga ya saba saba
 
Israel anashindwa kutumia nguvu zake zote kwasababu Hamas anajificha kwa wapalestina watoto na wanawake anawatumia kama ngao na wafia dini mnazidisha kelele za kuituhumu Israel inaua wanawake na watoto utafikiri Hamas hawauawi , ila hamas wakimuua hata waisrael wawili mnawapongeza dunia nzima Israel ikiwaua Hamas ni wanawake na watoto
 
Hamas ana miliki home made weapons ambazo sio silaha nzito hata kidogo ana miundombinu dhaifu ya intelijensia kwenye kupata taarifa ikilinganishwa na Ukraine ambaye anapewa intelligence na NATO.Lakini bado Israel ameshindwa kumaliza hii vita ndo hapo kunapozua maswali mengi kuhusu uimara wake
RPG Hamas anazotumia kupiga vifaru vya Israel vimetengenezwa urusi acheni unafiki na uwongo
 
Habari wana jukwaa hili la kimataifa.Ni moja ya platform nzuri sana hapa JF.

Hii thread ipo katika mfumo wa swali, swali ambalo litazua mjadala ndani yake kila mmoja anaweza kueleza vile anavyoweza ili kulijibu hilo swali.

Mods naomba huu uzi usiunganishwe na nyuzi zingine kwa maana hazifanani hata kidogo.

Ikiwa inakaribia kutimia miaka miwili tangu mgogoro Urusi na Ukraine uanze tumeshuhudia mengi sana katika huu mgogoro lakini kubwa ni kuona Urusi bado anaendelea kupambana kutimiza malengo yake ya military operation aliyoianzisha. Kwa wale pro Nato wamesema mengi sana ambayo siwezi kuandika hapa lakini kubwa kuliko yote ni Udhaifu wa Rusia katika operation hiyo.

Russia anapambana na nchi kubwa sana ulaya ambayo ina silaha nzito alizorithi kutoka Soviet lakini pia back up kubwa anayopewa kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Lakini Urusi bado anaendelea kupambana licha ya vikwazo alivyowekewa.

Kwa upande mwingine pale middle east kumezuka vita nyingine baina ya Israel na Hamas (from Gaza) ambayo inakaribia kutimia miezi 3 sasa tangu ianze, ikumbukwe Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas na sio oparesheni kama kule Urusi hivyo Israel aliingia na nguvu zake zote.

Wengi wetu tuliamini kwa uwezo wa IDF na uwezo wa MOSSAD kwa upande wa intelijensia tulitegemea Israel angemalizana na Hamas ndani ya siku 4 lakini naona imekuwa tofauti.Israel imekuwa inasifiwa sana hapa jukwaani kwa ubora wake katika mbinu na silaha alizokuwa nazo za kisasa.

Tumeona Israel ikingiza Air force yake Gaza na kutoka kadri anavyotaka, Swali kujiuliza Hamas wangekuwa na Ulinzi wa anga kama alivyo Ukraine angeweza kuingia na kutoka?

Maswali ni mengi. Lakini swali la msingi linabaki kuwa. Kama Israel angeingia vitani na Ukraine angeweza kutoboa kwa kuzingatia performance anayoionyesha pale Gaza(Kaeneo kadogo kama wilaya ya kigamboni).
Karibuni kwa majadiliano
kwahiyo Urusi ni dhaifu aliyekubali amani na chechenyia baada ya kushindwa kuwamaliza ?
 
Hata Urusi akitaka ana weza kuigeuza Ukraine kichwa chini miguu juu ndani ya nusu saa tu hivyo hoja yako haina mashiko.
hujaelewa lolote , sio nyuklia , Israel anahofia sheria za vita ila hamas hawajali hilo , hamas wakikushika wanakuua bila kujal ww ni nan ila israel akifanya hivyo kelele ni nying maana wao wanatambulika na sheria za kimataifa
 
Back
Top Bottom