unaamin kuwa hamas wanaweza iteka afrika nzima ? ukizitoa nchi kiarab kaskazin na SA , waliobakia wote wakiungana kwa hamas wanasanda ndio maana walimuua Mollel bila hofuHamas angekiwa na asilimia 10 tu ya silaha alizo nazo Ukraine ,sasa hivi wangekuwa Telaviv wana kunywa kahawa na akina Netanyau wangekuwa wamesha kimbilia Marekani.