Israel kutumia mbinu za Misri, Kujaza maji ya Baharini kwenye mashimo yote walimojificha Hamas

Israel kutumia mbinu za Misri, Kujaza maji ya Baharini kwenye mashimo yote walimojificha Hamas

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mkakati uliopo baada ya kukoswa njia mbadala ya kuwafumua mashimoni Hamas, IDF wamekuja na mkakayi wa kupump maji ya baharini kwenye mahandaki na tunnels za hamas huko gaza.

Njia hii iliwahi kutumiwa na Misri huko sinai kwa haohao Hamas. Walikuwa na mahandaki wakipitisha magendo ya silaha na vyakula. Na walikuwa wanaungana mkono na kundi la Muslim brotherhood ambalo lilikuwa linakampeni ya kichinichini kuua viongozi mbalimbali wa kijeshi. Huko Sinai hii njia ilifanikiwa.


Wachambuzi wanaona kuna faida ya njia hii maana ukitumia mabomu unaongeza hatari ya kuendelea kuua raia. Ila hasara kuna uwezekano hata mateka wamefichwa humo chini maana hapaingiliki kizembe. Watawaua humo na pia ili hayo majo yafanye kazi inabidi wajue geography ya hizo tunnels.
 
Hizo tunnels zenywe wanazijua??? Kama wanapiga hospital na kusema kuna tunnels inamaana wanaotea hawana uhakika na hawajui....mpaka sasa hivi wamechezea kichapo cha hatari walichofanikiwa ni kubomoa manyumba na kuua wanawake na watoto
 
Hamas wanaalama gani , Gaza wote ni Hamas Babu hamasi Baba hamasi bibi hamasi Mama hamasi na watoto wote hamasi hivyo wote ni hamasa
 
Hamas wanaalama gani , Gaza wote ni Hamas Babu hamasi Baba hamasi bibi hamasi Mama hamasi na watoto wote hamasi hivyo wote ni hamasa
Na waliwahi kuchaguliwa kwa uchaguzi wa kidemcrasia wakashinda. US na Israel zikagoma kuwatambua au zikagomea maamuzi ya wapalestina.
 
ila baadhi ya binadamu viumbe wa ajabu sana, ya nn kuishi ardhini kama fuko, kwa nn msitafute amani mkaishi kama binadamu wengine.
waislam na waarab ni jamii ya ajabu sana pamoja na kitabu chao kinafundisha chuki tu
 
We tamba tu kujidai kumkuza Natanyahu kama Mungu, lakini ukifika kaburini ndio utafahamu ukristo umekupeleka pabaya sana, we jidanganye tu ukifa eti umekufa pale kaburini pale kuna maisha Firauni ndio anapafahumu vizuri
Ukristo umekufanya nini shehe?
 
Mkakati uliopo baada ya kukoswa njia mbadala ya kuwafumua mashimoni Hamas, IDF wamekuja na mkakayi wa kupump maji ya baharini kwenye mahandaki na tunnels za hamas huko gaza.

Njia hii iliwahi kutumiwa na Misri huko sinai kwa haohao Hamas. Walikuwa na mahandaki wakipitisha magendo ya silaha na vyakula. Na walikuwa wanaungana mkono na kundi la Muslim brotherhood ambalo lilikuwa linakampeni ya kichinichini kuua viongozi mbalimbali wa kijeshi. Huko Sinai hii njia ilifanikiwa.


Wachambuzi wanaona kuna faida ya njia hii maana ukitumia mabomu unaongeza hatari ya kuendelea kuua raia. Ila hasara kuna uwezekano hata mateka wamefichwa humo chini maana hapaingiliki kizembe. Watawaua humo na pia ili hayo majo yafanye kazi inabidi wajue geography ya hizo tunnels.
View attachment 2822887
Hao mbumbumbu tu kieneo kidogo kama gaza ushindwe kuwaokoa watu 200 wanaoshikiliwa na mgambo, wawe serious kidogo siyo kutudanganya na movie zao kumbe weupe tu
 
Mkakati uliopo baada ya kukoswa njia mbadala ya kuwafumua mashimoni Hamas, IDF wamekuja na mkakayi wa kupump maji ya baharini kwenye mahandaki na tunnels za hamas huko gaza.

Njia hii iliwahi kutumiwa na Misri huko sinai kwa haohao Hamas. Walikuwa na mahandaki wakipitisha magendo ya silaha na vyakula. Na walikuwa wanaungana mkono na kundi la Muslim brotherhood ambalo lilikuwa linakampeni ya kichinichini kuua viongozi mbalimbali wa kijeshi. Huko Sinai hii njia ilifanikiwa.


Wachambuzi wanaona kuna faida ya njia hii maana ukitumia mabomu unaongeza hatari ya kuendelea kuua raia. Ila hasara kuna uwezekano hata mateka wamefichwa humo chini maana hapaingiliki kizembe. Watawaua humo na pia ili hayo majo yafanye kazi inabidi wajue geography ya hizo tunnels.
View attachment 2822887
Naamini hata maji yanawasha vizuri kiasi kwamba hata yakimkuta panyabuku lazima akimbie akimbie shimo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom