Israel kutumia mbinu za Misri, Kujaza maji ya Baharini kwenye mashimo yote walimojificha Hamas

Israel kutumia mbinu za Misri, Kujaza maji ya Baharini kwenye mashimo yote walimojificha Hamas

Kuchambisha vizee vya kizungu imekuathiri,kuvuta harufu ya mavi kwa muda mrefu huathitiri ubongo,Rudi nyumbani,hiyo pesa uliyopata inatosha kulima mahindi ya kuchoma
Hahaha wewe sijui ni mdada au dume
 
Mkakati uliopo baada ya kukoswa njia mbadala ya kuwafumua mashimoni Hamas, IDF wamekuja na mkakayi wa kupump maji ya baharini kwenye mahandaki na tunnels za hamas huko gaza.

Njia hii iliwahi kutumiwa na Misri huko sinai kwa haohao Hamas. Walikuwa na mahandaki wakipitisha magendo ya silaha na vyakula. Na walikuwa wanaungana mkono na kundi la Muslim brotherhood ambalo lilikuwa linakampeni ya kichinichini kuua viongozi mbalimbali wa kijeshi. Huko Sinai hii njia ilifanikiwa.


Wachambuzi wanaona kuna faida ya njia hii maana ukitumia mabomu unaongeza hatari ya kuendelea kuua raia. Ila hasara kuna uwezekano hata mateka wamefichwa humo chini maana hapaingiliki kizembe. Watawaua humo na pia ili hayo majo yafanye kazi inabidi wajue geography ya hizo tunnels.
View attachment 2822887
Hao raia wao wanaoshikiliwa mateka watapona ?
 
Ukristo umekufanya nini shehe?
Hilo libususulo Jiwe kaaba lishapandisha Mashetani al mudy.. achana nalo lisije likakurushia na wewe... uislam ni ushetani humu anapata majibu yote na ushahidi from qoran lolote linalothibitisha uislam ni uongo,ujiga,upumbavu,uuaji,uongo taqiya, chuki na mabaya yote na uonevu na kunyima watu haki zao ndio uislam kamili... full evidence kwenye Koran na anajua tunamchana wazi many times akija na majigambo yake kama hayo ya ujinga... Hatuwezi kumuachia akaendelea kueneza uongo kwa jina la Uislam au allah the moon God
 
We tamba tu kujidai kumkuza Natanyahu kama Mungu, lakini ukifika kaburini ndio utafahamu ukristo umekupeleka pabaya sana, we jidanganye tu ukifa eti umekufa pale kaburini pale kuna maisha Firauni ndio anapafahumu vizuri
Wewe ulijuaje?
 
Back
Top Bottom