Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

Hio si vita hio ni genocide ukita kufahamu taifa lolote ndio mwisho wake huwa linatumia mauwaji kwa watu wasio na hatia, sa Hamasi mnasema wako kwenye mashimo sa mnavunja majumba ya nini.

Au silaha ndio zipo Hospitali, makanisani, misikitini, au watoto na wanawake ndio wamezikali mtu anaye dhani Israel ndio kashinda vita ujuwe akapimwe akili hayuko sawa.

Angalia Mrusi huyo ndio anapigana vita angeweza vunja majumba ya Ukraine, lakini vita si kuvunja majumba na kuwauwa wasio na hatia.
Bado hamjasema hadi mtheme, piga magaidi hayo….
 
Nguvu ya mashambulizi ya Israel imeonekana hapo jana na mapema leo, ambapo mashambulizi ya ndege za kivita yameendelea usiku kucha huko Gaza ambako tayari eneo kubwa limekuwa kifusi.

Sambamba na Gaza shambulio jengine limetokea tena leo huko ukingo wa Magharibi ambapo kombora limeua zaidi ya wapalestina 12 pamoja na uharibifu mkubwa wa msikiti na nyumba za jirani

Mashambulio mengine kama hayo yameendelea kule nchini Syria ambako Israel inasema nchi hiyo inaiunga mkono Hamas.

Wanadiplomasia wanaojihusisha na masuala ya Mashariki ya Kati wamesema mashambulizi hayo yanatoa mtihani mkubwa kwa mikataba iliyofanya Israel na mataifa ambayo wanaitetea Palestina,

Marekani nayo imeshusha shehena kubwa ya silaha kwa jeshi la IDF la Israel kutoka ndege za mizigo zisizopungua 45 katika kipindi cha siku 10 huku meli nyingine ya kivita ikiwa iko njiani kuelekea eneo hilo la vita.

US military equipment pours into Israel, 45 cargo planes loaded with armaments sent to IDF

Hiyo Gaza imegeuka mji wa magofu na vifusi tu.

Wapalestina wanapitia kipindi kigumu mno kwa sasa.
 
Hawa wakristo akili hawana mtu anayesema Mungu ni binadamu mnadhani yuko sawa.

Israel hi vita hashindi hata avunje majumba yote ya Gaza

Nakuhakikishia Israel anatufuta njia ya kuomba vita iishe yeye na Amerika, lakini hawana jinsi wanaona aibu kusema vita hi tusimamishe sababu aliahidi lazima awamalize Hamasi.

Msikie huyu Gen wa US amesema Israel hawezi wapiga Hamasi hata kwa miaka 18 ni kichaa, nyie ndio mna akili kuliko yeye. Hata kama kuna mengine anaongea uwongo lakini ukweli Israel hawezi pigana na Hamasi


View: https://youtu.be/gPgDFHacUG4?si=QBkiXlCcfHL0mg8p


Israeli isingekuwa na mifumo ya Ulinzi wa Anga ingemalizwa na makombora toka Gaza 🤔
........
Iron dome kumbe ni mbwembwe za bure.Hamas walitumia mfumo wa kupiga kama mrusi.Unarusha kama mvua.Nyengine juu na nyengine chini.Iron dome ikipiga mahesabu kudungua ya juu za chini zinapita.Usicheze na nguvu za Mungu wa kweli.
Safari hii wakubali tu kutoa ardhi za watu au wakubali wabakie walipo na wapalestina nao waishi kwa amani.Kinyume na hivyo Jordan,Syria na Misri wakiamua kurusha vikombora vyao basi hakuna iron dome wala patriot zitakazoweza kuzidungua zote.
 
kuna uwezekano mkubwa wanamtafuta iran, kwasababu israel ameshasema raia wake waondoke kaskazini mwa israel, na hamas hana tofauti na hezbollah, akimaliza hamas, hawezi kukubali abaki na mzimu wa hezbollah, na akianza kupiga hezbollah tu anajua atakuwa amegusa mboni ya jicho la iran, iran angeweza kujibu mapigo, hapo ndipo ungekuwa mwisho wa iran. mark my words. huwezi kuleta masilaha mengi naman ile, madondosha ndege, madondosha makombora makubwa, madege mengi vile kwa ajili ya hamas ambao jeshi la israel peke yake wanamudu, hata hezbolah israel hahitaji msaada wowote, kwanza sasaivi ni marekani tu anamwomba asiingie Gaza ila vijana walishajiandaa kuingia hata sasa wakaokoe ndugu zao na kufuta kabisa hamas.
Hawa si ndo unaosema
1697983924885.png
 
Hili ndilo jambo linalopaswa kuwa mjadala. Gaza walipewa huduma zote na Israel: chakula, maji na nishati. Wakajenga miji vizuri tu na ukawepo utulivu. Ajabu ni kwamba hawakuthamini hilo
Wanachopewa ni kidogo kuliko wanachoibiwa.Maji ni kutoka visima vyao walivyofukuzwa,
 

View: https://youtube.com/shorts/A0nm0ZkOVCU?si=OWU_d-omk8--ATyq

Dunia nzima watu wenye akili wameisha fahamu Israel na America na Europe sio wote ni Muingereza, Faransa na Mjeruman ndio balaa ya hi dunia.

Je anacho ongea huyu balozi wa South Afrika, Taifa la shetani na US watakubali haki itendeke?

Israel ingekuwa taifa teule kama wanavyo sema vichaa wengine humu silingefata haki hivi mungu wa bibilia zenu, taifa lake ndio liwe above the law, kweli huyu mungu wa bibilia lazima awe kachanganyikiwa kusema Israel ni taifa lake 😂

Kumbuka kulikuwa na utulivu kabisa bila ya vita vyovyote. Ghafla kuna watu 260 wakauawa wakiwa wanacheza disko, hawakuwa wanajeshi, ni raia wasio na silaha wala mafunzo. Watu wanasahau hiki kitu
 
Israeli ni taifa jingine toka zamani za kale. Taifa dogo chini ya Daudi walimuua Goliathi, na majeshi yakakimbia mbele yake. Na chini ya ufalme wa Daudi, wafilisti na mataifa mengine yalipigwa vibaya sana. Leo hii, chini ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu, Gaza wanapigwa vibaya sana na bado moto unaendelea hadi kipindi cha mpinga Kristo ambapo itapigwa vita ya mwisho itayomaliza ulimwengu huu.
Wayahudi wanalindwa na wamarekani ili waeneze ushoga kwenye miji mitakatifu



View: https://youtube.com/shorts/Mk_lwBOqhx8?si=tFjNEy0ShtVa5y8g


[22/10 16:19] :
View: https://youtu.be/fNLYhCy1dEo?si=o0Ey79ZVCEMmF1nh
[22/10 16:20] :
View: https://youtu.be/-50F37qqLa8?si=kIphoik5iowvlbUw
[22/10 16:21]
View: https://youtu.be/786ophxylWs?si=8fb0CMg0GGGGhG_X
 
Wanachopewa ni kidogo kuliko wanachoibiwa.Maji ni kutoka visima vyao walivyofukuzwa,
Kama maisha yalikuwa yanaendelea vizuri, kulikuwa kuna haja gani ya kuwaua wacheza disko 260?
 
Kumbuka kulikuwa na utulivu kabisa bila ya vita vyovyote. Ghafla kuna watu 260 wakauawa wakiwa wanacheza disko, hawakuwa wanajeshi, ni raia wasio na silaha wala mafunzo. Watu wanasahau hiki kitu
Watu wakifirana ,laana iliwajia hiyo
 
Tuliwaambia mapema huyo Israel hachokozwagi kihuni hamkusikia
" Kazi ya kusamehe magaidi ni ya MUNGU , kazi ya kuyapeleka magaidi Kwa Mungu ni ya Israel" waziri wa ulinzi wa Israel.
Aisee! Alisema hivyo?
 
Kwa hiyo laana imewaendea wacheza disko au wapalestina?

Hao unaosema wakicheza disko , unajua ulinzi wa Israeli mipakani? Na vifaa vilivyowekwa mipakani ? Ilichukuwa masaa7 ndio habari Za kushambuliwa zilifika Telaviv. Wakati hata dakika 5 nyingi kwa helicopter kuingia kuja kuwafurusha Hamas lakini vitendo vya Sodoma viliwapa laana.

[22/10 16:19]
View: https://youtu.be/fNLYhCy1dEo?si=o0Ey79ZVCEMmF1nh
[22/10 16:20] :
View: https://youtu.be/-50F37qqLa8?si=kIphoik5iowvlbUw
[22/10 16:21] :
View: https://youtu.be/786ophxylWs?si=8fb0CMg0GGGGhG_X
 
Nadhani hapo Iran inatafutwa kwa udi na uvumba! Inatengenezewa visa ili kusudi ijiingize mzima mzima.
 
Nguvu ya mashambulizi ya Israel imeonekana hapo jana na mapema leo, ambapo mashambulizi ya ndege za kivita yameendelea usiku kucha huko Gaza ambako tayari eneo kubwa limekuwa kifusi.

Sambamba na Gaza shambulio jengine limetokea tena leo huko ukingo wa Magharibi ambapo kombora limeua zaidi ya wapalestina 12 pamoja na uharibifu mkubwa wa msikiti na nyumba za jirani

Mashambulio mengine kama hayo yameendelea kule nchini Syria ambako Israel inasema nchi hiyo inaiunga mkono Hamas.

Wanadiplomasia wanaojihusisha na masuala ya Mashariki ya Kati wamesema mashambulizi hayo yanatoa mtihani mkubwa kwa mikataba iliyofanya Israel na mataifa ambayo wanaitetea Palestina,

Marekani nayo imeshusha shehena kubwa ya silaha kwa jeshi la IDF la Israel kutoka ndege za mizigo zisizopungua 45 katika kipindi cha siku 10 huku meli nyingine ya kivita ikiwa iko njiani kuelekea eneo hilo la vita.

US military equipment pours into Israel, 45 cargo planes loaded with armaments sent to IDF

Palestina under Hamas ni kansa ambayo lazima ifutwe
 
Back
Top Bottom