Israel: Mawaziri Wawili watishia kujiuzulu na Kuvunja Serikali ikiwa Israel itasitisha Mapigano Gaza

Palestina mpaka hivi vita viishe itakuwa nyuma sana maana miundo mbinu yao imeharibiwa.
Lengo kuu kweli halijafikiwa ila hata hiyo hasira yao dhidi ya miundo mbinu na hamasi ni pigo sana kwa palestina watakuwa na kaz kubwa ya kujiform upya
 
Israel ikikubali ceesefire siku moja hamas watafanya tukio la october 7 tena
tena kubwa zaid na huenda Israel ikafeli mokononi mwa Hamas , leo hii solution ni kuangamiza kabisa Hamas , kwasasa Washirika wa Israel wamedhoofishwa kabisa hapo middle east , so tukio lijalo huenda Israel asiwe na back up ya haraka
 
Wewe mbona akili huna? Utawaungaje mkono hao magaidi wakati unafahamu fika kwamba waliwauwa watanzania wenzako kinyama kabisa hao magaidi ngoja Israel iwaue tu hawana maana kabisa.

Hao waliouwawa sijui 36,000+ mbona kiduchu sana ilitakiwa wawe wamefika walau mara kumi ya hapo.
 
Mzizi wa tatizo sio Hamas, alafu Hamas ni sawa na 'Ideology' tu huwezi kushinda kijeshi pekee
 
Hata mimi nitachukia sana, Israel wanapaswa kuendelea kusafisha pale mahali, sambaratisha kisha achia vizazi vipya sio hawa wafia dini brazaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…