Israel: Muswada watinga bungeni ukisema kumtaja Yesu kuwa kosa la jinai. Waziri mkuu asema hawana mpango wa kuendelea nao

Israel: Muswada watinga bungeni ukisema kumtaja Yesu kuwa kosa la jinai. Waziri mkuu asema hawana mpango wa kuendelea nao

Attachments

  • FB_IMG_1679671027505.jpg
    FB_IMG_1679671027505.jpg
    44.4 KB · Views: 5
Wajumbe wawili wa Bunge la Israel(Knesset) wametambulisha muswada ambao ukiidhinishwa itakuwa ni kinyume cha sheria kuwaambia watu habari za Yesu kwenye Taifa la Israel na hukumu itakuwa kifungo kwa kila atakaekiuka.

Waandishi wa muswada huo, Moshe Gafni na Yaakov Asher ni kutoka jamii ya Orthodox. Ni miongoni mwa watu muhimu kwenye Bunge hilo lenye siti 64 linaloongozwa na waziri mkuu, Benjamin Netanyahu,

Kama ikipitishwa, adhabu itakuwa mwaka mmoja ukijadiliana na mtu mzima na miaka miwili ukijadiliana na mtoto chini ya miaka 18.

CHANZO=> Christian


View attachment 2568097

========

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kupitia akauti yake ya Twitter amesema Taifa hilo halitapitisha Sheria yeyote dhidi ya jamii ya Wakristo.

View attachment 2568145
Hakuna kipya
Yesu kupingwa si habari mpya
Kuna mengi yatakuja zaidi ya hayo
Alipigwa hata kipindi ambacho alikuja kutimiza kusudi la Baba mbele ya ishara zote alizoonyesha na Miujiza bado alipingwa na akateswa
 
Its biblical walimkataa mwanzo wanamkataa na baadae mpaka atakaporudi mwenye na hawataijua amani ya kudumu mpaka huo muda
Wangemkubali Yesu saivi ndio ingekua habari ya kusisimua
 
Israel kawaida tu hiyo dini ya judism haijawahi kubali na ndo mana walimsurubisha Sasa kukili ni fedheha kwao thus why wakaza Hadi Leo Sio masihi yule
 
Urusi washezi wamepandikiza wabunge wadini Yao waje na ujinga ndani ya familia za waizrael
 
Wajumbe wawili wa Bunge la Israel(Knesset) wametambulisha muswada ambao ukiidhinishwa itakuwa ni kinyume cha sheria kuwaambia watu habari za Yesu kwenye Taifa la Israel na hukumu itakuwa kifungo kwa kila atakaekiuka.

Waandishi wa muswada huo, Moshe Gafni na Yaakov Asher ni kutoka jamii ya Orthodox. Ni miongoni mwa watu muhimu kwenye Bunge hilo lenye siti 64 linaloongozwa na waziri mkuu, Benjamin Netanyahu,

Kama ikipitishwa, adhabu itakuwa mwaka mmoja ukijadiliana na mtu mzima na miaka miwili ukijadiliana na mtoto chini ya miaka 18.

CHANZO=> Christian


View attachment 2568097

========

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kupitia akauti yake ya Twitter amesema Taifa hilo halitapitisha Sheria yeyote dhidi ya jamii ya Wakristo.

View attachment 2568145
Watakosa pesa ya utalii watakoma
 
Hakuna kipya
Yesu kupingwa si habari mpya
Kuna mengi yatakuja zaidi ya hayo
Alipigwa hata kipindi ambacho alikuja kutimiza kusudi la Baba mbele ya ishara zote alizoonyesha na Miujiza bado alipingwa na akateswa
Nawashangaa wanaodhani hii habari siyo ya kweli. Naona wewe umekiri kuwa ni ukweli na siyo ajabu.

Inawezekana mambo kama haya ndiyo yalipelekea Mkatoliki Hitler kuwauwa kwa kimbari hawa Ashkenazi huko Ujerumani?
 
Hivi huyu netanyau toka nipo mtoto namsikia ni waziri mkuu. Kuna mwingine alizimia miaka mingi sana nimemsahau jina ameuliwa miaka nya juzi hapa alikuwa anavaa ki lemba
 
Back
Top Bottom