Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #21
Hahaha yule waziri wa ulinzi mikwara mingi hamna umeme, hamna chakula, hamna maji, na tutaifanya gaza kuwa mji wa mahema tutakomboa mateka wetu kutoka kwa magaidi wa Hamas leo wanawatuma Qatar wawambembeleze magaidi😂hasira zao zimeshaisha. bora wayajenge watulie sasa.