Avicii
Senior Member
- Sep 16, 2023
- 102
- 173
Sasa hao 320 wamekufa na robo tatu ya Hamas hao wapalestina 12000 na basement za Hamas wamebaki kutia huruma wakati huo Israel Ina zaidi ya active soldier laki na ushenzi na wengine laki tano ambao wakiitwa mda wowote hawaapa Sasa hao 320 walioigeuza Gaza majivu hawafiki hatakarobo