Israel na Hamas zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kubadilishana mateka na wafungwa

Israel na Hamas zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kubadilishana mateka na wafungwa

Konachofanyika siyo ceasefire bali ni pause. Baada ya mateka kupokelewa, magaidi ya Hamas yanaendelea kutafutwa popote yalipo ili yamalizwe.
Israel si walisema hawawezi kukaa meza mojo na Magaidi wa Hamasi😂
 
kiukiweli, HAMAS kama adhabu tu wamepata, hata ukibisha ni kwamba unajikaza tu. makamanda wao wengi sana wameuliwa, majengo karibia yote yamefyekwa na israel hatayajenga. shida ni mateka, sio uwezo wa hamas. isingekuwa hivyo vita ingeshaisha kitambo. hata hivyo angalia kwanza warelease mateka afu uone kitakahotokea. utashangaa.
Uwezo mkubwaa wa kivita ni kuweza kukomboa, kukomboa ndo ushindi kwenye vita. Kama Israel mpaka sasa hajafanikiwa kukomboa mateka means kachemkaaa
 
Wanaukumbi.

Maafisa wa Hamas 'wanakaribia kufikia makubaliano ya mapatano' na Israel na kundi hilo limetoa majibu yake kwa wapatanishi wa Qatar, Ismail Haniyeh alisema katika taarifa.

Taarifa hiyo haikutoa maelezo zaidi, lakini afisa wa Hamas aliiambia Televisheni ya Al Jazeera kwamba mazungumzo yalijikita katika muda gani usitishaji huo utaendelea, mipango ya kupeleka misaada Gaza na kubadilishana mateka wa Israel wanaoshikiliwa na Hamas kwa wafungwa wa Kipalestina nchini Israel.

Pande zote mbili zitawaachia huru wanawake na watoto na maelezo yatatangazwa na Qatar, ambayo ni mpatanishi katika mazungumzo hayo, alisema afisa huyo, Issat el Reshiq.

Hamas inaaminika kuwa ilichukua karibu mateka 240 wakati wa shambulio la Oktoba 7.

Mirjana Spoljaric, rais wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC), alikutana na Haniyeh nchini Qatar siku ya Jumatatu 'kuendeleza masuala ya kibinadamu' yanayohusiana na mzozo huo, ICRC yenye makao yake Geneva ilisema katika taarifa yake. Pia alikutana kando na mamlaka ya Qatar.

ICRC ilisema haikuwa sehemu ya mazungumzo yenye lengo la kuwaachilia mateka, lakini kama mpatanishi asiyeegemea upande wowote ilikuwa tayari 'kuwezesha kuachiliwa kwa siku zijazo ambako wahusika wanakubali.'
Mazungumzo ya mpango unaokaribia wa kutekwa nyara yamezunguka kwa siku kadhaa.

Reuters iliripoti wiki iliyopita kwamba wapatanishi wa Qatar walikuwa wakitafuta makubaliano kwa Hamas na Israeli kubadilishana mateka 50 ili kurudisha usitishaji wa mapigano wa siku tatu ambao ungeongeza usafirishaji wa misaada ya dharura kwa raia wa Gaza, akitoa mfano wa afisa aliyearifiwa juu ya mazungumzo hayo.

==============

Hamas officials are 'close to reaching a truce agreement' with Israel and the group has delivered its response to Qatari mediators, Ismail Haniyeh said in a statement.

The statement gave no more details, but a Hamas official told Al Jazeera TV that negotiations were centred on how long the truce would last, arrangements for delivery of aid into Gaza and the exchange of Israeli hostages held by Hamas for Palestinian prisoners in Israel.

Both sides would free women and children and details will be announced by Qatar, which is mediating in the negotiations, said the official, Issat el Reshiq.

Hamas is believed to have taken around 240 hostages during the rampage on October 7.

Mirjana Spoljaric, president of the International Committee of the Red Cross (ICRC), met Haniyeh in Qatar on Monday to 'advance humanitarian issues' related to the conflict, the Geneva-based ICRC said in a statement. She also met separately with Qatari authorities.

The ICRC said it was not part of negotiations aimed at releasing the hostages, but as a neutral intermediary it was ready 'to facilitate any future release that the parties agree to.'

Talk of an imminent hostage deal has swirled for days. Reuters reported last week that Qatari mediators were seeking a deal for Hamas and Israel to exchange 50 hostages in return for a three-day ceasefire that would boost emergency aid shipments to Gaza civilians, citing an official briefed on the talks.

Israel and Hamas are 'close to reaching a truce agreement'

Mbona upande Israel uko kimya kuhusu haya mapatano?
 
Netanyahu alisema hawezi kukaa meza moja na magaidi Hamas leo kikowapi Israel anawatumia Qatar kuwabembeleza Hamas, pia Hamas wametoa masharti yao na Israel wameyakubali.
Kubwa jinga. Unatunga uongo ili iweje unasema Israel iachie wafungwa wanawake na watoto. Hao watoto nap no wafungwa? jishtukie wakati mwingine
 
Kwani wameanza leo kufanya makubaliano?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ufahamu historia ya Palestina wameisha teka sana Waisrael na wakatoa mashatti yao huko nyuma waliwahi kukataa masharti yao akajilipua nao Hamas siyo wajinga wanatoa mateka kwa hawamu.
 
Netanyahu alisema hawezi kukaa meza moja na magaidi Hamas leo kikowapi Israel anawatumia Qatar kuwabembeleza Hamas, pia Hamas wametoa masharti yao na Israel wameyakubali.
Fake news na propaganda za kipuuzi. Wafilisti wasio tahiriwa na magaidi ukae nayo mjadili nini?. Israel hawakuanzisha vita, hawakutaka vita, lakini uwe na uhakika watashinda hiyo vita.
 
Ningekua Mimi Benjamin huo upuuzi wa kukaa meza na magaidi eti kubadilishana mateka usingekuwepo! Magaidi yameua waisrael karibia 1500 wasiokua na hatia sembuse mateka 240?

Kwani hao 240 Wana thamani sana kuliko maelfu waliouawa tarehe 7? Pale Gaza ni Bomu Moja la kugeuza juu chini kiumbe yeyote aliepo pale habari yake inaishia hapo maisha yanaendelea
Alafu na mtu kama ww utakuta eti na ww unajiita umesoma 😃😃😃😃😃
 
Ufahamu historia ya Palestina wameisha teka sana Waisrael na wakatoa mashatti yao huko nyuma waliwahi kukataa masharti yao akajilipua nao Hamas siyo wajinga wanatoa mateka kwa hawamu.
Mfuasi wa mwamedi unajitekenya na kujicheka
FB_IMG_1700579192159.jpg
 
Israel si walisema hawawezi kukaa meza mojo na Magaidi wa Hamasi[emoji23]
Israel hawajaomba kukaa na Hamas, na kama ni kwa maamuzi yao pekee, siamini kama wangekubali.

Lakini mateka wanaoshikiliwa ni wa mataifa mbalimbali, na hayo mataifa ndiyo yamekuwa yakitoa shinikizo kwa Israel kukubali kubadilishana mateka ili watu wao waachiliwe.

Katika Ulimwengu wa mashirikiano, kuna wakati nchi inalazimika kutenda yale ambayo mataifa mengine yanataka hata kama siyo matakwa ya Taifa husika.
 
and 13,000 palestinians killed. na bado kuna mtu anasema wameshinda vita. hizo ni akili au ubwabwa?
Mkiambiwa hamna akili nakasirika, aliye kwambia kushinda vita ni kuuwa raia hovyo hovyo ni nani?
 
kuna war cabinet lazima waridhie na pia makubaliano yanaweza pingwa mahakamani ndani ya saa 24. Israel sio kama kikundi cha masheikh ubwabwa lazima mambo yaende kwa utaratibu.
Pumbavu
Utaratibu wa kulipua majengo ya raia na kuua watoto na wanawake
Mbwa ww
 
Kubwa jinga. Unatunga uongo ili iweje unasema Israel iachie wafungwa wanawake na watoto. Hao watoto nap no wafungwa? jishtukie wakati mwingine
Kumbe ulikuwa haujui ya kuwa Israel imewafunga jera mpaka watoto wa miaka 10 magerezani?
Kuanzia leo ndo ujue kuwa Israel ni taifa la hovyo.
 
Israel hawajaomba kukaa na Hamas, na kama ni kwa maamuzi yao pekee, siamini kama wangekubali.

Lakini mateka wanaoshikiliwa ni wa mataifa mbalimbali, na hayo mataifa ndiyo yamekuwa yakitoa shinikizo kwa Israel kukubali kubadilishana mateka ili watu wao waachiliwe.

Katika Ulimwengu wa mashirikiano, kuna wakati nchi inalazimika kutenda yale ambayo mataifa mengine yanataka hata kama siyo matakwa ya Taifa husika.
Kipindi wanasema hawawezi kukaa meza moja na magaidi walikuwa hawayajui hayo?
 
Netanyahu alisema hawezi kukaa meza moja na magaidi Hamas leo kikowapi Israel anawatumia Qatar kuwabembeleza Hamas, pia Hamas wametoa masharti yao na Israel wameyakubali.
Israel haina utamaduni wa kuongea na magaidi.

Tarajia kipondo mpaka mwisho.

Lengo ni kumpiga na kumtokomeza adui.
 
Kinachofanyika siyo ceasefire bali ni pause. Baada ya mateka kupokelewa, magaidi ya Hamas yanaendelea kutafutwa popote yalipo ili yamalizwe.
Pause ya nini waendelee kupigana wao si wamesema hawawezi kukaa meza moja na hamas au maji ya shingo [emoji1787]
 
Israel hawajaomba kukaa na Hamas, na kama ni kwa maamuzi yao pekee, siamini kama wangekubali.

Lakini mateka wanaoshikiliwa ni wa mataifa mbalimbali, na hayo mataifa ndiyo yamekuwa yakitoa shinikizo kwa Israel kukubali kubadilishana mateka ili watu wao waachiliwe.

Katika Ulimwengu wa mashirikiano, kuna wakati nchi inalazimika kutenda yale ambayo mataifa mengine yanataka hata kama siyo matakwa ya Taifa husika.
Acha kujitetea kubali maji yamezidi unga [emoji1787]
 
Back
Top Bottom