Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mpalestina wa Maneromango.Wayahudi wa buza hawaamini kama wana pigwa kwa mawe ya kulenga
Msemaji wa HAMAS kutoka Kimanzichana naona leo haukai wala hausimami kwa heka heka za kutupasha habari [emoji3]Muisrael mweusi wa Makete hataki makubaliano[emoji23]
Siyo kweli. Qatar ameombwa na Hamas, siyo na Israel wala US. Official statement ya Qatar, inasema Qatar imejitolea, haijaombwa na nchi yoyote. Lakini inafahamika kuwa makamanda wakuu wa Hamas wanaishi Qatar.Netanyahu alisema hawezi kukaa meza moja na magaidi Hamas leo kikowapi Israel anawatumia Qatar kuwabembeleza Hamas, pia Hamas wametoa masharti yao na Israel wameyakubali.
Na pia kuna mateka zaidi ya 3,000 wapo kwenye magereza ya Israel.Kwani mateka c wapalestina nani anapata hasara, wametekwa waisrael wanauliwa dazan ya wapalestina. Nasemaje kipigo kiendelee mpaka mabikra waishe waanze kugombania
Kinachofanyika siyo ceasefire bali ni pause. Baada ya mateka kupokelewa, magaidi ya Hamas yanaendelea kutafutwa popote yalipo ili yamalizwe.hasira zao zimeshaisha. bora wayajenge watulie sasa.
kuna war cabinet lazima waridhie na pia makubaliano yanaweza pingwa mahakamani ndani ya saa 24. Israel sio kama kikundi cha masheikh ubwabwa lazima mambo yaende kwa utaratibu.Israel imesema Makubaliano ya kuwaachia Mateka yanayofanyika Qatar yakihusisha Marekani, Hamas na Msuluhishi Qatar ni lazima kwanza yapate Kibali cha Cabinet ya Israel ndio yafanyiwe Kazi...
Naona umemua kujifariji weka link ya hiyo habari yako.Israel imesema Makubaliano ya kuwaachia Mateka yanayofanyika Qatar yakihusisha Marekani, Hamas na Msuluhishi Qatar ni lazima kwanza yapate Kibali cha Cabinet ya Israel ndio yafanyiwe Kazi...