Israel na Palestina ziko mbioni kusitisha mapigano

Israel na Palestina ziko mbioni kusitisha mapigano

Ukiona katafuta meza ya mazungumzo ujue ali tete dill lao ka kuichukua GAZA limekwama wananchi wamechagua kufia ktk ardhi yao uku nako Hamas awapoi wala kuishiwa silaha!
Hamas wanawakota peupe.
 
Bikira Maria hayupo kuzimu, labda kama unamaanisha mtume saw sawa utamkuta kuzimu anakusubiri
Hahaha unataka kumtoa Bikira Maria wakati ndiyo muhimu😂
 
Ukiona katafuta meza ya mazungumzo ujue ali tete dill lao ka kuichukua GAZA limekwama wananchi wamechagua kufia ktk ardhi yao uku nako Hamas awapoi wala kuishiwa si

IDF Wangapi wamekufa na bado akufikia lengo ata 1 jeuri imeondoka na Wajeda kibao!!! Afu kesho mizwazwa kashiba kande utasikia kwann waisrael waanaakili zaid. Wanunua udongo sijui lini watazinduka!!!!
Umelewa nini maana hata sijaelewa mantiki yako... viroba kwani vimerudi tena TZ?
 
Umelewa nini maana hata sijaelewa mantiki yako... viroba kwani vimerudi tena TZ?
Hamas spokesperson Abu Obaida claims Israeli army losses are much higher than reported.

The enemy will be defeated in northern Gaza, retreating in disgrace, achieving nothing but destruction and massacres against the innocent.
 
Hahaha unataka kumtoa Bikira Maria wakati ndiyo muhimu😂
Mudi SAW anakusubiri kwa hamu kubwa sana jiandae ili utakapofika kuzimu na kuanza kupigwa tukio usishangae.
 
🇮🇱🇵🇸⚡Israeli media: Netanyahu is preparing to present the agreement in Gaza for government approval tomorrow, Tuesday.

🚩 @ResistanceTrench
Trump hataki ucenge wa vita,yaani hela ya marekani ikateketee Gaza!!..biden mwisho jumapili kukaa ikulu
 
Na wanaotoa hela za kupigana wamegoma

1. Biden anaona legacy yake imeingia tope kwa kugoma kuizuia Israel kuacha kuua watu. Sasa hivi anafanya tiamaji tiamaji ili kujikosha.

2. Chama cha Democrats kinaona kama Trump akiingia madarakani akawezesha kuzuia mapigano chama cha Republicans kitakomba ujiko mkubwa zaidi wa kisiasa.

3. Baada ya Janga la Moto California na Jinsi ulimwengu unavyowapiga kejeli kuwa "Mmekataa ceasefire gaza sasa fire imewafuata kwenu tena kwa ile mitajiri nguli" nahisi imewafanya wajitafakari kidogo!
 
1. Biden anaona legacy yake imeingia tope kwa kugoma kuizuia Israel kuacha kuua watu. Sasa hivi anafanya tiamaji tiamaji ili kujikosha.

2. Chama cha Democrats kinaona kama Trump akiingia madarakani akawezesha kuzuia mapigano chama cha Republicans kitakomba ujiko mkubwa zaidi wa kisiasa.

3. Baada ya Janga la Moto California na Jinsi ulimwengu unavyowapiga kejeli kuwa "Mmekataa ceasefire gaza sasa fire imewafuata kwenu tena kwa ile mitajiri nguli" nahisi imewafanya wajitafakari kidogo!
Mimi niliona habari kuwa baada ya cease fire ya lebanon utafuata hii,na linatokea now,wanaompa jeuri hawataki vita iendelee
 
Netanyahu katema bungo bila kupenda mara siwezi kukaa meza moja na Hamas😂
Hakuna vita vya Israel na Palestina wewe mburula, vile ni vita dhidi ya Magaidi ya kiislam ya Hamasi.
 
Back
Top Bottom