Israel na Palestina ziko mbioni kusitisha mapigano

Israel na Palestina ziko mbioni kusitisha mapigano


Wametema BUNGO iyo Gaza atamiaka ile ya nyuma walipakimbia apo GAZA sio poa wangeendelea Kubakia apo vifo kila siku vya IDF ukweli waisrael wameshindwa Sababu kimkakati Israel ilitakiwa kuondosha Hamas ili waisrael wapate tumaini kuwa lile tukio alitokei tena lkn sasa nikama kuwaambia waisrael IDF Imeshindwa kulinda usalama wenu akili mnazo mtaamua wenyewe m'baki maeneo ya karibu na GAZA au muame maeneo ayo.
Wale waisrael wanye misimamo mikali siku mbaya kwao wataanza kujiuzuru viongozi wengi ktk serikali ya Netanyahu na watumishi wengine!! Hamas wataogopwa zaid kutokea sasa
 
Uko Israel ndio vilio huko nako kwa mfadhili ndio ivo kunawaka MOTO waisrael seem pekee kwasass wanaweza kwenda na kujitambulisha kama waisrael ni marekani tu lkn Ulaya apana awawezi adi kuwe na police kuuwa watoto kumewachanganya. Sana
 
Wametema BUNGO iyo Gaza atamiaka ile ya nyuma walipakimbia apo GAZA sio poa wangeendelea Kubakia apo vifo kila siku vya IDF ukweli waisrael wameshindwa Sababu kimkakati Israel ilitakiwa kuondosha Hamas ili waisrael wapate tumaini kuwa lile tukio alitokei tena lkn sasa nikama kuwaambia waisrael IDF Imeshindwa kulinda usalama wenu akili mnazo mtaamua wenyewe m'baki maeneo ya karibu na GAZA au muame maeneo ayo.
Wale waisrael wanye misimamo mikali siku mbaya kwao wataanza kujiuzuru viongozi wengi ktk serikali ya Netanyahu na watumishi wengine!! Hamas wataogopa zaid kutokea sasa.

View: https://x.com/humazhr/status/1879601184815927334?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Back
Top Bottom