Israel: Tupo tayari kwa vita kamili na Hezbollah/ Israel yashambulia kusini mwa Hezbollah

Israel: Tupo tayari kwa vita kamili na Hezbollah/ Israel yashambulia kusini mwa Hezbollah

100 others

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
4,766
Reaction score
16,191
Leo Israel imeshambulia kusini mwa Lebanon kwa ndege vita zake kama kitendo cha kulipiza tukio la Hezbollah kushambulia kaskazini mwa Israel kwa drone kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine 10 leo mapema.

Hezbollah walifanya shambulizi hilo kujibu kauli ya Netanyahu hapa juzi baada ya Netanyahu kusema kwamba Israel iimejiandaa na jibu la "nguvu mno" kwa mashambulizi kutoka kwa Hezbollah nchini Lebanon.

Ndege za Israel zimeshambulia kusini mwa Lebanon Jabal Rezlane katika sehemu ambayo inasadikika jeshi la Hezbollah limepiga kambi, Bado haijafahamika kama kuna majeruhi, vifo ama uharibifu wa miundombinu na vifaa.

Inavyoelekea vita inanukia.

Tutaendelea kupata taarifa zaidi.
 
Hahaha Israel hawezi kuingia vita na Hezbullah anakijua kitakacho mkuta.

Hio kupiga kwa ndege kushambulia target moja au mbili na yeye kapokea kipigo kingine leo sa ajabu iko wapi.

Hivi hujaona leo Hezbullah alivyo jibu hilo pigo au bado.
 
Hahaha Israel hawezi kuingia vita na Hezbullah anakijua kitakacho mkuta.

Hio kupiga kwa ndege kushambulia target moja au mbili na yeye kapokea kipigo kingine leo sa ajabu iko wapi.

Hivi hujaona leo Hezbullah alivyo jibu hilo pigo au bado.
Israel keshavamiwa na Nchi za Waarabu mara kadhaa za zote katoa Dozi za kutosha ndio iwe Magaidi ya Hezbola na Hamas?!
 
Israel keshavamiwa na Nchi za Waarabu mara kadhaa za zote katoa Dozi za kutosha ndio iwe Magaidi ya Hezbola na Hamas?!
Naona mpaa America analia anataka vita vusimame sasa kaona kila kukicha israel anazidiwa na Hamasi tu, iwe Hezbullah nadhani akijadai kuingia ile full war na Hezbullah ujuwe mwisho wake umefika
 

Attachments

  • VID-20240607-WA0050.mp4
    1.9 MB
  • VID-20240607-WA0049.mp4
    12.3 MB
  • VID-20240607-WA0054.mp4
    2.5 MB
Hahaha Israel hawezi kuingia vita na Hezbullah anakijua kitakacho mkuta.

Hio kupiga kwa ndege kushambulia target moja au mbili na yeye kapokea kipigo kingine leo sa ajabu iko wapi.

Hivi hujaona leo Hezbullah alivyo jibu hilo pigo au bado.
Kwa taarifa tu 2006 magaidi za hizbollah zaidi ya 300 yalifowadiwa kuzimu na upuuzi wao kutaka kupimana ubavu na Israel ukaishia hapo.
 
Hahaha Israel hawezi kuingia vita na Hezbullah anakijua kitakacho mkuta.

Hio kupiga kwa ndege kushambulia target moja au mbili na yeye kapokea kipigo kingine leo sa ajabu iko wapi.

Hivi hujaona leo Hezbullah alivyo jibu hilo pigo au bado.
Umeongea kishabiki sana
 
Hahaha Israel hawezi kuingia vita na Hezbullah anakijua kitakacho mkuta.

Hio kupiga kwa ndege kushambulia target moja au mbili na yeye kapokea kipigo kingine leo sa ajabu iko wapi.

Hivi hujaona leo Hezbullah alivyo jibu hilo pigo au bado.
Kitamkuta nini? Hata kabla hajavamia gaza si mlikuwa mnaongea hivi sasahivi wafia dini mnalia kuwaombea wapalestina
 
Leo Israel imeshambulia kusini mwa Lebanon kwa ndege vita zake kama kitendo cha kulipiza tukio la Hezbollah kushambulia kaskazini mwa Israel kwa drone kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine 10 leo mapema.

Hezbollah walifanya shambulizi hilo kujibu kauli ya Netanyahu hapa juzi baada ya Netanyahu kusema kwamba Israel iimejiandaa na jibu la "nguvu mno" kwa mashambulizi kutoka kwa Hezbollah nchini Lebanon.

Ndege za Israel zimeshambulia kusini mwa Lebanon Jabal Rezlane katika sehemu ambayo inasadikika jeshi la Hezbollah limepiga kambi, Bado haijafahamika kama kuna majeruhi, vifo ama uharibifu wa miundombinu na vifaa.

Inavyoelekea vita inanukia.

Tutaendelea kupata taarifa zaidi.
Nachompendea myahudi ukimchokoza atakujibu inavyostahili na kwa muda huo huo na utalia mwenyewe kutafuta huruma
 
Leo Israel imeshambulia kusini mwa Lebanon kwa ndege vita zake kama kitendo cha kulipiza tukio la Hezbollah kushambulia kaskazini mwa Israel kwa drone kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine 10 leo mapema.

Hezbollah walifanya shambulizi hilo kujibu kauli ya Netanyahu hapa juzi baada ya Netanyahu kusema kwamba Israel iimejiandaa na jibu la "nguvu mno" kwa mashambulizi kutoka kwa Hezbollah nchini Lebanon.

Ndege za Israel zimeshambulia kusini mwa Lebanon Jabal Rezlane katika sehemu ambayo inasadikika jeshi la Hezbollah limepiga kambi, Bado haijafahamika kama kuna majeruhi, vifo ama uharibifu wa miundombinu na vifaa.

Inavyoelekea vita inanukia.

Tutaendelea kupata taarifa zaidi.
Hezbollah wanachokitafuta watakipata wataiponza lebanon ichakae
 
Hahaha Israel hawezi kuingia vita na Hezbullah anakijua kitakacho mkuta.

Hio kupiga kwa ndege kushambulia target moja au mbili na yeye kapokea kipigo kingine leo sa ajabu iko wapi.

Hivi hujaona leo Hezbullah alivyo jibu hilo pigo au bado.
Hata kipindi anasema atashambulia gaza mlikua mnajitoa akili kama hivi sasa vimebaki vilio tu,wavaakobazi akili finyu sana
 
Back
Top Bottom