Nani kapiga kelele
View: https://x.com/adham922/status/1801519889875931284?t=DwYdZyEo84g-ELT3tiS8fA&s=19
Mnakumbuka mlipiga kelele oh Hamasi kachukua matekwa kawakuta kwenye Musical Festival toka lini Hamasi wakafata ngoma, walienda kwenye camp ya jeshi wakaburuta huyu msichana ambaye mlilalamika dunia nzima ni civilian yeye na wenzake wamebebwa kwenye musical Festival 😄
Vitoto mnavyo uwa vya kipalestine na wanawake, hao ndio Hamasi mnachekesha sana hahaha, kweli tukiwambia nyie jeshi la Israel ni mashoga mnavaa Pampers mnabisha.
Wanaume wanapigana na wanaume, nyie mnawacha Wanaume ambao ni [Hamasi] mnaenda pigana na vitoto vingine hata siku 40 havijafika, au havifiki hata miaka 12 au 15 na wanawake, vizee ndio mmajiona ma Simba haha 😄