Israel VS Iran kwenye sekta ya Uchumi

Israel VS Iran kwenye sekta ya Uchumi

View attachment 3123982

View attachment 3123983



Iran ina population kubwa ya watu, reserve kubwa ya mafuta, shaba, eneo kubwa lakini wamezidiwa Uchumi na Israel

Israel ni nchi ndogo Sana ki eneo na resources ndogo Sana lakini wamefanikiwa pakubwa kwenye kilimo, high tech, kijeshi.

Uchumi wao ni GDP 550 billion usd. Uchumi wa Iran ni GDP 450 usd.

Population ya Iran ni almost 90 million wakati Israel ni million 9.

Soma Pia: Rais wa Iran amuomba Ayatollah Khamenei kutokuishambulia Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litalopelekea kuanguka Dola hilo

Kwa takwimu hizo, Iran wana kazi kubwa. Budget Yao kubwa lazima wapeleke kuwahudumia wananchi

Israel Hana mzigo mkubwa kuwahudumia wananchi
Hakuna Mtu asiewajua Iran mkuu, historia yao ipo kila sehemu ni watu smart ambao miaka na Miaka wamekuwa mstari wa mbele kutengeneza Dunia yetu kama tunavyiijua leo.

Dunia ya leo kuna Nchi kibao zimewekewa Vikwazo na Hazitoboi angalia Zimbabwe, Venezuela, North Korea etc. Ila. Kwa Iran ni tofauti pamoja na kuwekewa Vikwazo jamaa ndio kwanza wanasonga mbele tu.

Iran ya Leo Malls kubwa kabisa Duniani zipo kwao, Wanatengeneza magari yao, wana Silaha zao karibia kila kitu wanajitegemea na wala hutoona wanaenda nchi za watu kutembeza Bakuli.

Bottom line hawa jamaa ni wasafi pengine level kama za wa Japan, ukiona unaenda sehemu mifereji ya maji machafu ni misafi to the point unaweza hata kuhesabu Michanga ujue hio ni peak of civilization na kila mwanadamu ambaye yupo civilized akifika Tehran lazima a dream kuishi sehemu kama hio.

So unaweza ukalinganisha GDP ukaona kama Israel yupo juu, ila Uchumi wa Israel ni feki na mostly unategemea misaada na mashirika ya nje. Proof kubwa Vita vidogo tu na Hamas immediately mwezi ule ule Uchumi ukashuka kwa asilimia 20, nchi yoyote kubwa yenye uchumi imara hili jambo haliwezi tokea, refer Urusi kuelewa.


Pia jambo jengine ambalo wengi hawaangalii wanapocompare nchi za wazungu/west na nchi zetu ni cost of living

Sehemu kama Iran Cost of living ni Around $300 kama laki 7 ama 8 hivi za kitanzania ukiwa nayo unaishi maisha mazuri, utakula vizuri na bata,

Ila Israel kupata same service utahitaji maelfu ya Dola, rent tu sehemu kama tel aviv inaweza fika $1600 kwa studio apartment.
 
Haya masuala watu mnaangalia numbers tu na mnafanya conclusion.

Iran ipo kwenye sanctions for almost 50 yrs. Lakini wamekomaa wamefika pale.

Kingine GDP per capita inakuwa kubwa ukiwa na population ndogo, jinsi nchi yako ina watu kidogo ndivyo uhakika wa mtu mmoja mmoja kuishi maisha bora unakuwa mkubwa.

Kuhusu budget ya kila mwaka sio issue, Russia ile pale ikizidiwa budget ya ulinzi na US mara 10 zaidi, cha ajabu inapambana na NATO countries zote.

Kwa haraka haraka Iran inaonyesha kuwa superior zaidi kuliko Israel, vikwazo walivyonavyo ingekuwa ni kwa Israel nadhani ingekuwa kama Burundi.

Vikwazo visikieni tu, unapowekea nchi vikwazo ina maana unaiua kiuchumi hadi kijeshi but Iran haijulikani wana survive vipi.

Kuwa na budget kubwa kijeshi haimaanishi utashinda wengine kivita, Iran ina natural resources nyingi kuliko Israel, wanatumia resources zao kutengeneza silaha, mitambo n.k hilo linafanya uzalishaji kiwa nafuu, huku Israel akinunua resources kutoka kwingine.

Hivyo Iran na budget yake ndogo inaweza tengeneza mitambo, silaha, vifaa n.k kwa gharama ndogo, sasa kuna haja ya kuwa na budget kubwa kijeshi?
 
Hakuna Mtu asiewajua Iran mkuu, historia yao ipo kila sehemu ni watu smart ambao miaka na Miaka wamekuwa mstari wa mbele kutengeneza Dunia yetu kama tunavyiijua leo.

Dunia ya leo kuna Nchi kibao zimewekewa Vikwazo na Hazitoboi angalia Zimbabwe, Venezuela, North Korea etc. Ila. Kwa Iran ni tofauti pamoja na kuwekewa Vikwazo jamaa ndio kwanza wanasonga mbele tu.

Iran ya Leo Malls kubwa kabisa Duniani zipo kwao, Wanatengeneza magari yao, wana Silaha zao karibia kila kitu wanajitegemea na wala hutoona wanaenda nchi za watu kutembeza Bakuli.

Bottom line hawa jamaa ni wasafi pengine level kama za wa Japan, ukiona unaenda sehemu mifereji ya maji machafu ni misafi to the point unaweza hata kuhesabu Michanga ujue hio ni peak of civilization na kila mwanadamu ambaye yupo civilized akifika Tehran lazima a dream kuishi sehemu kama hio.

So unaweza ukalinganisha GDP ukaona kama Israel yupo juu, ila Uchumi wa Israel ni feki na mostly unategemea misaada na mashirika ya nje. Proof kubwa Vita vidogo tu na Hamas immediately mwezi ule ule Uchumi ukashuka kwa asilimia 20, nchi yoyote kubwa yenye uchumi imara hili jambo haliwezi tokea, refer Urusi kuelewa.


Pia jambo jengine ambalo wengi hawaangalii wanapocompare nchi za wazungu/west na nchi zetu ni cost of living

Sehemu kama Iran Cost of living ni Around $300 kama laki 7 ama 8 hivi za kitanzania ukiwa nayo unaishi maisha mazuri, utakula vizuri na bata,

Ila Israel kupata same service utahitaji maelfu ya Dola, rent tu sehemu kama tel aviv inaweza fika $1600 kwa studio apartment.
Yeah uchumi wa stocks unachangia pakubwa Israel, ikitokea tu habari flani asubuhi asilimia za kutosha zinashuka.

Israel kuna makampuni mengi ya tech ambayo yapo tayari kwenye mambo ya stocks..

Mi huwa naona stocks ni kama uchumi bandia tu.
 
Back
Top Bottom