Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Watu wengi hawajui Historia ya hili Taifa la Mungu.
Israel ndio waliokabidhiwa Nchi ya Kanani , miaka zaidi ya 1800 kabla ya kurudi kwao Kanani mnamo mwaka 1948, walitawanyika katika mataifa mbalimbali kufuatia Uvamizi wa Rumi .
Uvamizi huo uliwafanya Waisrael kukimbilia uhamishoni, wapo waliokimbilia bara la Ulaya, wengine Marekan, wengine Urusi, Wengine Ethiopia n.k.
Ajabu la Mungu , waliporudi mwaka 1948, wakarudi vilevile kama walivyoondoka, walirudi wanajua kuongea Kiebrania ( kiyahudi), walirudi wanajua kuandika kiyahudi, walirudi wana Imani yao ileile ya kiyahudi, walirudi wakiendeleza misingi ya torati ileile.
Yaan karibu kuwaza kibinadamu, Kwa miaka 1878, wa Israel kwa mfano walikua Milion 20, Milion 2 watawanyike Nchin Urusi, Milion 5 watawanyike Ulaya , Milion 10 Marekan , n.k.
Kwenye hayo Mataifa, wanakumbana na Tamaduni Mpya, Lugha Mpya, aina ya Maisha mpya, na Dini mpya.
Zaidi ya yote zingatia, ni miaka 1878 yaan vizazi na vizazi na vizazi na vizazi.
Ajabu ni kua mwaka 1958, wanarudi wakiwa vilevile utadhan walikua hawaenda popote, kuanzia Tamaduni, Lugha, Imani, Mfumo wa Maisha n.k
Kibinadamu ni jambo gumu sana hilo, gumu mnoooooo .
Lakini kwakua Yupo MUNGU ,aliowapa Nchi yao, na kuwaahidi itakua Yao hata milele na milele, Hilo likafanikiwa.
BINAFSI NAUNGANA NA TRUMP, WAWATIMUE WAFILISTI KUTOKA NCHI YA KANANI, NCHI YA KANANI NI YA WAISRAEL , NA KAMA WAFILISTI WATAHITAJI KUSALIA KANANI, WASALIE KAMA WAHAMIAJI TU WASOKUA NA URITHI WOWOTE KANANI.
Sifa na Shukrani zilirudi Kwa Mungu wa Israel, Mungu wa kweli !!.
Israel ndio waliokabidhiwa Nchi ya Kanani , miaka zaidi ya 1800 kabla ya kurudi kwao Kanani mnamo mwaka 1948, walitawanyika katika mataifa mbalimbali kufuatia Uvamizi wa Rumi .
Uvamizi huo uliwafanya Waisrael kukimbilia uhamishoni, wapo waliokimbilia bara la Ulaya, wengine Marekan, wengine Urusi, Wengine Ethiopia n.k.
Ajabu la Mungu , waliporudi mwaka 1948, wakarudi vilevile kama walivyoondoka, walirudi wanajua kuongea Kiebrania ( kiyahudi), walirudi wanajua kuandika kiyahudi, walirudi wana Imani yao ileile ya kiyahudi, walirudi wakiendeleza misingi ya torati ileile.
Yaan karibu kuwaza kibinadamu, Kwa miaka 1878, wa Israel kwa mfano walikua Milion 20, Milion 2 watawanyike Nchin Urusi, Milion 5 watawanyike Ulaya , Milion 10 Marekan , n.k.
Kwenye hayo Mataifa, wanakumbana na Tamaduni Mpya, Lugha Mpya, aina ya Maisha mpya, na Dini mpya.
Zaidi ya yote zingatia, ni miaka 1878 yaan vizazi na vizazi na vizazi na vizazi.
Ajabu ni kua mwaka 1958, wanarudi wakiwa vilevile utadhan walikua hawaenda popote, kuanzia Tamaduni, Lugha, Imani, Mfumo wa Maisha n.k
Kibinadamu ni jambo gumu sana hilo, gumu mnoooooo .
Lakini kwakua Yupo MUNGU ,aliowapa Nchi yao, na kuwaahidi itakua Yao hata milele na milele, Hilo likafanikiwa.
BINAFSI NAUNGANA NA TRUMP, WAWATIMUE WAFILISTI KUTOKA NCHI YA KANANI, NCHI YA KANANI NI YA WAISRAEL , NA KAMA WAFILISTI WATAHITAJI KUSALIA KANANI, WASALIE KAMA WAHAMIAJI TU WASOKUA NA URITHI WOWOTE KANANI.
Sifa na Shukrani zilirudi Kwa Mungu wa Israel, Mungu wa kweli !!.