Israel wamepoteza vifaru 32 ndani ya siku 25

Jana tu Israel wenyewe wametangaza askari wao watano wamelamba mchanga, Sasa Israel akikutangazia maafa zidisha Mara nne
na hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
 
na hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
Israel wakitoa taarifa,zidisha Mara nne,wiki yote hii vifaru vyao vinapigwa na kuungua,wanapigana point blank na hizbullah, hizbullah hutoa taarifa askari walioua, Israel wanatoa baada ya wiki na taarifa ya tukio moja,kifaru chao kimoja Huwa na askari watano,Sasa kwa juzi tu vifaru sita viligongwa,kuja kusema Leo wamepoteza watano tu si kweli
 
na hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
Unaonesha hata unachokisoma kwangu na unachokisikiliza aljazeera hukielewi.

Kasikilize tena hao 5 wameuliwa lini na mimi nisome tena. Utaelewa tu ingawa ni kondoo.
 
Ndio maana naiitaga dini ya mazuzu
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-23-07-17-53-793_com.instagram.android.jpg
    309.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
    208.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2024-10-21-22-29-59-585_com.twitter.android.jpg
    249.8 KB · Views: 2
Kusema ni rahisi ila kufanya kwa kitendo ndio mtihani ulipo nakuomba fanya juu chini fuatilia bila bias Kati ya IDF na Hizbollah hio ground oparation utajifunza kitu kwamba anachoongea IDF ni pumba tupu. Akiweza kuindoa uongozi wa Iran hayo makundi anaweza kufanikiwa tena kwa msaada FULL wa Marekani,narudia tena neno FULL ya kila kitu asimamie marekani
 
Hezbollah wanatoa taarifa gani za
askari wanao kufa zaidi ya kudhibitisha vifo vya top official wao? iyo idadi Ya vifo iko wapi.?
 
na hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
kila siku unayoihesabu Hizbollah anafanya oparation Zaid ya 38 katika kambi za kijeshi na mpakani kuchoma vifaru na trucks hizo zote hazipigi wanawake na watoto ni direct kwa majeshi that is very possible
 
Unaonesha hata unachokisoma kwangu na unachokisikiliza aljazeera hukielewi.

Kasikilize tena hao 5 wameuliwa lini na mimi nisome tena. Utaelewa tu ingawa ni kondoo.
naomba unipe elimu bibi kuhusu ivo vifo vya askari wa IDF 200 inawezekana mm ndio sijaelewa
 
Musikiti TV
 
kila siku unayoihesabu Hizbollah anafanya oparation Zaid ya 38 katika kambi za kijeshi na mpakani kuchoma vifaru na trucks hizo zote hazipigi wanawake na watoto ni direct kwa majeshi that is very possible
katika uwanja wa vita hayo yote ya nawezekana but we don't deal with speculation we deals with numbers mfano ni vifo Gaza 42k lakn kwa idadi Ya watu walio kwenye vifusi number inazidi 50k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…