Doha kuna wese uchumi wa gaza unategemea mosaada ambayo vikundi vya kigaid vinaishi nayoYaani jiji k
kama majiji ya Doha na Dubai yametumia miaka 35 tu kujengwa gaza ndo ije ichukue miaka yote hiyo ?
Labda wakatae kutoa hela za ujenzi.
Hii ni video ya Propaganda za HezbollahSikushangai.
Kuna kondoo mwenye kuona na kusikia vizuri?
View: https://www.youtube.com/live/8TI_6oCEtMM?si=QhzG0_GjxQvhQq-S
Najua unajifurahisha tu!! Hii ni vita silni ajabu ya askari kumi kufa ingawaje ni namba kubwa sana kutokana na Jeshi la Israel lilivyo na umesahau kutuelezea Majeshi ya Israel yamepata mafanikio gani huko kusini mwa Lebanon kama hutaeleza basi mimi nitakueleza mafanikio waliyoyapata.Mpaka sasa Israel unakaribia mwezi imeshindwa kupenya kwenye ngome za Hizbullah kila jaribio la kisonga mbele linakabiliwa na vifo na majeruhi.
We msikilize Israel tu eti Hezbullah wanakimbia sa we baki na ubwege wako Hezbullah anawapiga mpaa ndani ya Israel wacha Lebanon.Unaweza kutupa uhakika kuwa Israel huko Lebanon anapigwa au unapo bwabwaja wewe hapa ndipo Israel inapigwa? Kwa taarifa yako tu huko Lebanon magaidi wa Hezbollah wanapigwa sana na wengi wameuwawa na wengine kukimbia na kuacha shehena kubwa ya silaha wewe huyajui hayo bado unabwabwaja tu ovyo na kuwadanganya watu kwa sababu tu una chuki na Israel!!! Hivi wewe Adiosamigo unajua kwa nini Hezbollah wanapigana na Israel? Kuna uwezekano mkubwa hujui na unashabikia tu kitu ambacho hukijui.
Kabla ya kututajia mafanikio ebu tutajie malengo ya Israel kwenye uvamizi waje huko Lebanon.Hii ni video ya Propaganda za Hezbollah
Najua unajifurahisha tu!! Hii ni vita silni ajabu ya askari kumi kufa ingawaje ni namba kubwa sana kutokana na Jeshi la Israel lilivyo na umesahau kutuelezea Majeshi ya Israel yamepata mafanikio gani huko kusini mwa Lebanon kama hutaeleza basi mimi nitakueleza mafanikio waliyoyapata.
Netanyahu anajifanya kichwa kichwa ngumu ila mambo yatamzidiHizbullah wanagawa kichapo huko usipime,Kuna taarifa Kama ikiwa confirmed inadaiwa itabadili kabisa mwenendo wa vita, askari 130 wa Israel wameandika barua kwa netanyahu kuwa hawataki kuhudumu mpaka mazungumzo yafanyike na mateka warudi home
Kiboko wa Magaidi huko Mashariki ya Kati na Uajemi waziri Mkuu wa Israel Mheshimiwa Benjamin Netanyahu alishataja malengo matatu ya vita hivyo: kwanza kuiondoa Hamas, Pili kuachiliwa huru kwa mateka wa Israel huko Gaza, na Tatu kuhakikisha kuwa eneo la Palestina halitakuwa tishio kwa usalama wa Israel. Hivi majuzi tena aliongeza la Nne wakazi wote wa huko Kaskazini warudi makwao.Kabla ya kututajia mafanikio ebu tutajie malengo ya Israel kwenye uvamizi waje huko Lebanon.
Kumbuka piae mpaka sasa malengo ya vita ya gaza hajatimiza hata moja.
Kumbuka tuu kuikalia gaza inamaanisha hakutakuwa na maisha North Israeli kama hizbo alivyochora mstari kama ni hivyo sawa maisha yaendeleeBora wewe umewaambia ukweli. Hamas baada ya kitendo cha kinyama kilichofanyika Oct 07,2023 walifanya kosa kubwa sana ambalo limewaghalimu viongozi wote wa Hamas waliobuni ujinga huo mpaka sasa hivi ni marehemu na kuna uwezekano tayari walishakabidhiwa wale mabikira 72 kama wanavyodanganywa. Raia wa kawaida nao waliunga mkono unyama huo maana walionekana mitaani wakisherehekea Upumbavu huo nao wengi wao walishakufa na wengine wanaendelea kufa. Gaza ile Israel iliwaachia miaka ile wasahau kabisa kama watakuja kuiona tena kwa sasa hivi kuna 3 D’s za Kiboko cha waarabu Mashariki ya Kati na Uajemi waziri Mkuu wa Israel Mheshimiwa Benjamin Netanyahu a.k.a. BIBI moja ya D yake ni Demilitarization ya Gaza hivyo wasahau kabisa kuwa watakuja na Gaza tena Najua maeneo hayo yalikuwa yanaitwa JUDEA & SAMARIA kwa maana ya West-Bank na Gaza ya sasa. Kwa hiyo maamuzi aliyoyafanya Yahya Sinwar ilikuwa ni upuuzi wa hali ya juu sana. Na kuna uwezekano mkubwa kuwa walijidanganya kuwa Allah wao angewasaidia kuwashindia vita dhidi ya wayahudi kwa hiyo wamlilie yeye kama walimwamini na mwisho wa siku kawatelekeza na kuwa acha solemba mbele ya majeshi ya Israel.
Hatarudisha watu wake kaskazini amini nakwambia bila makaratasi kuhusikaKiboko wa Magaidi huko Mashariki ya Kati na Uajemi waziri Mkuu wa Israel Mheshimiwa Benjamin Netanyahu alishataja malengo matatu ya vita hivyo: kwanza kuiondoa Hamas, Pili kuachiliwa huru kwa mateka wa Israel huko Gaza, na Tatu kuhakikisha kuwa eneo la Palestina halitakuwa tishio kwa usalama wa Israel. Hivi majuzi tena aliongeza la Nne wakazi wote wa huko Kaskazini warudi makwao.
Hili huna haja ya kupinga ni kweli 200% unajua wanasema mwenye kumiliki chombo cha habari anaweza kumiliki fikra za watu?Eti vyombo vya Magharibi haviwezi kutangaza!
Ndoto za Mwendawazimu baada ya kutoka Milembe hospital asubuhi ya Leo!!Netanyahu anajifanya kichwa kichwa ngumu ila mambo yatamzidi
Nayawekea pin maneno yako hili la watu kurudi kaskazini ndilo jepesi sana kwa sababu kufikia mwezi ujao mwisho i Hezbollah watakuja wamesukumwa kwa nyuma mpaka Litan river kitu ambacho kitawezesha waliokuwa wakiishi huko kaskazini warudi makwao nakushangaa wewe unikata!! Hata Sayyed Nasrallah naye alikuwa anakataa hivyo hivyo lakini sasa hatuko naye yuko kuzimu!!Hatarudisha watu wake kaskazini amini nakwambia bila makaratasi kuhusika
Magaidi wa Hezbollah si lolote Gaza itakaliwa na Hezbollah atasukumwa kwa nyuma mpaka mto litan atake asitake atalazimishwa tu!!Kumbuka tuu kuikalia gaza inamaanisha hakutakuwa na maisha North Israeli kama hizbo alivyochora mstari kama ni hivyo sawa maisha yaendelee
Hizbollah ana missiles za kurusha hata akiwa Beirut na zikapiga target nani raia anajipenda aende kaskazini? Bila kusaini makaratasi Netanyahu anawauwa bure vijana wadogo lakini acha wafe wengi mashoga hawana faida wala hasara dunian hapaNayawekea pin maneno yako hili la watu kurudi kaskazini ndilo jepesi sana kwa sababu kufikia mwezi ujao mwisho i Hezbollah watakuja wamesukumwa kwa nyuma mpaka Litan river kitu ambacho kitawezesha waliokuwa wakiishi huko kaskazini warudi makwao nakushangaa wewe unikata!! Hata Sayyed Nasrallah naye alikuwa anakataa hivyo hivyo lakini sasa hatuko naye yuko kuzimu!!
Ushahidi gani huo wa michongo??Wakristo na mayahudi wa kwamtogole wamekuja juu kwelikweli,
Mwenzenu kaweka na ushahidi nyie mnabakia kutetea kibugusa na kuweka katuni ili kujifrahisha? Wenzenu wanapigika huko, mbona hawajaigusa tena iran? Kazi kuonea sungu sungu wa hamas na Lebanon ?
Watachinjwa mdogomdogo mpaka wataomba poo
Ukiwa wewe Shoga haina maana wote ni mashoga!!Hizbollah ana missiles za kurusha hata akiwa Beirut na zikapiga target nani raia anajipenda aende kaskazini? Bila kusaini makaratasi Netanyahu anawauwa bure vijana wadogo lakini acha wafe wengi mashoga hawana faida wala hasara dunian hapa
Sasa kati ya yote hayo uliyo yataja ni lipi lililo fanikiwa?Kiboko wa Magaidi huko Mashariki ya Kati na Uajemi waziri Mkuu wa Israel Mheshimiwa Benjamin Netanyahu alishataja malengo matatu ya vita hivyo: kwanza kuiondoa Hamas, Pili kuachiliwa huru kwa mateka wa Israel huko Gaza, na Tatu kuhakikisha kuwa eneo la Palestina halitakuwa tishio kwa usalama wa Israel. Hivi majuzi tena aliongeza la Nne wakazi wote wa huko Kaskazini warudi makwao.
Hivi wewe mtu akikuambia Hamas inatawala Gaza utakubali? Je sasa hivi kuna tishio la makombola kutoka Gaza?? Oct 07,2023 Magaidi wa Hamas waliteka watu 251 mpaka leo hii waliobaki mikono i mwa magaidi hao ni 101 tu zaidi ya nusu walishakombolewa hayo kwako si mafanikio?Sasa kati ya yote hayo uliyo yataja ni lipi lililo fanikiwa?
Ndio ilivyo mkishindwa hoja mnahamisha magoli kwa matusi na kuhoji visivyo na msingiUkiwa wewe Shoga haina maana wote ni mashoga!!