Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Muarabu asingekuja kubaka waafrika pale Pwani ungeujua huo uislamu? Kabaka mababu zetu kisha kasimika dini yake na kufanya muwe mazombi zaidi....
Uislam umefika hadi Hispania. Jee wamebakwa wazungu? Hivi sasa uislam umekuwa hadi ulaya. Jee wazungu wamebakwa? Ukifa ukiwa mkiristo au mpagani wewe ujue motoni tu
 
Achana nae... kwani wewe una shida na wale bikira 72? Mwambie aende Gaza akafumuliwe utumbo aende huko peponi
Jitahidi utoke ktk ukiristo uingie ktk uislam. Hilo ndilo muhimu. Wewe kitandani kwako utamuliwa utumbo? Bibi yako mzawa wa baba yako yupo ktk ardhi ashaliwa na wadudu? Alienda Gaza?
 
Wewe utasababisha dini ya munyaanzi allah na mtume wake watukanwe na waonekane wote wanatumia bangi.
Kwani hawatumii? Kuahidi watu mambo ya kupigana miti ahera ni akili timamu?
 
Historia ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Naona malaria imepanda kichwani. "Namna gani ya kuishi hapa duniani" wakati huo nyie ndo mnaongoza Kwa matendo ya hovyooo... Mnauana huko Kwa visingizio vya dini, mnajazwa ujinga unaokuja kuisumbua na kuiletea matatizo jamii
 
Mkiristo akifa ktk ukiristo wake ni sawa na mwanafunzi aliekamatwa na bomu chumba cha mtihani. Mtihani hata hahusahihishi
Wale ma sheikh wa Arusha walioko jela kwa kosa la ugaidi mtakuwa nao peponi?
 
M
Naona malaria imepanda kichwani. "Namna gani ya kuishi hapa duniani" wakati huo nyie ndo mnaongoza Kwa matendo ya hovyooo... Mnauana huko Kwa visingizio vya dini, mnajazwa ujinga unaokuja kuisumbua na kuiletea matatizo jamii
Waislam haijahalilisha ubakaji wala ushoga
 
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Labda pepo ya kuzimu siyo pepo ya mbinguni, nenda Gaza ukawasaidie ili uwahi motoni , Wapo waislam watakaokwenda mbinguni siyo nyie wenye misimamo kama ya ISIS
 
Naona malaria imepanda kichwani. "Namna gani ya kuishi hapa duniani" wakati huo nyie ndo mnaongoza Kwa matendo ya hovyooo... Mnauana huko Kwa visingizio vya dini, mnajazwa ujinga unaokuja kuisumbua na kuiletea matatizo jamii
Yote haya maovu yanatokea kwa hisani ya Allahu akbar.
 
Wale ma sheikh wa Arusha walioko jela kwa kosa la ugaidi mtakuwa nao peponi?
Nikwambie kitu rafiki yangu:
Sote binaadam tutafufuliwa na kukusanywa pamoja na kuhukumiwa. Kila binaadam ataletewa ushahidi kwa alioyafanya. Kama amefanya kosa lolote atahukumiwa. Kwa hivyo hao masheikh Kama wamefanya makosa watahumukumiwa. Kama jaji wenyewe ni wewe ukimuona muislam roho inauma ndio umuhukumu hio kesi basi hasara kwako.
Wallah aaalam.
Lkn asiekuwa muislam hahesabiwi yeye anatupwa ktk moto tu
 
Uislam umefika hadi Hispania. Jee wamebakwa wazungu? Hivi sasa uislam umekuwa hadi ulaya. Jee wazungu wamebakwa? Ukifa ukiwa mkiristo au mpagani wewe ujue motoni tu
Ukifa ukiwa na majini kichwani na misimamo kama yako ni kuzimu moja kwa moja. Kajiripue huko Ghaza ili uwahi motoni , sisi waislamu wacha Mungu wapenda amani hatuna ubaguzi wa kidini wala kabila
 
Ukifa ukiwa na majini kichwani na misimamo kama yako ni kuzimu moja kwa moja. Kajiripue huko Ghaza ili uwahi motoni , sisi waislamu wacha Mungu wapenda amani hatuna ubaguzi wa kidini wala kabila
Unasoma kitabu gani? Quran imeweka wazi. Myahudi rafiki yake mkiristo
 
Nikwambie kitu rafiki yangu:
Sote binaadam tutafufuliwa na kukusanywa pamoja na kuhukumiwa. Kila binaadam ataletewa ushahidi kwa alioyafanya. Kama amefanya kosa lolote atahukumiwa. Kwa hivyo hao masheikh Kama wamefanya makosa watahumukumiwa. Kama jaji wenyewe ni wewe ukimuona muislam roho inauma ndio umuhukumu hio kesi basi hasara kwako.
Wallah aaalam.
Lkn asiekuwa muislam hahesabiwi yeye anatupwa ktk moto tu
Ni kweli kule peponi mtakuwa mnafanya ngono?
 
Ukifa ukiwa na majini kichwani na misimamo kama yako ni kuzimu moja kwa moja. Kajiripue huko Ghaza ili uwahi motoni , sisi waislamu wacha Mungu wapenda amani hatuna ubaguzi wa kidini wala kabila

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu​

Suratul maida
 
Back
Top Bottom