Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.
Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
==============================

Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.

“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.

The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.
Nilihofia sana kauli ya Nenmtanyahu ili Oktoba 7 kuwa Gaza itaenda kupata kitu kitakachoishangaza dunia....

Tuombe amani itamalaki. Kuua haijawahi kuwa suluhisho
 
Wazun

History inasema wameshonari ndio waliobaka waadfrika na kusambaza ukiristo. Waislam wameujua uislamu baada ya kusoma maandiko kama wanavyofanya wazungu huko ulaya kuingia ktk uislam kwa makundi.

Ujumbe wa leo ijumaa
Mtu yoyote akifa akiwa sio muislam huyo ataingia ktk moto

Hamna, waarabu miungu wako ndio walikuja na kuchukua mababu zetu mateka na kuwapitisha Pwani, waulize watu wakuelimishe nini maana ya Bagamoyo au Bwagamoyo, halafu wakatia na dini yao hapo Pwani ambayo umezaliwa karne kadhaa baadye unatupigia makele kuihusu.
Hiyo dini muarabu muhammad alikua dini zingine naye kaona aanzishe yake huko jangwani.
 
Hamna, waarabu miungu wako ndio walikuja na kuchukua mababu zetu mateka na kuwapitisha Pwani, waulize watu wakuelimishe nini maana ya Bagamoyo au Bwagamoyo, halafu wakatia na dini yao hapo Pwani ambayo umezaliwa karne kadhaa baadye unatupigia makele kuihusu.
Hiyo dini muarabu muhammad alikua dini zingine naye kaona aanzishe yake huko jangwani.

Rais wa Ujerumani aomba msamaha kwa ukatili wa kikoloni uliofanywa na nchi yake kwa Tanzania​

(CRI Online) Novemba 02, 2023

Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani ameomba radhi kutokana na ukatili uliofanywa na Ujerumani kwa Tanzania, wakati wa vita vya upinzani vya Majimaji dhidi ya Utawala wa Kikoloni wa Ujerumani mwanzoni mwa miaka ya 1900 ambapo watu laki 3 waliuawa, na kuwa moja ya vita vya kupinga ukoloni vilivyomwaga damu nyingi zaidi barani Afrika.


MKIRISTO MWENZENU HUYU
 
Back
Top Bottom