Toka kwanza ktk ukiristo uingie ktk uislam. Usijekuwa na wewe umeyataka baada ya kufaWaliyataka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka kwanza ktk ukiristo uingie ktk uislam. Usijekuwa na wewe umeyataka baada ya kufaWaliyataka.
Nilikuwa huko nikatoka.Nampenda Yesu.Bwana Yesu asifiwe sana,mkuu!🙏🙏🙏🙏Toka kwanza ktk ukiristo uingie ktk uislam. Usijekuwa na wewe umeyataka baada ya kufa
Innallillah wainnah raajiun. Kama ulikua muislam ukaingia ktk ukafiri ndio wakuonewa huruma zaidi. Maana weewe utakuwa chini ya chini ya motoNilikuwa huko nikatoka.Nampenda Yesu.Bwana Yesu asifiwe sana,mkuu!🙏🙏🙏🙏
Unatumia nguvu nyiiiingii kwa mtu anayejitambua?Bure kabisa ustaadh ubwabwa.Kwanza ninaishi nchi yenye baridi.Napenda kuota moto.Innallillah wainnah raajiun. Kama ulikua muislam ukaingia ktk ukafiri ndio wakuonewa huruma zaidi. Maana weewe utakuwa chini ya chini ya moto
Unajitambua tena? HahaaaaaUnatumia nguvu nyiiiingii kwa mtu anayejitambua?Bure kabisa ustaadh ubwabwa.
Unaongeza mke mwingine lini maalim?Unajitambua tena? Hahaaaaa
Ndio. Kuna mdaada wa kikiristo namsilimishaUnaongeza mke mwingine lini maalim?
Safi.Hongera.Ndio. Kuna mdaada wa kikiristo namsilimisha
Maana wanawake wakiristo wanakosa wenzaSafi.Hongera.
Ila Osama yupo peponi mbona hujibu?Wallah aalam. Kikubwa ukifa nje ya uislam motoni tu
Wallah aalam. Ninachojua mimi muislam yoyote akifa ataenda kuhesabiwa amali zake lkn dini nyengine yoyote yeye atatupwa ktk moto bila hata ya hesabu. JIBU USHAPATAIla Osama yupo peponi mbona hujibu?
Kwa namna magaidi yalivomtoa uhai Joshua ilitosha kunifanya nivae gwanda nikaunge mkono juhudi za IsraelUliiona clip ya Joshua alivyouwawa kikatili na magaidi?
Mimi sio mkristoWewe ni mkristo. Na ukifumba jicho utajuta unachokiongea
Nilihofia sana kauli ya Nenmtanyahu ili Oktoba 7 kuwa Gaza itaenda kupata kitu kitakachoishangaza dunia....Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.
Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
==============================
Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.
“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.
The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.
Hujachelewa ndugu yangu....pambana tu na magaidi ya humu jamii forumKwa namna magaidi yalivomtoa uhai Joshua ilitosha kunifanya nivae gwanda nikaunge mkono juhudi za Israel
Wazun
History inasema wameshonari ndio waliobaka waadfrika na kusambaza ukiristo. Waislam wameujua uislamu baada ya kusoma maandiko kama wanavyofanya wazungu huko ulaya kuingia ktk uislam kwa makundi.
Ujumbe wa leo ijumaa
Mtu yoyote akifa akiwa sio muislam huyo ataingia ktk moto
Hamna, waarabu miungu wako ndio walikuja na kuchukua mababu zetu mateka na kuwapitisha Pwani, waulize watu wakuelimishe nini maana ya Bagamoyo au Bwagamoyo, halafu wakatia na dini yao hapo Pwani ambayo umezaliwa karne kadhaa baadye unatupigia makele kuihusu.
Hiyo dini muarabu muhammad alikua dini zingine naye kaona aanzishe yake huko jangwani.
Basi mpaganiMimi sio mkristo