Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Weye mwehu kweli. Dah.
Unajua zamani mtz alikua haongei kiswahili. Akiongea lugha gani? Jee sio mtazania? Akili hizi ndio maana akitokea mchungaji mjanja anakutapeli kirahisi mno
Zamani hapakuwa na Mtanzania. Alafu unasema una Phd😂😂
Nimekuambia kiherehere chako leo unaaibika.
Hiyo Phd labda ya kiherehere