Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.

Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.

============

Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.

“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.

The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.

Source: Times of Israel
Wanaonea raia tu Hamas iko makini wanaendelea kuua mazayni ya kiyahudi na huu ndio mwisho wa taifa la mchongo Israel
 
Hamna, waarabu miungu wako ndio walikuja na kuchukua mababu zetu mateka na kuwapitisha Pwani, waulize watu wakuelimishe nini maana ya Bagamoyo au Bwagamoyo, halafu wakatia na dini yao hapo Pwani ambayo umezaliwa karne kadhaa baadye unatupigia makele kuihusu.
Hiyo dini muarabu muhammad alikua dini zingine naye kaona aanzishe yake huko jangwani.
Haya wape watu na historia ya mji wapwani wa daaaru ssalaaam
Waislam walikua na wataendelea kua watu bora na wema sana hapa ulimwenguni kuliko mnavyowasambazia maovu
 
Kwa hiyo akifuata ya Allan lakini asipofuata ya Muhammad anakuwa sio muislamu?
Huwezi kumtenganisha Allah s.w na Mtume wake Muhammad S.a.w
Sababu maamrisho ya Allah yamefikishwa na Muhammad sasa unamfataje Allah bila kumfata Muhammad na kinyume chake
 
Huwezi kumtenganisha Allah s.w na Mtume wake Muhammad S.a.w
Sababu maamrisho ya Allah yamefikishwa na Muhammad sasa unamfataje Allah bila kumfata Muhammad na kinyume chake

Unaweza kuwatenganisha kwa sababu ni wahusika wawili tofauti.
Mmoja ni mwanadamu ndiye Muhammad, alafu wa pili ni mungu wa wakurdi aitwaye Allah.

Mueleweshe mwenzako asitie aibu hapa.
Yeye anayesema Adamu alikuwa muislamu kama mtu asiyejua uislamu ni nini
 
Sssa hata wewe unatakiwa upigwe mssss ili ujue haya majambo kiundani kabisaaaa

Hayo mambo ninayajua kuliko wengi wenu humu mnavyorukia rukia mambo kishabiki.

Kitendo cha mtu kusema Manabii wa kabla ya Muhammad walikuwa waislamu kinadhihirisha msemaji bado anaelimu ndogo kuhusu dini na miungu
 
Unaweza kuwatenganisha kwa sababu ni wahusika wawili tofauti.
Mmoja ni mwanadamu ndiye Muhammad, alafu wa pili ni mungu wa wakurdi aitwaye Allah.

Mueleweshe mwenzako asitie aibu hapa.
Yeye anayesema Adamu alikuwa muislamu kama mtu asiyejua uislamu ni nini
Nilikujibu kwamba Allah kamleta Muhammad kuelekeza alo ya amrisha na kuyakataza
Yupo sahihi kabisa adam na manabii wengine walikua waislamu
 
Hayo mambo ninayajua kuliko wengi wenu humu mnavyorukia rukia mambo kishabiki.

Kitendo cha mtu kusema Manabii wa kabla ya Muhammad walikuwa waislamu kinadhihirisha msemaji bado anaelimu ndogo kuhusu dini na miungu
Wewe unaesema manabii wa kabla ya Muhammad hawakua waislam kwa kigezo gani?
 
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Kwa akili hizi mtaendelea kupiga mazoezi ya kivita Maporini Mtwara na mtauwawa sana
 
Back
Top Bottom