Allah ndio hakimu wa mahakimu. Alikuwepo farau ktk dunia hii hivi sasa yuko wapi?Nilihofia sana kauli ya Nenmtanyahu ili Oktoba 7 kuwa Gaza itaenda kupata kitu kitakachoishangaza dunia....
Tuombe amani itamalaki. Kuua haijawahi kuwa suluhisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah ndio hakimu wa mahakimu. Alikuwepo farau ktk dunia hii hivi sasa yuko wapi?Nilihofia sana kauli ya Nenmtanyahu ili Oktoba 7 kuwa Gaza itaenda kupata kitu kitakachoishangaza dunia....
Tuombe amani itamalaki. Kuua haijawahi kuwa suluhisho
Hujui? Soma biblia agano la kale sio hili lililokarabatiwaNi nabii yupi aliyezifuata nguzo hizo kuacha Muhammad?,
Naamini utakuja na rejea
Sina dini! Na ninyi msiwazalishe watu wote kuwa waislamu hiyo kazi mwachieni Mungu aliyewaumbaBasi mpagani
Hujui? Soma biblia agano la kale sio hili lililokarabatiwa
Innallillah wainnah raajiun. Hulazimishi mtu ktk uislam. Unapewa tahadhari ukifa nje ya uislam wewe ni motoniSina dini! Na ninyi msiwazalishe watu wote kuwa waislamu hiyo kazi mwachieni Mungu aliyewaumba
1. Funga: manabii wote walifungaNipe nukuu ya agano la kale inayosema kuna nabii alifuata hizo nguzo tano.
Naamini unaelimu ya dini yako hivyo hapa hutajiabisha wala kuabisha Watu wa dini yako.
Niambie ni nabii yupi alifuata nguzo tano za uislamu kuachana na Muhammed?
Nakuruhusu utoe references sehemu yoyote
Wale boko haram walichinja watu 100( wakristo) siku ya Christmas kule sio kulazimishana kuwa waislamu?Innallillah wainnah raajiun. Hulazimishi mtu ktk uislam. Unapewa tahadhari ukifa nje ya uislam wewe ni motoni
1. Funga: manabii wote walifunga
2. Kumuamini Allah. Manabii wote walimuamini Allah.
3. Zaka: manabii wote walitoa Zaka.
4. Nabii ibrahim alianzisha Alkaaba
Unalo swali?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]UTAVUNJA MBAVU ZA WATUMbona mwandishi wetu aliyeko Gaza Faizafoxy anasema tayari Hamas wameshinda vita.
Nina phd ktk elimu ya dunia. Na mashallah nimekunja got ktk elimu ya akhera kuitafutaNitajie hao manabii usijekuwa unataja wakina Mwamposa hapa. Au unataja manabii wa uongo.
Taja nabii na reference, mbona rahisi sana.
Leo ndio siku ya kuonyesha kuwa wewe kwenye dini yako ni mweupe na unaamini usichokijua. Ndio maana unakiherehere kwani wenye viherehere mara nyingi kichwani ni debe tupu
Nabii Issa alifunga siku 40Nitajie hao manabii usijekuwa unataja wakina Mwamposa hapa. Au unataja manabii wa uongo.
Taja nabii na reference, mbona rahisi sana.
Leo ndio siku ya kuonyesha kuwa wewe kwenye dini yako ni mweupe na unaamini usichokijua. Ndio maana unakiherehere kwani wenye viherehere mara nyingi kichwani ni debe tupu
Nina phd ktk elimu ya dunia. Na mashallah nimekunja got ktk elimu ya akhera kuitafuta
Nabii Issa alifunga siku 40
Una maswali ya kitoto? Tanzania zamani kusoms Diploma zamani ilikua miaka 2. Hivi sasa 3. Swali huyo aliesoma miaka 2 sio mtanzania?Ee
Muislamu anafunga siku ngapi?
Hata Mwamposa anafungaga, naye ni muislamu?
Hivi hata kama sisi ni mazuzu lakini usitudanganye kiasi hiki ww tangu lini adam akawa muislam na alikua anasali swala tano maana neno islam ni la kiarabu sasa adam alikua anaongea kiarabu na shaaada alitoa kiaje[emoji3060][emoji3060]Kuna upuuzi mwingine ukiusikia unachoka harafu unakuta jitu limekomaaa kutetea uongo wa wazi wazi.kuna maswali zaidi ya mia nikikuuliza hutanijibu utaleta uongo tu.Historia ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Weye mwehu kweli. Dah.Hivi hata kama sisi ni mazuzu lakini usitudanganye kiasi hiki ww tangu lini adam akawa muislam na alikua anasali swala tano maana neno islam ni la kiarabu sasa adam alikua anaongea kiarabu na shaaada alitoa kiaje[emoji3060][emoji3060]Kuna upuuzi mwingine ukiusikia unachoka harafu unakuta jitu limekomaaa kutetea uongo wa wazi wazi.kuna maswali zaidi ya mia nikikuuliza hutanijibu utaleta uongo tu.
Una maswali ya kitoto? Tanzania zamani kusoms Diploma zamani ilikua miaka 2. Hivi sasa 3. Swali huyo aliesoma miaka 2 sio mtanzania?