Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Kwa hiyo Osama yuko peponi? Vipi kuhusu nafsi za watanzania waliouwawa 1998 ubalozi wa Marekani?
 
Uislam umefika hadi Hispania. Jee wamebakwa wazungu? Hivi sasa uislam umekuwa hadi ulaya. Jee wazungu wamebakwa? Ukifa ukiwa mkiristo au mpagani wewe ujue motoni tu

Naongea kuhusu wewe hapo, kama muarabu hangekuja kubaka wazee wetu pale Pwani unsingekua unapigia watu makelele humu kuhusu dini yake huyo muarabu.
 

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu​

Suratul maida
NI MPUMBAVU ALIYEYASEMA HAYA
 
Wazun
Naongea kuhusu wewe hapo, kama muarabu hangekuja kubaka wazee wetu pale Pwani unsingekua unapigia watu makelele humu kuhusu dini yake huyo muarabu.
History inasema wameshonari ndio waliobaka waadfrika na kusambaza ukiristo. Waislam wameujua uislamu baada ya kusoma maandiko kama wanavyofanya wazungu huko ulaya kuingia ktk uislam kwa makundi.

Ujumbe wa leo ijumaa
Mtu yoyote akifa akiwa sio muislam huyo ataingia ktk moto
 
Wazun

History inasema wameshonari ndio waliobaka waadfrika na kusambaza ukiristo. Waislam wameujua uislamu baada ya kusoma maandiko kama wanavyofanya wazungu huko
Ujumbe wa leo ijumaa
Mtu yoyote akifa akiwa sio muislam huyo ataingia ktk moto
Dini yenu ya juzijuzi ina vituko sana.
 
Historia ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake

Ili mtu aitwe muislamu anatakiwa aweje na afanye nini?
Swali hili ndio litatoa uelekeo wa kile usemavyo ni kweli iau sio kweli
 
Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.
Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
==============================

Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.

“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.

The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.
Mbona wavaa dera wanasema Hamas wameshinda na miili ya wanajeshi wa Israel inaokotwa huko Gaza kwa wingi?
 
Ili mtu aitwe muislamu anatakiwa aweje na afanye nini?
Swali hili ndio litatoa uelekeo wa kile usemavyo ni kweli iau sio kweli
1. Nguzo 5 za uislam aziamini

1707454982322.png
 
Back
Top Bottom