Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Nilikujibu kwamba Allah kamleta Muhammad kuelekeza alo ya amrisha na kuyakataza
Yupo sahihi kabisa adam na manabii wengine walikua waislamu
Basi kwa vile mwenzako kashidwa kujibu akakimbia. Umefanya vizuri kuja kumsaidia.
Tuambie, ili mtu awe muislamu anatakiwa afanye nini? Yaani kipi kinachomtambulisha muislamu?