Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Kweli wewe ni mjinga sikujua kama nchi yangu ina wajinga waliofikia hatua yako
 
Kwa ujinga uliowajaa watu hawa acha wapigwe vizuri
 
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
huyu mungu wenu hakuwaumba wakristo ? je kwann aliwaumba mkafanana na wakristu ? je alikopi na kupaste ?
 
Mkiristo akifa ktk ukiristo wake ni sawa na mwanafunzi aliekamatwa na bomu chumba cha mtihani. Mtihani hata hahusahihishi
kwenye uislam , mkristu ni mwanafunz wa elimu gan ? na anakuwa anafanya mtihani kuvuka kwenda hatua gan?
 
Historia ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Adam hakuswali wala kuijuwa quran wala kujiita muislam
 
Uislam umefika hadi Hispania. Jee wamebakwa wazungu? Hivi sasa uislam umekuwa hadi ulaya. Jee wazungu wamebakwa? Ukifa ukiwa mkiristo au mpagani wewe ujue motoni tu
Unafurahia kuona Uislamu umefika Uhispania

Uislamu upo Uhispania kwasababu serikali ya huko inatambua uhuru wa mtu kwenye kuabudu.

Hiyo haitegemeani na mafunzo yako wewe katika kushawishi watu. Serikali ingepiga marufuku Uislamu kama Saudia Arabia wananvyofanya kwa dini zingine sidhani leo kama ungekuja na hoja kama hii.

By the way hata hao waislamu waliopo huko Spain wengi ni migrants ambao walikimbia makwao.

Kutoka Morroco kwenda Spain ni kama km 30 tu, waislamu wengi wa Morroco wamezamia Spain kwasababu hiyo.

Migrants hao waliona Spain ni sehemu salama kwao kuliko mataifa ya kiarabu na ndio maana hawakuenda Mecca wala Iran
 
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Asante sana mzee Kinjekitile Ngwale. "maji, maji, maji, maji" mwisho tunaujua.
 
Shida inaanza pale waislam mnapothani nyie peke ndiyo mnahatimiliki ya kisasi.
Na uenda kwenu kisasi kinamaana tofauti na ijulikanayo na wengi.
Wapi nimesema mimi ni muislam? Namjibu huyo anayesema IDF kuichakaza Gaza ndio mwisho wa vita. Its not, Palestine watarudi tena kupambania uhuru wao so kama ambavyo walianza pigana tokea 1890 basi ndio itarudi tena vita after 2 years.

Hao wayahudi hawana cha kisasi sababu wao ndio walivamia ardhi ya watu na kuwapora!! Sasa mtu uliyevamia unakuaje na kisasi? Wao wanataka ARDHI ya kujitanua tu na sio kwamba wana kisasi chochote.
Note. hakuna siku mtaamka na kukuta wayahudi Wote wamepalalaizi hata mseme mtatoa pigo na wasiweze kujibu.
Mbona Hitler aliwachinja wayahudi million 6 na hawakujibu mapigo? Unadhani siku Putin au Xi wakipigana na US hatowanyoosha wayahudi? kila mbabe ana mbabe wake its just a matter of time watapigwa kama wamepalalize hata Bible inasema hivyo.
Violence doesn't end Violence" ili somo lifundisheni miskitini mara nyingi zaidi kuliko mnavyofundisha Watoto wenu kuua non Muslims.
Sio misikitini tu, dunia nzima huwezi maliza mauaji kwa kufanya mauaji. Itakua kama vita ya wakulima na wafugaji haziishi sababu visasi vinalipizwa kila kukicha!! Otherwise sio tu waislam hufundisha ila hata wakristo kupitia biblia inahalalisha wayahudi waue wale wote wanaompinga Mungu. In fact the first genocide duniani ilifanywa kwenye biblia na kina Joshua.

So ni dini zote tu zifundishwe violence doesn't end violence no wonder wayahudi walichinja kila mtu kuchukua Canaan ila mpaka leo vita haikuwahi kuisha.
 
Leo hiyo Gaza kaskazini imesaliwa swala ya ijumaa ya jamaa baada ya masiku 125 ya kudondoshewa mabomu ovyo ovyo👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240209_181552_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_20240209_181552_com.whatsapp.jpg
    82.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240209_181527_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_20240209_181527_com.whatsapp.jpg
    81.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240209_181505_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_20240209_181505_com.whatsapp.jpg
    92.5 KB · Views: 2
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Those are nothing but myths.
 
Anamiliki Quran lakini hamiliki vitu alivyoviiba kwenye Torati na Injili ambavyo ni vitabu vya Mungu mwingine
Mungu mwengine yupi yeye ndio mmiliki wa vyote hvyo nlivyokwambia na nilikupa aya kule juu kama hukuisoma hilo kosa lako sasa
 
Shida inaanza pale waislam mnapothani nyie peke ndiyo mnahatimiliki ya kisasi.
Na uenda kwenu kisasi kinamaana tofauti na ijulikanayo na wengi.

Note. hakuna siku mtaamka na kukuta wayahudi Wote wamepalalaizi hata mseme mtatoa pigo na wasiweze kujibu.
"Violence doesn't end Violence" ili somo lifundisheni miskitini mara nyingi zaidi kuliko mnavyofundisha Watoto wenu kuua non Muslims.

The earler you know the better,Maalif.
Uislamu pekee ndio una maana halisi ya kisasi nandio unaotaka ikitokea mkalipa kisasi mlipe kisawa sawa msizidishe wala msipunguze
Nandio maana tukaambiwa tuwapige kama watakavyo tupiga (unadhani dini ipi nyengine inasema hv zaidi ya uislamu)
Hakuna mskiti unao fundisha watu kuua wasiokua waislam labda huo mskiti wa kwako pekeo
Kama misikiti ingekua inaamrisha ama kufundisha tuue wasiokua waislam tungekua tushaanza kuwaua zamani tunao soma nao tunaofanya nao kazi majirani zetu wengine wamezaa na wakristo wengine mabosi zao wafanya kazi wao nk nk nk
Hizo propaganda mfu kuleni wenyewe hazina tena soko
 
Unafurahia kuona Uislamu umefika Uhispania

Uislamu upo Uhispania kwasababu serikali ya huko inatambua uhuru wa mtu kwenye kuabudu.

Hiyo haitegemeani na mafunzo yako wewe katika kushawishi watu. Serikali ingepiga marufuku Uislamu kama Saudia Arabia wananvyofanya kwa dini zingine sidhani leo kama ungekuja na hoja kama hii.

By the way hata hao waislamu waliopo huko Spain wengi ni migrants ambao walikimbia makwao.

Kutoka Morroco kwenda Spain ni kama km 30 tu, waislamu wengi wa Morroco wamezamia Spain kwasababu hiyo.

Migrants hao waliona Spain ni sehemu salama kwao kuliko mataifa ya kiarabu na ndio maana hawakuenda Mecca wala Iran
Kama kutoka spain na na moroko sijui km 30 ndio nini
Acha kupotosha watu hispania ishawahi kua chini ya utawala wa khalifa ya uislam zaidi ya karne tisa huko nyuma halaf leo unakuja kudanganya watu hapa
Hem nenda ukaisome khalifa ya kordoba kabla kuona wote waliokuepo huku wajinga hawajui mambo
Hispania ilikua sehemu ya dola la kiislam na ilijengwa na waislamu na maendeleo ilionayo leo hispania na sehemu kubwa za ulaya yalipelekewa na waislam
Muache kudanganya watu nyie vijana
 
Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa

Vp muislam akifa huku amemuua muislam mwenzake wote wanaenda peponi kufaidi mabikira wa allah?!
 
Ila wanachokifanya Israel sio fair kwa ustawi wa maisha ya binadamu. Wanahitaji kutafuta namna nyingine ya kuwashughulikia wahalifu wao.

Vita ya namna hii ni dalili ya kuishiwa mbinu.
 
Back
Top Bottom