Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Hapo ndipo uchizi wenu ulipo yaani amri Usiue wewe unaua alafu uende peponi? Mnatia mashaka Sana na liimani lenu. Kwa haya mnayoandika na Kama kweli yapo kwenye Quran Basi mtume Mohammad atakua yupo jehanam pia.
Hujafahamu unajifanya chizi? Muislam akifa au akiua kwa ajili ya dini yake au haki yake huyo atakuwa amepigana Jihad. Na yeye mtu wa peponi. Ukitaka au usitake hio kazi kwako
 
Ukiweka Islamic law mahala ambapo kuna mchanganyiko wa watu wenye dini nyingine maana yake ili hao wasio waislamu waweze kwenda na huo mfumo inabidi nao wawe waisilamu.

Hiyo ndio conversion ya indirect. Watu watalazimika kusilimu kwa lengo la kufuata unafuu.

Hata huko magerezani kwemye hizo nchi ambazo zina majority ya waisilamu wengi, wafungwa ambao sio waislamu hawapati treatment sawa na waislamu.

Kilichopigwa marufuku ni wale interraction ya waislamu kutoka mataifa ya mbali ambayo yalikuja kuvamia.

Lakini waislamu wenye asili ya Spain waliishi miaka mingi kwa uhuru wa kuabudu dini yao mpaka pale Kanisa lilipoanza kuhisi kitisho cha kuvamiwa tena ndio ikabidi warumie force wakiamini ndio njia ya kuziba mianya ya wavamizi
Hakuna sehemu walisema watu wa ndani watumie uislamu bali uislamu ulipigwa pini jumla jumla na ndio ikawa mwanzo wa kupungua na kuondoka kwake

Sawa tuseme upo sawa waliwapiga ban watu hao unaosema kutoka nje je huoni kama walikua wanaingilia uhuru ama maamuzi ya watu wengine wenye haki ya kufanya majambo yao kwakutaka

Huko unaposemea wewe kwenye majority ya waislamu hao wasiokua waislamu kutopata haki zao kama unavyosema sio kosa la uislamu ni kosa la mifumo inayotawala sababu haitawali kiislamu licha ya kwamba ina majority ya waislamu unatakiwa utofautishe nchi kua na waislamu wengi na kua na sharia za kiislamu ni mambo mawili ambayo yapo tofauti kabisaaaa

Tembea sehemu yeyote ile duniani hakuna sehemu utaenda kukuta kuna watu eti wamekaa wa kupenda mfumo mmoja unaotawala sehemu husika hii hakuna na haitakuja kutokea mpaka dunia inaisha

Hao wasiokua waislamu hawakulazimishwa kua waislamu ila walitakiwa kufata sharia zilizoekwa mfano kuna nchi pale Scandi navia kama sijakosea Sweden mwananchi ni lazima kupiga kura na kama hujapiga kura unapigwa faini hii huonu kama ni kulazimisha watu kufanya mambo wasio yataka

Hakuna sehemu ambayo kuna sheria halafu zikapendwa na watu wote wa sehemu husika ila mwisho wa siku ni eidha ufate sharia husika ama uondoke kwenye sheria husika ukakae kusipokua na hio sheria na hili lipo sio tu wakat wa hizo khalifa ipo sehemu yeyote ile duniani ama ufate sheria uloiweka ama uondoke sehemu husika kuiepuka hio sharia

Kwahio Sweden kama nlipokwambia hapo juu huoni kama watu watapiga kura kwa kutaka unafuu wa kutokupigwa faini je nao wanaendesha nchi yao kiislamu
 
Namimi sijasema umekanusha

Umetilia mashaka authenticity ya hiyo source kwasababu ya maneno yaliyoandikwa un official source. Ndio sababu mimi nimekuoa huo ufafanuzi

By the way unaonekana hujaelewa kilichoandikwa kimemaanisha nini.
Nimeelewa kila kikichoandikwa sababu hio source niliisoma kabisa tokea mwaka jana kwenye taasisi inayosimamia waislamu nchini uhispania

Nimekielewa kila walichokiandika
 
Hapo ndipo uchizi wenu ulipo yaani amri Usiue wewe unaua alafu uende peponi? Mnatia mashaka Sana na liimani lenu. Kwa haya mnayoandika na Kama kweli yapo kwenye Quran Basi mtume Mohammad atakua yupo jehanam pia.

Walishapewa maagizo ya kukata kichwa kila asiyeamini katika hicho kitabu chao
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
 
Mbona unajichanganya,Mara waisrael hapo kwao kitambo,Mara waisrael na waarabu wote siyo kwao walitoka Iraq!?..we unavyomuona netanyahu ni msemitiki au mzungu wa Poland!?..ana tofauti gani na lewandoski!?..siyo kila muislam kwao Saudi Arabia,uyahudi Kama Imani,siyo kila myahudi kwao Israel/Judea,hao akina netanyahu ni waturuki na wazungu wa ulaya mashariki waliofuata Imani ya kiyahudi,wenye nchi ni wa kanaani, wapalestine by DNA test ni wakanaan
Niliyemkoti alisema wayahudi hapo si kwao, then anasema wayahudi aliua wa Kanani kuchukua hiyo ardhi, sasa anaejichanganya ni mimi ama niliyemkoti?.
 
Waafrika walipenda wenyewe kuchukuliwa utumwani

Haya maujinga mnayofundishwa huko madrassa mue makini kuyasema sema mbele ya watu maana mtapigwa na hizo kanzu zenu za mwarabu.
 
Kama aripoti popote je
Mkuu lazima uelewe kutokuripoti kubakwa akufanyi ionekane aliyebakwa kahiari. Wengi wanaogopa aibu ndugu. Maana wanaona kuripoti kutafanya wengi wajue wananyamaza. Lingine wabakaji wangapi wamekamatwa? Wanhekua wakiripoti na wahusika wanafungwa kila mtu angeripoti kubakwa kwake.
 
Una uhakika gani ameuawa na Hamas? Naomba ushahidi!

Pili, kama nikweli ameuawa na hamas, basi hamas sio wajinga wauwe mtu asieshirikiana na mazayuni! So wapo sahihi kabisaa, hata wewe ukijipeleka kwenda kuwasaidia hao ndugu zako basi hamas yupo sahihi kukumaliza, tena bila huruma.
we jamaa msenge unatetea magaidi kisa imani za majahazi za kubaka watoto wa miaka 9 kama alivyofanya mudi?kweli mna akili nyinyi?
 
Back
Top Bottom