Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Nani uwaondoe?Nani aliwaambia Tanzania kuna tatizo la maji.
Tanzania tuna maji ya kukidhi mahitaji na ziyada, waondoke hapa.
Shindwa kwa jina la yesuNani aliwaambia Tanzania kuna tatizo la maji.
Tanzania tuna maji ya kukidhi mahitaji na ziyada, waondoke hapa.
Mradi ukikamilika na wao kuondoka chumvi nayo itarudi kwenye maji toka Israeli.Israel imeonesha nia ya kusaidia Tanzania katika mchakato wa kuondoa chumvi kwenye maji ya Bahari ya Hindi ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya maji kwa matumizi ya binadamu, majumbani, na viwandani, hasa katika maeneo ya pwani kama Tanga na Dar es Salaam.
Mpango huu unalenga kushughulikia uhaba wa maji wa sasa na wa baadaye ambao nchi inakabiliana nao.
Ujumbe huo ulitolewa na Bwana Michael Lotem, balozi wa Israel nchini Kenya, Uganda, Malawi, na Shelisheli, ambaye pia anashughulikia masuala ya kidiplomasia ya Tanzania.
=====================
Arusha. Israel has expressed its willingness to assist Tanzania in desalinating Indian Ocean waters to meet growing human, domestic, and industrial needs, particularly in coastal areas such as Tanga and Dar es Salaam.
This initiative aims to address both current and future water shortages faced by the country.
The message was delivered by Mr Michael Lotem, Israel's envoy to Kenya, Uganda, Malawi, and Seychelles, who oversees Tanzanian diplomatic matters
![]()
Israel offers assistance in desalination efforts to combat water shortages in Tanzania
Israel has expressed its willingness to assist Tanzania in desalinating Indian Ocean waters to meet growing human, domestic, and industrial needswww.thecitizen.co.tz
Kama Star Link za Elon Musk zilifanyiwa zengwe, zikaishia juu/juu, hivi huu mradi mnategemea utafika popote?
Wanaharamu ni nyie,,, Israel will last foreverKwani ni shi ngap kubadili hayo maji tukatwe kodi kila siku yabadilishwe kuliko wanaharamu kujiletaleta hapa? Hata kama yatatumiwa na vitukuu vyetu tujenge wenyewe tujifunze utamaduni wa kujipambania mambo yetu wenyewe. Pia tunahitaji miradi mikubwa ya sola Power nayo bora tukatane huko TANESCO
Chukua simu yako u google magaidi uone Kama hamtajiona nyie,,ukiiona Israel kwenye magaidi rudisha feedbackHatuhitaji msaada wa magaidi
Nchi haina dini, ukiwa na visababu vyako dhidi ya Israeli hiyo haituhusu. Ingekuwa hivyo, tungekataa na misaada ya visima ya Saud Arabia.Kwani ni shi ngap kubadili hayo maji tukatwe kodi kila siku yabadilishwe kuliko wanaharamu kujiletaleta hapa? Hata kama yatatumiwa na vitukuu vyetu tujenge wenyewe tujifunze utamaduni wa kujipambania mambo yetu wenyewe. Pia tunahitaji miradi mikubwa ya sola Power nayo bora tukatane huko TANESCO
Mpaka ccm iondoke madarakaniTutasaidiwa mpaka lini
Magaidi wote wafuasi wa mudiChukua simu yako u google magaidi uone Kama hamtajiona nyie,,ukiiona Israel kwenye magaidi rudisha feedback a
Hilo litakuwa tatizo la watanzania sio waisraeliMradi ukikamilika na wao kuondoka chumvi nayo itarudi kwenye maji toka Israeli.
Tujikumbushe, mama alitulingishia na mitambo mipya ya kuchimba visima, mpaka leo hatujaona manufaa kama tulivyoaminishwa.
Mijusi gani tena mkuuSafi kabisa,njooni mfyeke mijusi huku
Hujiwezi halafu hutaki msaada. Una akili kama.za za kichoko kama za jpm kwamba nchi haikopi kumbe anakopa kimya kimya tena mikopo yenye riba kubwaTutasaidiwa mpaka lini
Utakuwa mradi wa upigaji - white elephant - hata kwa akili ya aliyehitimu kidato cha IV na ufaulu wa D 2.Nchi yenye vichwa maji .
Una maziwa makuu matatu , hujayatumia bado unawaza kutumia Mabilioni ya Pesa kutumia Maji bahari??.
Wa Israel wanawafuata Wa Iran hapa Tanzania