cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Kwa hiyo walijua alipo
Hapo mkono wa kulia ushaondoka. Yupo kwenye maumivu makali sana na haijulikani km anamiguu yote hapo.
DΓ ah af baadae wakamrushia bomu lingine ili kumsambaratisha kabisa.
Israel mtoa roho ni NYOKO!
Mtoto akililia wembe mpe
yaani mpigania uhuru asiye na nchi amekuwa mwiba kwa Taifa teule la Marekani??
Ukumbuke ugomvi haujaanza Oktoba 7.
Ulianza Agosti 23.
Israel aache ukorofi halafu uone kama atasumbuliwa.
Hayo makombora ya Iran sahau maana akithubutu utasahau kama kuna Israel.
Iran sio mwarabu ni muajemi.
Bado mdogo sana , jitambua kijana hao wapalestina wanashikiliwa wengine ni wadogo kabisa , hawana hatia ...Wewe umekaa kishabiki baadae eti unajifanya una upendo π π
Mpaka sasa umesahau wanaokufa congo maana wote ni wagalatia huoni kama kuna haja ya kuongelea hilo , kule Ukraine umehama ili mradi upeleke ushabiki katika sehemu inayohtaji akili.
Kweli kabisa Hamas hawana tofauti na jeshi la kinjekitile ngwaleDah! Anatia huruma sana.
Imetosha sasa. Nadhani kama ni somo watakuwa washalipata.
Wao [Hamas] ni non-state actors. Ni wanamgambo tu. Hawana tofauti na sungusungu.
Hawawezi kupambana na jeshi la Israel linalobebwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, na nchi zingine za magharibi.
Waislamu wenzao wa Misri, Saudia, na kwingineko, hawawaungi mkono vile ambavyo Israel inaungwa mkono na nchi za magharibi.
Taswira za vitoto vidogo vilivyolipuliwa na mabomu huko Gaza zinasononesha sana.
Mji wa Gaza umebaki kuwa magofu tu.
Waisraeli takribani 1,300 na ushee waliuliwa hiyo Oktoba 7, 2023.
Mpaka kufikia sasa, zaidi ya Wapalestina 40,000 wamekufa toka hii vita ianze.
Ni mpaka Wapalestina wangapi wafe ili Isael iridhike?
Wengi wa hao marehemu, si ajabu hata hawana uhusiano wowote ule na Hamas.
Enough is enough. This carnage has to end immediately.
Hadi unatia huruma.Usichokifahamu mkuu waisrael wanaumia kama wanavyoumia waarabu.
Hivi unadhani jeshi kupata askari takriban elfu sabini walemavu wa viungo wa kudumu na elfu kumi na mbili walemavu wa akili wa kudumu ni jambo dogo!?
Wiki iliyopita tu Israel kapoteza askari 300 katika mapigano na Hizbollah.
Bandari ya Eilat haifanyi kazi kwasababu ya mashambulizi ya Houthi pale Red sea.
Meli moja imetekwa zingine zinazopeleka mizigo zinalipuliwa.
Takriban wayahudi laki tano wamekimbia nchi na hawajui kama watarudi.
Jumuiya nyingi za kimataifa zimeanza kuikana na kuitenga Israel.
Mataifa kama Uhispania,Ubelgiji,Ireland,Brazil n.k n.k zote hizo zimevunja uhusiano na Israel.
Imefikia hatua hadi Netanyahu kikao cha mwisho cha UNGA wajumbe wamesimama na kumsusia kikao akihutubia.
Raia hawakai kwa amani, kaskazini wamekimbia makazi na kuja kanda ya kati ya Israel,na haijulikani kama watarudi katika hayo makazi.
Asilimia kubwa ya wayahudi jamii ya Orthodox wanahama hadi sasa nchini Israel kwa kulazimishwa kuingia jeshini na IDF ilhali ni kinyume na miiko ya dini.
Israel imeshafunga makampuni na biashara nyingi tu hadi sasa,kinachomuokoa ni misaada ya kifedha isiyo na masharti kutoka USA,UK na Ujerumani.
Ila kama ingekua ni nchi inayosimama yenyewe basi ingekua ina hali ngumu sana.
Israel ni miaka mingi amekataa suluhu ya kidiplomasia yenye ameendekeza ubabe mashariki ya kati yote.
Ila sasa hivi amepata hasara kubwa na asipoangalia atapata anguko.
Maana anapigana na waarabu ambao HAWANA CHA KUPOTEZA.
Hayo mambo machafu yenyewe yameanzia huko kwenu.Busu la shavu au kiganja au padi la uso ni la heshima na upendo.
Ila kwa mafirauni kama wewe huwa mnawaza mambo machafu tu siku zote.
Nani kakwambia lazima wapigane, Israel wanataka kupiga!Sidhani kama Hamas wakiweka silaha chini Israel itaendelea na vita, huwezi kuwa unapigana mtu ambaye hakupigi
Mataifa yapi? Hamas sio Taifa SheheAliyewashauri hawa jamaa wafanye lile shambulio la October 7 aliwaingiza chaka asee.
Mimi bado naamini kuna njia za amani za kumaliza huu mgogoro baina ya haya mataifa.
Mwenyewe huko alikofikia sijui anaiona hii picha!?
Huyo hajapigana, kapigwa!We ndio unadhani vile sababu akili zako haziko sawa. Israel yenyewe ina Kiri huyo ni shujaa na kwa kibahati bahati ndio wamemkuta pale, wala hawakutegemea atakuwa anapigana vita. Siku zote Israel anasema Sinwar yuko chini ya ardhi kumbe mwamba alikuwa ndio kwenye frontline. Kingine wanasema ni kifaru kilipiga ile sehemu, ndio kwa bahati mbaya kikapiga kichwa chake lakini mpaa mda wa mwisho aliweza kuwarushia boom na kuwauwa askari wa Israel.
We kapime akili zako endelea kuamini ujinga wako.
View: https://youtu.be/etchDrOG7Rc?si=IVwGqgBBdgQ8dbv0
Sasa huyo mwingine na mkono hana!
Ona mjinga mwingine huyu hapa na hadithi za ijumaaHio video sio Israel kachia hio ni aibu kwao walisema jamaa anajificha kumbe aliwauwa askari hapo wengi tu wa Israel kabla ya yeye kuliwa. Walitaka ajisalimishe akakataa mpaa wakamuwa na hapo alikuwa kisha umia .
Mabikra 72 yanamsubiri aheraKila la heri kwake
Kujifariji hakuondoi hali halisi. Mtapigwa tu!Huu ukweli kama jamaa hatakuelewa basi akili atakuwa amezikabidhi kwa mchungaji kiboko ya wachawi.
Israel anajitutumua tu haelewi ashike lipi aache lipi.
Pande mbili zinawajibika vipi wakati umeshachukua upande wako?Amani haiwezi kupatikana toka kwa upande mmoja tu.
Wapalestina hawajawa hivyo walivyo bila sababu.
Israel imewanyanyasa sana kwa muda mrefu.
Pande zote mbili zinawajibika katika kuleta amani.
Dah wavaa makobazi kazi mnayo kujitetea πHio video sio Israel kachia hio ni aibu kwao walisema jamaa anajificha kumbe aliwauwa askari hapo wengi tu wa Israel kabla ya yeye kuliwa. Walitaka ajisalimishe akakataa mpaa wakamuwa na hapo alikuwa kisha umia .