Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Unaandika kutumia Hizo ni filra zako finyu. Sikulaumu maana kasumba ya watoto wateule inakutia wazimu. Je wateule wao walipewa open cheque ya maovu(?) kwani kweli wachinja mitume watashindwa kuua binadamu? Wakishiba damu watapumzika kidogo tu. Hii ndiyo utawanyo wao ulivyokuwa na utarudia tena ns tena. Mara ya mwisho alikuwa mkiristo mwenzio aitwae hitler mjerumani aliwaua million sita. Nchi su dola 1030
Mkuu; Hizo nilizoandika sio fikra zangu finyu bali huo ndo ukweli.
1. Waorthodox na wengineo wengi hawaamini habari za Yesu.
2. Majengo ya kanisa huko Western Europe hayana watumiaji wanaosali humo na mengi yao yameuzwa au kugeuzwa matumizi. Naomba nikupe mifano ya hapa Tz labda itasaidia:
(a)Kanisa kuu la jimbo katoliki la Kondoa lililokuwa linatumika hapo mwanzoni sio hilo lililopo kwa sasa lakini jengo lile(kanisa) la zamani linatumika kwa kazi nyingine na sio kwa ajili ya sala.(b) Kanisa la jimbo Katoliki la Moshi lililopo kwa sasa sio lile la awali. Lile la mwanzoni sasa ni jengo la kibiashara.
3. Hakuna mtu awaye yeyote mwenye Open cheque au Kibali cha kutenda maovu. Ndo mana hata wale waliowachinja mitume wanahesabika ni Waliotenda maovu. Hata Hitler anahesabika alitenda maovu kwa kuwauwa Wayahudi mil 6. Hakuna anayeunga mkono Udhalimu huo.
 
Ayatollah-Ali-Khamenei0601.jpg

Ayatolah anawaonea Wivu Magaidi wake anahisi Mabikra wazuri wazuri wote wameshachukuliwa yeye ataambulia vimbaumbau vya Ahera.

Ameshindwa kujizuia kwa wivu wa mahaba.
 
Usichokifahamu mkuu waisrael wanaumia kama wanavyoumia waarabu.
Hivi unadhani jeshi kupata askari takriban elfu sabini walemavu wa viungo wa kudumu na elfu kumi na mbili walemavu wa akili wa kudumu ni jambo dogo!?
Wiki iliyopita tu Israel kapoteza askari 300 katika mapigano na Hizbollah.
Bandari ya Eilat haifanyi kazi kwasababu ya mashambulizi ya Houthi pale Red sea.
Meli moja imetekwa zingine zinazopeleka mizigo zinalipuliwa.
Takriban wayahudi laki tano wamekimbia nchi na hawajui kama watarudi.
Jumuiya nyingi za kimataifa zimeanza kuikana na kuitenga Israel.
Mataifa kama Uhispania,Ubelgiji,Ireland,Brazil n.k n.k zote hizo zimevunja uhusiano na Israel.
Imefikia hatua hadi Netanyahu kikao cha mwisho cha UNGA wajumbe wamesimama na kumsusia kikao akihutubia.
Raia hawakai kwa amani, kaskazini wamekimbia makazi na kuja kanda ya kati ya Israel,na haijulikani kama watarudi katika hayo makazi.
Asilimia kubwa ya wayahudi jamii ya Orthodox wanahama hadi sasa nchini Israel kwa kulazimishwa kuingia jeshini na IDF ilhali ni kinyume na miiko ya dini.
Israel imeshafunga makampuni na biashara nyingi tu hadi sasa,kinachomuokoa ni misaada ya kifedha isiyo na masharti kutoka USA,UK na Ujerumani.
Ila kama ingekua ni nchi inayosimama yenyewe basi ingekua ina hali ngumu sana.

Israel ni miaka mingi amekataa suluhu ya kidiplomasia yenye ameendekeza ubabe mashariki ya kati yote.
Ila sasa hivi amepata hasara kubwa na asipoangalia atapata anguko.
Maana anapigana na waarabu ambao HAWANA CHA KUPOTEZA.
Haya uliyoyaandika hapa yote ndio matamanio yako
 
Netanyahu kasema hadi mateka warudi nyumbani ndio wataanza kufikiria namna ya kusitisha vita.

Pia kawaambia wa palestina hawatawaona hamas wakitawala Gaza tena
Kumbe ww ni mfuatiliaji mahiri wa kile kinachoendelea huko. Sasa huo ndo mtihani alotoa Neta. Wakiufaulu, Neta amesema kwa mdomo wake vita inaweza kuisha hata kesho (sikiliza clip yake). Ni ukweli HAMAS wanaelekea ukingoni kwani wachungaji wao(Viongozi mashuhuri) wote wamepigwa(neutralised) na kandoo wametawanyika. Sasa Nchi ya Palestina itasimama kama nchi huru na sio kama kundi la kigaidi.
 
Unaandika kutumia Hizo ni filra zako finyu. Sikulaumu maana kasumba ya watoto wateule inakutia wazimu. Je wateule wao walipewa open cheque ya maovu(?) kwani kweli wachinja mitume watashindwa kuua binadamu? Wakishiba damu watapumzika kidogo tu. Hii ndiyo utawanyo wao ulivyokuwa na utarudia tena ns tena. Mara ya mwisho alikuwa mkiristo mwenzio aitwae hitler mjerumani aliwaua million sita. Nchi su dola 1030

nimekutumia clip hukutaka kujua. Sina la kubishana na mtu asiyetaka kufahamu

Umegeukia Uinjilist tena!.
Kwa hiyo, kwa kuwa Wayahudi ni waovuo ndiyo inakuwa halali kuwasemea uongo?.

Mwenye haki yake apewe,hata kama ni shetani,mpe haki yake.
Usichukue Kuku ya mchawi kwasababu ni Mchawi.
wao kuua mitume haiwapi uhalali wa kuchukua Ardhi yao.
 
Dah! Anatia huruma sana.

Imetosha sasa. Nadhani kama ni somo watakuwa washalipata.

Wao [Hamas] ni non-state actors. Ni wanamgambo tu. Hawana tofauti na sungusungu.

Hawawezi kupambana na jeshi la Israel linalobebwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, na nchi zingine za magharibi.

Waislamu wenzao wa Misri, Saudia, na kwingineko, hawawaungi mkono vile ambavyo Israel inaungwa mkono na nchi za magharibi.

Taswira za vitoto vidogo vilivyolipuliwa na mabomu huko Gaza zinasononesha sana.

Mji wa Gaza umebaki kuwa magofu tu.

Waisraeli takribani 1,300 na ushee waliuliwa hiyo Oktoba 7, 2023.

Mpaka kufikia sasa, zaidi ya Wapalestina 40,000 wamekufa toka hii vita ianze.

Ni mpaka Wapalestina wangapi wafe ili Isael iridhike?

Wengi wa hao marehemu, si ajabu hata hawana uhusiano wowote ule na Hamas.

Enough is enough. This carnage has to end immediately.

Enough is enough. Imetosha na kwa kweli, wahanga wa vita kama hizi wengi ni kwasababu wamezaliwa au imetokea pale ndio kwao.

Ujinga ujinga wa hawa watu wachache wanaodhani bunduki ina mbabe, watulie. Waje kulima au kusogoa huku na wajinga wajinga wenzao. Wanasababisha mateso yasiyohesabika kwa watu wasio na hatia
 
Hi stori yako sio sahihi kabisa imeja mihemko, sijui wa Tanzania tuna ushabiki wa kijinga sanaa........huyu jamaa aliua siku ya jtano katika majibizano ya lisasi na vikosi vya Israel nawenyewe hawakujua kama niyeye.
Kwa mujibu wa mahojiano kati ya jeshi la Israel na bbc ni kwamba.
Israel ilikuwa na taarifa za kiitelijensia juu ya mahali walipo viongozi wakuu wa Hamas, kisha wakablock njia kuu muhimu za mahandaki ya hamas waliyoyakaenga kwa zaidi ya miongo 2 iliyopita.

Baadae Sinwar alitoka kwenye handaki akapanda gholofani kwenye hiyo nyumba na kwa muda wote alikuwa anatembea kama mkimbizi.

Akiwa huko juu aliwafaytulia risasi wanajeshi wa israel, kifaru kikajibu na kusababisha hayo yaliyotokea.

Salamaleko shekh
 
Pia Ayatollah alipiga hesabu kwamba USA iko busy na Ukrain so Hamas watajipigia tu Israel kama ngoma.

Ayatollah mjinga sana.
Aisee! Halafu HAMAS nao walikuwa ni maduanzi kweli. Bila hata kujiuliza mara mbili-mbili, walipoona Ayatollah anawapa mizawadi ya AK 47 nyingi, RPG, mabomu, mafunzo n.k. vichwa vikavimba wakajitumbukizamo.
 
Aliyewashauri hawa jamaa wafanye lile shambulio la October 7 aliwaingiza chaka asee.

Mimi bado naamini kuna njia za amani za kumaliza huu mgogoro baina ya haya mataifa.
Oktoba 7 mwaka huu ama?
 
Wakuu,

IDF wametoa a brand new video inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho kabla hajafariki, ni video ambayo inaibua maswali mengi sana ukiitazama kwa umakini.

Kwenye video hii, Sinwar anaonekana akiwa ameumia mkono na anajificha ficha kwenye makochi na huko mwishoni anaonekana akiinua fimbo na kutaka kupiga hiyo drone.

Kiukweli inatia huruma. Ukiwaza huyu ndio alikuwa Mastermind wa shambulio la Oktoba 7 mwaka jana, unapata mawazo mengi sana.


Na hapa inaonesha mabodyguard wake walikuwa wamemkimbia au wameshafariki.


Ni uthibitisho kuwa Mungu wa Israel ni mkuu kuliko mungu wa magaidi
 
Dah! Anatia huruma sana.

Imetosha sasa. Nadhani kama ni somo watakuwa washalipata.

Wao [Hamas] ni non-state actors. Ni wanamgambo tu. Hawana tofauti na sungusungu.

Hawawezi kupambana na jeshi la Israel linalobebwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, na nchi zingine za magharibi.

Waislamu wenzao wa Misri, Saudia, na kwingineko, hawawaungi mkono vile ambavyo Israel inaungwa mkono na nchi za magharibi.

Taswira za vitoto vidogo vilivyolipuliwa na mabomu huko Gaza zinasononesha sana.

Mji wa Gaza umebaki kuwa magofu tu.

Waisraeli takribani 1,300 na ushee waliuliwa hiyo Oktoba 7, 2023.

Mpaka kufikia sasa, zaidi ya Wapalestina 40,000 wamekufa toka hii vita ianze.

Ni mpaka Wapalestina wangapi wafe ili Isael iridhike?

Wengi wa hao marehemu, si ajabu hata hawana uhusiano wowote ule na Hamas.

Enough is enough. This carnage has to end immediately.
Iran inawashauri vibaya hawa wanamgambo, ila sasa itatosha vita imalizike. Lebanon nao wakatae kuingiliwa na Iran. Ni aibu sana wahuni wanaoungwa mkono na nchi nyingine wanakuwa na nguvu kuliko jeshi la nchi.
 
Dini yenu imebuniwa miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, na kabla hajaondoka alitahadharisha kwamba kutakuja mpinga Kristo ambaye atachinja sana Wakristo, sasa hili tunalishuhudia mnavyochinja Wakristo
Imetabiriwa katika kitabu cha Daniel sikumbuki mstari lakini kuna maneno chukizo la uharibifu litajengwa mahali palipovunjwa hekalu
 
Iran inawashauri vibaya hawa wanamgambo, ila sasa itatosha vita imalizike. Lebanon nao wakatae kuingiliwa na Iran. Ni aibu sana wahuni wanaoungwa mkono na nchi nyingine wanakuwa na nguvu kuliko jeshi la nchi.
Sina uhakika kama Iran inawashauri vibaya.

Wanayo haki ya kuipigania nchi yao.

Tatizo lao hawaungwi mkono na ‘Waarabu’ wenzao.

Wangekuwa wanaungwa mkono na ‘Waarabu’ wenzao, naamini suluhisho lingekuwa limeshapatikana.
 
Hamjawahi kuwa na shukrani kwa Taifa lolote mnaloamini ni la Kikafiri hata kama Taifa hilo litawatendeeni mema mengi.

Ndo maana tunasema Israel iendelee kutoa kipondo kikali zaidi.

Hayo mataifa mnayoona ni ndugu zenu yamewasaidia nini? Saudi Arabia yalipo Makuu ya Dini yenu imewasaidia nini hao ndugu zenu katika imani kule Palestina? Mna unafiki nyingi sana nyie maamuma.

Hata kwenye ulaji na unywaji tu mna unafiki. Mnasema pombe ni haramu ilhali Allah wenu amewaahidi mito ya pombe huko peponi. Si mnywe tu mkiwa duniani tujue moja? Hovyo kabisa hii dini.
Ona unaanza kubwabwaja sasa kama umelishwa usembe!!
We nani kakwambia hatuna shukran!?
Mbona Spain ina uhusiano na mataifa mengi tu ya kiarabu na maisha yanaendelea vizuri.
As well as France.
Kwanini waarabu wamlalamikie USA,UK na Germany peke yake!?
Kwanini wazungu wengine hawalalamikiwi!?
Naona kama najadili na mpuuzi.
Wewe ni wapi umeona kuwa Allah amesema katuandalia pombe!?
Huo uongo ni wapi umeupata!?
Hata kama akiandaa HARAMU NA HALALI VIMETOKA KWAKE.
YEYE NDIYE MUANZILISHI WA KILA KITU.
ANGETAKA WANAUME TUZAE INGETOKEA.
Imekua Haram kwasababu Allah kasema na itakua Halali kwasababu Allah amesema.
Pia usisahau PALESTINE 90% YA MISAADA YAKE HUTOKEA QATAR NA MALAYSIA NA INDONESIA.
Hata hao Hamas anaowa fund ni mataifa ya kiarabu.
 
Back
Top Bottom