Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

There is no such thing as HANA CHA KUPOTEZA.
Kipo mkuu.
Tizama hatua alofikia mwarabu na myahudi je zinafanana!??
Hatua waliofikia waarabu hata ukiwavisha suicide bombs wanakubali dakika sifuri.
 
Asee ila bongo kuna watu ni wachambuzi asee😅😅

Mtu anaandika stori ya kilichotokea kwa uhakika kabisa utafkiri nae alikuwepo akati hayo mambo ya ugomvi wa vita hayajaanza kumbe ni kusoma tu mitandaoni na kuona yanayosemwa na vyombo vya habari tu 😅😅

Dah asee mko vizuri asee me acha niendelea kusoma comments tu..😎
 
Hata Mimi nakuona umejaa store za alkasusu tu. Mnadanganyana tu kuwa hiyo jamii imeibuka 1947 tu. Fatia toka wanaenda utumwani misri walitokea wapi?. Na waliporudi kutoka misri kwa farao.
Ndio maana sitaki kujadiliana na wewe kwasababu huna unalojua.
Hapa inazungumziwa jamii ya wana wa Israel sio taifa la Israel.
Hakuwahi kukuwa na taifa la Israel.
Mwaka 1920 ilikuja proposal ya kuunda taifa la kiarabu na kiyahudi UK ambaye ndiye alikua anaitawala eneo zima alikataa kuundwa kwa taifa la kiyahudi na akaendelea na Mandatory state of Palestine.
Hadi kufikia 1947 ndio resolution ikaletwa ndio akakubali kuundwa kwa taifa la kiyahudi.
Ila kulikua na jamii yao.
Bro nakuomba usini quote ngojea niku block.
 
Hio video imewafadhehesha US na Israel kujidai wana technology zakuona kila kitu, si ajabu hao askari watahukumiwa. Kwanini walichukua video yuko nje ya tunnels na pia yupo ana combat dress. Israel walitaka waonyeshe watu wamemuwa kwenye tunnels ili wasifie technology za US, Germany na UK zinaona kila kitu. Hio kumkuta pale tena walikuwa hata hawajui yupo pale ni aibu kwa Israel, US, UK. Germany hata hao India na France walio tuma drone zao kuspy Sinwar yuko wapi 😄
Ila kauwawa .
 
Hata Hezbollah ulikuwa unawasifia hivi hivi. Ukawa unasema hao siyo hamas, lakin angalia kinachomkuta sasa hivi.
Hizbollah keshaua wanajeshi 300 wa IDF hadi sasa.
Na IDF inaonekana kushindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Sasa hivi wamejificha kwenye buffer zone ya UNIFIL.
Iran ndio usiguse kabisa maana unazungumzia taifa lenye historia kubwa ya vita kuliko nchi yeyote hapo mashariki ya kati.
Nchi iliyopigana vita na nchi kamili Iraq tena ya Saddam Hussein miaka nane mfululizo bila kupumzika.
Usifananishe ni nchi iliyopigana na kundi la warusha manati Hamas mwaka mmoja tu ikapata hasara ya wanajeshi na vifaa.
 
Wadanganye wajinga wenzio,Wajerumani wapi hao wanaokimbilia Turkey ?labda hao wa Bosnia.. hebu tuambie Mehmet Scholl na Mesut Ozil waliocheza timu ya taifa ya Germany' kizazi chao kilifuata nini ujerumani km sio kufagia barabara ?
Asili ya Ozil ni TURKMENI!?
Embu kafuatilie wasanii wakubwa wa Uturuki waimbaji na waigizaji kama hawana asili ya Ujerumani.
Hata kama wamekimbilia huko je hao wajerumani waliokuja Uturuki wakapata uraia na carrier ya sanaa walifuata nini Uturuki?
Si wangebaki Ujerumani!?
Unadhani unaongea na mtu asiyejielewa hapa!?
Mpuuzi wewe.
 
Hizbollah keshaua wanajeshi 300 wa IDF hadi sasa.
Na IDF inaonekana kushindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Sasa hivi wamejificha kwenye buffer zone ya UNIFIL.
Iran ndio usiguse kabisa maana unazungumzia taifa lenye historia kubwa ya vita kuliko nchi yeyote hapo mashariki ya kati.
Nchi iliyopigana vita na nchi kamili Iraq tena ya Saddam Hussein miaka nane mfululizo bila kupumzika.
Usifananishe ni nchi iliyopigana na kundi la warusha manati Hamas mwaka mmoja tu ikapata hasara ya wanajeshi na vifaa.
Wewe tunakujua,.

Basi tufanye Israel inashindwa na Hamas huko Gaza.
 
Haya yametokea sana km history....
Acha wajifariji, lakini nani yupo ktk hasara inajulikana
 
Dah! Anatia huruma sana.

Imetosha sasa. Nadhani kama ni somo watakuwa washalipata.

Wao [Hamas] ni non-state actors. Ni wanamgambo tu. Hawana tofauti na sungusungu.

Hawawezi kupambana na jeshi la Israel linalobebwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, na nchi zingine za magharibi.

Waislamu wenzao wa Misri, Saudia, na kwingineko, hawawaungi mkono vile ambavyo Israel inaungwa mkono na nchi za magharibi.

Taswira za vitoto vidogo vilivyolipuliwa na mabomu huko Gaza zinasononesha sana.

Mji wa Gaza umebaki kuwa magofu tu.

Waisraeli takribani 1,300 na ushee waliuliwa hiyo Oktoba 7, 2023.

Mpaka kufikia sasa, zaidi ya Wapalestina 40,000 wamekufa toka hii vita ianze.

Ni mpaka Wapalestina wangapi wafe ili Isael iridhike?

Wengi wa hao marehemu, si ajabu hata hawana uhusiano wowote ule na Hamas.

Enough is enough. This carnage has to end immediately.
Hakuna! Mpaka wafe wote tu!
 
Ukweli ni kwamba Israel imewanyanyasa sana Wapalestina huko Gaza.

Oktoba 7 haikutokea tu bila sababu. Huwezi kunyanyasa watu kwa muda wote huo halafu kusiwe na resistance.

Huyo Sinwar mwenyewe kazaliwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Khan Yunis.

Maisha yake yote kayaishi chini ya manyanyaso ya Israel.

Siwalaumu Wapalestina kwa kupigania utu wao na heshima yao. Nao ni binadamu wanaostahili heshima kama ilivyo kwa binadamu wengine.

Hata wakiwaachia hao mateka, manyanyaso yataendelea tu.

Suluhisho hapo ni Israel kuacha kuwanyanyasa Wapalestina. Kuwaachia wafungwa wote wa Kipalestina. Hamas kuwaachia hao mateka.

Na kukubaliana kila mmoja awe na taifa lake lililo huru.

Imetosha sasa.
Haijatosha wala nini! Kazi iendelee!
 
Ukumbuke ugomvi haujaanza Oktoba 7.
Ulianza Agosti 23.
Israel aache ukorofi halafu uone kama atasumbuliwa.
Hayo makombora ya Iran sahau maana akithubutu utasahau kama kuna Israel.
Iran sio mwarabu ni muajemi.
Jifariji tu we jamaa hua mnasema hivi hivi.
 
Back
Top Bottom