Israel yaamrisha Misri iondoe wanajeshi wake eneo la Rafah, inataka kupapiga na ipakalie

Israel yaamrisha Misri iondoe wanajeshi wake eneo la Rafah, inataka kupapiga na ipakalie

emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
Mkuu huwa unafurahisha sana na comments zako.Tangu kujiapiza hawatoingia Gaza na sasa hukosi vijisababu vya kujipa moyo baada ya IDF kuwa mitaani Gaza
Nani kakuambia Israel wako Gaza City, wewe unaijua AL Shujaia iko wapi? huo mji upo East Gaza kule North pia walishia barabara ya Salah Din Ayoub anaye kuambia Israel alifika city centre huyo anaota.

Na hio miji anapokea kichapo ile mbaya kakimbia Al Shujaiya sa kabaki Rafah na Jabaliya na bado anapokea kichapo na kote huko ni mbali na Gaza mjini.




View: https://youtube.com/shorts/wSt-qVplvsg?si=57wwN5_SzhzQWtk-
 
Safari hii Hamas hataweza kupumua tena, watakwisha kabisa. Myahudi hataki tena kucheka na kima.
Wewe ndio kina namba Moja na hao mabaradhuli wako mpka Leo hawajafika lengo pamoja na kuungwa mkonno kihali na Mali na mabwana zao wa Magharib hao mabaradhuli ni weupesa kulinganisha na vijana wa kazi unasifia usenge wa kuua watoto na wanawake

Hii ngoma usichukulie kirahisi kihivyo Marekani keshaanza mnyoshe kilo hiyo BARADHULI nyetanahu na huwenda wasiendelee kumsaidia kuchinja wanawake na WATOTO usisahau kwenda kupewa baraka kanisani Maskofu washaelekezwa tayari
 
Nani kakuambia Israel wako Gaza City, wewe unaijua AL Shujaia iko wapi? huo mji upo East Gaza kule North pia walishia barabara ya Salah Din Ayoub anaye kuambia Israel alifika city centre huyo anaota.

Na hio miji anapokea kichapo ile mbaya kakimbia Al Shujaiya sa kabaki Rafah na Jabaliya na bado anapokea kichapo na kote huko ni mbali na Gaza mjini.




View: https://youtube.com/shorts/wSt-qVplvsg?si=57wwN5_SzhzQWtk-

Kuna akili nyingine inabid uwe zuzu aisee. Barabara ya Saladin sasa wanaishiaje wakati ndio barabara kuu kutoka north to south na jabalia ni mji ni kama tuseme eneo la bugurun katika wilaya ya ilala na ndipo ilipo kambi. Hiv unajua gaza ni kieneo kidogo kama wilaya ya ilala. Jitahdin muwe mnasafiri Chief msiishi kwa kuhadisiwa kila kitu wewe. Muwe mnatenga hata kahela kidogo mwisho wa mwaka unaenda uuone hata msikiti wa Al Aqsa nini history yake nk usiishi kwa kulishwa matango pori mzee.
 
Tupate matangazo kidogo! Hii idadi wanatoa wao! Zakuambiwa changanya na..............


Fourteen Israeli soldiers have been killed fighting in Gaza over the weekend, the Israeli military has said.


Source: Sky news: Sunday 24 December 2023 13:38, UK
Kwa hiyo idadi halisi ni ipi ya wanajeshi wa mazayuni ambao wameuwawa na wapigania uhuru wa Hamas?
 
Kuna akili nyingine inabid uwe zuzu aisee. Barabara ya Saladin sasa wanaishiaje wakati ndio barabara kuu kutoka north to south na jabalia ni mji ni kama tuseme eneo la bugurun katika wilaya ya ilala na ndipo ilipo kambi. Hiv unajua gaza ni kieneo kidogo kama wilaya ya ilala. Jitahdin muwe mnasafiri Chief msiishi kwa kuhadisiwa kila kitu wewe. Muwe mnatenga hata kahela kidogo mwisho wa mwaka unaenda uuone hata msikiti wa Al Aqsa nini history yake nk usiishi kwa kulishwa matango pori mzee.
We mimi nilicho ongea City centre kutoka Jabaliya ni karibu km 6 hivi km 6 unadhani mchezo kwenye vita 😄

Gaza yote ni km 35 au 40 afu Al salah din ndio mbali kabisa na City centre karibu km 25 t0 30 hapo inagawa North na South.

Afu huko Salah Al din kakimbia pale sehemu za Alshujaiya.

We unadhani km 1 tu kwenye mambo ya vita ni kipande kikubwa sana iwe km 6 😄

Afu je wameteka mji au wanapokea kipigo hilo ndio swali?

Jeshi lina Air force tena sio ndege zake tu zinapiga pamoja na US na UK, France na wana navy na America ana carries yeye na muingereza na mfaransa zinarusha cruise missiles hapo Gaza, wana vifaru very expensive na bado kamji hata km 40 hakafiki bado mmeshindwa kukateka

Afu mnajidai nyie masuper ambao are known to be of the most equipped militaries across the globe 😄

Lazima Jeshi la Israel wawe makuku tu sio askari hao 😄
 
We mimi nilicho ongea City centre kutoka Jabaliya ni karibu km 6 hivi km 6 unadhani mchezo kwenye vita 😄

Gaza yote ni km 35 au 40 afu Al salah din ndio mbali kabisa na City centre karibu km 25 t0 30 hapo inagawa North na South.

Afu huko Salah Al din kakimbia pale sehemu za Alshujaiya.

We unadhani km 1 tu kwenye mambo ya vita ni kipande kikubwa sana iwe km 6 😄

Afu je wameteka mji au wanapokea kipigo hilo ndio swali?

Jeshi lina Air force tena sio ndege zake tu zinapiga pamoja na US na UK, France na wana navy na America ana carries yeye na muingereza na mfaransa zinarusha cruise missiles hapo Gaza, wana vifaru very expensive na bado kamji hata km 40 hakafiki bado mmeshindwa kukateka

Afu mnajidai nyie masuper ambao are known to be of the most equipped militaries across the globe 😄

Lazima Jeshi la Israel wawe makuku tu sio askari hao 😄
Nimekuambia Israel ipo Gaza na vita hii sio vita ya front ni gorilla war ndio maana raia pia wanakufa kwa wingi maana hao hamas wanajificha kwenye maeneo ya watu so lazima upunguze mauaji ya watu. Kufa kwa askari ni suala la kuwaida. Kama ungejifunza Wakat wa vita ya mwaka 1973, ndio ungejua ninamna gan Israel ilikuwa ishashindwa na misri na waliuawa kweli. Lakin mwisho wa siku ninani mshindi wa vita subir vifike mwisho ndio utajua. Huwez kusema wanauawa then mbona nyie wauaji hamuendi tena kuteka maeneo Israel au ukishaua unajificha nyuma ya mkeo ndio kushinda vita huko
 
Hebu wafyeke hao hamas chap tuendelee na mission nyingine
mtasema ivyo ivyo mwishowe 2024 itaisha vita haijaisha sijui mtawasaidia vp mashoga kumaliza hii vita...japo papa kasema yabarikiwe ivyo ivyo yatabakwa tu Hamas
 
mtasema ivyo ivyo mwishowe 2024 itaisha vita haijaisha sijui mtawasaidia vp mashoga kumaliza hii vita...japo papa kasema yabarikiwe ivyo ivyo yatabakwa tu Hamas
Uislam ndiyo source ya ushoga, halafu mnaukana, yaani mnajitekenya na kucheka wenyewe 😄😄😄
 
you are funny...
Surely.......yaani ukienda na vivid examples kwa upande wa kwetu huku Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) yaani ukanda wa pwani yote kuanzia Zanzibar,pemba unguja hadi pwani yenyewe,

Suala la ushoga lilitawala mapema sana huko karne ya 19C na lililetwa na nani ni hao wanaojiita wastaarabu (Muslims)
 
Surely.......yaani ukienda na vivid examples kwa upande wa kwetu huku Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) yaani ukanda wa pwani yote kuanzia Zanzibar,pemba unguja hadi pwani yenyewe,

Suala la ushoga lilitawala mapema sana huko karne ya 19C na lililetwa na nani ni hao wanaojiita wastaarabu (Muslims)
ktk kusoma kwangu kote mambo yaliyotokea karne sijawahi ona kitu kama hicho labda we ndo unambie nikasome wapi...ila swala ushoga pale israel ni kitu kinachotambulika dunia nzima,na papaa mutu ya rome juzi kakazia humo kwamba MBARIKIWE BARABARA
 
ktk kusoma kwangu kote mambo yaliyotokea karne sijawahi ona kitu kama hicho labda we ndo unambie nikasome wapi...ila swala ushoga pale israel ni kitu kinachotambulika dunia nzima,na papaa mutu ya rome juzi kakazia humo kwamba MBARIKIWE BARABARA
Miaka ya 1980's nilikuwa napewa onyo ukienda pwani haswa Zanzibar ukipewa offer kataa, 1990's nikaambiwa ukidondosha shilling,wakati wa kuokota kuwa makini hizo zote ni jurisdiction za upuuzi huo.

Wanaume kutembea wananengua imetokea wapi zaidi ya pwani yaani mtu unatembea kama unataka kudondoka.

-Kuongea kwa madoido mwanaume badala ya kukaza sauti source ni wapi?
 
Back
Top Bottom