Israel yaamrisha Misri iondoe wanajeshi wake eneo la Rafah, inataka kupapiga na ipakalie

Israel yaamrisha Misri iondoe wanajeshi wake eneo la Rafah, inataka kupapiga na ipakalie

Miaka ya 1980's nilikuwa napewa onyo ukienda pwani haswa Zanzibar ukipewa offer kataa, 1990's nikaambiwa ukidondosha shilling,wakati wa kuokota kuwa makini hizo zote ni jurisdiction za upuuzi huo.

Wanaume kutembea wananengua imetokea wapi zaidi ya pwani yaani mtu unatembea kama unataka kudondoka.

-Kuongea kwa madoido mwanaume badala ya kukaza sauti source ni wapi?
MBARIKIWE km alivyosema PAPAA YA ROME
 
Waliuwa ndugu yetu kwa sababu sisi hatuwezi kuwafanya chochote
Lakini jeshi la Israel kiboko ya magaidi toka enzi za mfalme Sauli wanafanya kazi yao vema.
 
Back
Top Bottom