Israel yaanza kufunga Balozi zake kama tahadhari ya kushambuliwa na Iran

Israel yaanza kufunga Balozi zake kama tahadhari ya kushambuliwa na Iran

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Hali siyo nzuri huko madhariki ya kati

Israel imeanza chukua hatua za tahadhari kwa kufunga ofisi zake za ubalozi kwenye nchi mbalimbali duniani zake ikihofia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran.

Hatua hizi zinafuatia shambulizi lililofanywa kwenye makazi ya balozi wa Iran nchini Syria na kuoelekea kifo cha Jenerali wa Jeshi la Iran, msaidizi wake pamoja na watu wengine watatu.

Israel shuttering embassies amid revenge threats from Iran – reports

Today, 8:35 pm
Source: Times of Israel

Jerusalem is shuttering embassies around the world amid threats from Iran to retaliate for a strike earlier this week on one of its consular buildings in Damascus that it blames on Israel, according to Hebrew media reports.

Maariv reports that in some locations, embassy employees have been asked not to come to work in the coming days.

While Israel has not claimed responsibility for Monday’s attack, which killed Iran’s top Islamic Revolutionary Guard Corps general in Syria along with his deputy and five other IRGC officers, Tehran has blamed Jerusalem and vowed revenge. The IRGC is a US-designated terror group.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hali siyo nzuri huko madhariki ya kati

Israel imeanza chukua hatua za tahadhari kwa kufunga ofisi zake za ubalozi kwenye nchi mbalimbali duniani zake ikihofia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran.

Hatua hizi zinafuatia shambulizi lililofanywa kwenye makazi ya balozi wa Iran nchini Syria na kuoelekea kifo cha Jenerali wa Jeshi la Iran, msaidizi wake pamoja na watu wengine watatu.

Israel shuttering embassies amid revenge threats from Iran – reports

Today, 8:35 pm
Source: Times of Israel

Jerusalem is shuttering embassies around the world amid threats from Iran to retaliate for a strike earlier this week on one of its consular buildings in Damascus that it blames on Israel, according to Hebrew media reports.

Maariv reports that in some locations, embassy employees have been asked not to come to work in the coming days.

While Israel has not claimed responsibility for Monday’s attack, which killed Iran’s top Islamic Revolutionary Guard Corps general in Syria along with his deputy and five other IRGC officers, Tehran has blamed Jerusalem and vowed revenge. The IRGC is a US-designated terror group.
Si Iran walisema jana masaa 48. Yamebaki masaa 20
 
[emoji1787][emoji1787] wana wa israeli wanajiandaa maana hawajui siku wala saa mwana wa ajemi atakapofika.
Ni swala la mda
GJiV0HoXsAA1Rk3.jpeg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hali siyo nzuri huko madhariki ya kati

Israel imeanza chukua hatua za tahadhari kwa kufunga ofisi zake za ubalozi kwenye nchi mbalimbali duniani zake ikihofia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran.

Hatua hizi zinafuatia shambulizi lililofanywa kwenye makazi ya balozi wa Iran nchini Syria na kuoelekea kifo cha Jenerali wa Jeshi la Iran, msaidizi wake pamoja na watu wengine watatu.

Israel shuttering embassies amid revenge threats from Iran – reports

Today, 8:35 pm
Source: Times of Israel

Jerusalem is shuttering embassies around the world amid threats from Iran to retaliate for a strike earlier this week on one of its consular buildings in Damascus that it blames on Israel, according to Hebrew media reports.

Maariv reports that in some locations, embassy employees have been asked not to come to work in the coming days.

While Israel has not claimed responsibility for Monday’s attack, which killed Iran’s top Islamic Revolutionary Guard Corps general in Syria along with his deputy and five other IRGC officers, Tehran has blamed Jerusalem and vowed revenge. The IRGC is a US-designated terror group.
Kumbe nawenywewe wanakuwaga na uwoga pale wajuba wanapotaka kufanya jambo lilelile walilolofanya wao🤣🤣
 
Iran wanasubiri wafanye mazishi alafu kesho ni Ijumaa ya mwisho ya Ramadhan ambayo Iran huwa wana Quds Day.
Hivyo kwa mahesabu ya Israel kisasi ni kesho.
Mimi sidhani kama Iran anaweza mshambulia Israel direct maana hapo itakua ni kuingia vitani ambapo kwa tension iliyopo nchini mwake Iran itakua ni risky move kwa sustainability ya utawala wake. Iran anahitaji amani sana nchini mwake kwa sasa. Labda anaweza shambulia tu maslahi ya Israel maeneo mengine duniani.
 
Back
Top Bottom