Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787] umepanic bwanamdogoKatawaze uswali
CIA wa mchongo unawaamini? Wanajishtukia Iran atakuja siku na saa ambayo hakuna anaejua ndio maana tahadhari zinachukuliwa hakuna anaejua.Masaa 48 bado?
Nasi tunakesha usiku kumuomba aliyeziumba Mbingu na Ardhi na Vilivyomo kuwa ikiwezekana na atokee kiumbe mwingine mfano wa HITLER akawapunguza hawa wana wa Israel japo hata nusu ya ile idadi ya Hitler & ya Mussolin, aaamiiinNimepokea simu kutoka kwa mpwa wangu anasema Tel Aviv leo ni siku ya 3 watu hawalali wanashinda kwenye mahandaki. Kama ni kwa mapenzi yake Mungu kikombe hiki kiwaepuke.
Hii ni ile meli ya uingereza iliyozamishwa na vijana wa Iran Ayatollah wa Houth wa kule Yemen 🇾🇪 nadhani.Kuna maamuzi waweza Fanya halafu ukayajutia.View attachment 2953998View attachment 2953998
Vibaya hivyo mkuu 🤣Nasi tunakesha usiku kumuomba aliyeziumba Mbingu na Ardhi na Vilivyomo kuwa ikiwezekana na atokee kiumbe mwingine mfano wa HITLER akawapunguza hawa wana wa Israel japo hata nusu ya ile idadi ya Hitler & ya Mussolin, aaamiiin
ACHA UONGO UMEEDIT BAADHI YA MANENO KUONYESHA ISRAEL IMEFUNGA BAROZI ZAKE DUNIANI....SIO KWELI KWANINI UNAONGEA UONGO ILI IWE NINI?Wadau hamjamboni nyote?
Hali siyo nzuri huko madhariki ya kati
Israel imeanza chukua hatua za tahadhari kwa kufunga ofisi zake za ubalozi kwenye nchi mbalimbali duniani zake ikihofia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran.
Hatua hizi zinafuatia shambulizi lililofanywa kwenye makazi ya balozi wa Iran nchini Syria na kuoelekea kifo cha Jenerali wa Jeshi la Iran, msaidizi wake pamoja na watu wengine watatu.
Israel shuttering embassies amid revenge threats from Iran – reports
Today, 8:35 pm
Source: Times of Israel
Jerusalem is shuttering embassies around the world amid threats from Iran to retaliate for a strike earlier this week on one of its consular buildings in Damascus that it blames on Israel, according to Hebrew media reports.
Maariv reports that in some locations, embassy employees have been asked not to come to work in the coming days.
While Israel has not claimed responsibility for Monday’s attack, which killed Iran’s top Islamic Revolutionary Guard Corps general in Syria along with his deputy and five other IRGC officers, Tehran has blamed Jerusalem and vowed revenge. The IRGC is a US-designated terror group.
Dunia inakosa utulivu kwasababu yao, kuna Majamaa yanaitwa THE LORD ROTHSCHILD ,Familia hii ndio chanzo cha kila Shari uionayo na kuisikia katika ardhi hiiVibaya hivyo mkuu 🤣
Kwanini umuite muongo bila kumtaka athibitishe? Maana akitupatia trusted source wewe ndio utageuka kuwa muongo!ACHA UONGO UMEEDIT BAADHI YA MANENO KUONYESHA ISRAEL IMEFUNGA BAROZI ZAKE DUNIANI....SIO KWELI KWANINI UNAONGEA UONGO ILI IWE NINI?
LINK HII HAPA YA ULIPOTOA HII HABARI FARA MMOJA WEWE
View attachment 2954012
Wadau hamjamboni nyote?
Hali siyo nzuri huko madhariki ya kati
Israel imeanza chukua hatua za tahadhari kwa kufunga ofisi zake za ubalozi kwenye nchi mbalimbali duniani zake ikihofia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran.
Hatua hizi zinafuatia shambulizi lililofanywa kwenye makazi ya balozi wa Iran nchini Syria na kuoelekea kifo cha Jenerali wa Jeshi la Iran, msaidizi wake pamoja na watu wengine watatu.
Israel shuttering embassies amid revenge threats from Iran – reports
Today, 8:35 pm
Source: Times of Israel
Jerusalem is shuttering embassies around the world amid threats from Iran to retaliate for a strike earlier this week on one of its consular buildings in Damascus that it blames on Israel, according to Hebrew media reports.
Maariv reports that in some locations, embassy employees have been asked not to come to work in the coming days.
While Israel has not claimed responsibility for Monday’s attack, which killed Iran’s top Islamic Revolutionary Guard Corps general in Syria along with his deputy and five other IRGC officers, Tehran has blamed Jerusalem and vowed revenge. The IRGC is a US-designated terror group.
Kwa taarifa Yako Israel mwenyewe anaitaka Iran iingie kwenye hii mbanga amalizane nae.....Wadau hamjamboni nyote?
Hali siyo nzuri huko madhariki ya kati
Israel imeanza chukua hatua za tahadhari kwa kufunga ofisi zake za ubalozi kwenye nchi mbalimbali duniani zake ikihofia mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran.
Hatua hizi zinafuatia shambulizi lililofanywa kwenye makazi ya balozi wa Iran nchini Syria na kuoelekea kifo cha Jenerali wa Jeshi la Iran, msaidizi wake pamoja na watu wengine watatu.
Israel shuttering embassies amid revenge threats from Iran – reports
Today, 8:35 pm
Source: Times of Israel
Jerusalem is shuttering embassies around the world amid threats from Iran to retaliate for a strike earlier this week on one of its consular buildings in Damascus that it blames on Israel, according to Hebrew media reports.
Maariv reports that in some locations, embassy employees have been asked not to come to work in the coming days.
While Israel has not claimed responsibility for Monday’s attack, which killed Iran’s top Islamic Revolutionary Guard Corps general in Syria along with his deputy and five other IRGC officers, Tehran has blamed Jerusalem and vowed revenge. The IRGC is a US-designated terror group.
Israel has notified the United States that if Iran makes the decision to Target the Territory of Israel, then they will be forced to Respond.Iran wanasubiri wafanye mazishi alafu kesho ni Ijumaa ya mwisho ya Ramadhan ambayo Iran huwa wana Quds Day.
Hivyo kwa mahesabu ya Israel kisasi ni kesho.
Iran itajutia hii😀Israel has notified the United States that if Iran makes the decision to Target the Territory of Israel, then they will be forced to Respond.
US ndio anaitaka Tehran, Israel hana ubavu wa kupambana na Hezbollah ndio aimudu Iran?Kwa taarifa Yako Israel mwenyewe anaitaka Iran iingie kwenye hii mbanga amalizane nae.....
Nimekuwekea hii screen shot tazama MUDA netanyahunametoka kusema
Nanukuu:---kuhusu vitisho vya Iran: 'Wale wanaotudhuru au kupanga kutudhuru, tutawadhuru' mwisho wa kunukuuu
Nimeweka mpaka link alikoedit hiyo taarifa yake....wafuasi wa mudi mkishakunywaga uji wa Pilipili huwa mnalewaga?Kwanini umuite muongo bila kumtaka athibitishe? Maana akitupatia trusted source wewe ndio utageuka kuwa muongo!
Tulia Mkuu na ondoa Munkari ,haijadiliwi dini hapa,Nimeweka mpaka link alikoedit hiyo taarifa yake....wafuasi wa mudi mkishakunywaga uji wa Pilipili huwa mnalewaga?
MUDA ndio shahidi mzuri.....balaa analofanya Israel Gaza na Kwa hamas unafikir Hezbollah na Iran hawaoni?...jibu wanaona unafikir nani wa kujitoa ufahamu wa kuingia direct war na Israel?....wote wapo kimya na Israel anawafata huko huko wanakofanya mipango yao na kuwaua.....US ndio anaitaka Tehran, Israel hana ubavu wa kupambana na Hezbollah ndio aimudu Iran?
Hezbollah na Houth tu amemudu kwa Backup kutoka Washington
Umeingia cha Mabubu
Na wewe unaamini hili ?Nimepokea simu kutoka kwa mpwa wangu anasema Tel Aviv leo ni siku ya 3 watu hawalali wanashinda kwenye mahandaki. Kama ni kwa mapenzi yake Mungu kikombe hiki kiwaepuke.
Unawashwa? Kuna sehemu nimekutag au mdudu anakunyevua....Tulia Mkuu na ondoa Munkari ,haijadiliwi dini hapa,
Kama huwezi hizi mambo waachie wanaume
According the CIA, ask the CIA.Masaa 48 bado?