Israel yaanza kufunga Balozi zake kama tahadhari ya kushambuliwa na Iran

Iran hana instability yoyote ya maana ndani kwake. Hao wanamgambo wa Balochistan ni wa kawaida kama wa nchi nyingine, kinachowabeba wao ni kushambulia kigaidi-gaidi kama ambavyo Israel inateseka na wanamgambo wengine.

Alafu Iran ni mojawapo ya nchi chache zenye watu wafia nchi kupindukia, ukizingatia almost wote ni Washia. Na uzalendo wao hauna mambo ya sijui mimi siipendi serikali yani ukiwavamia wakapigwa propaganda nzuri haijalishi unakuja na nini mtatoana jasho. Kuna nchi zina watu wenye roho ngumu na Iran ipo.

Kwa jana nilivyoona hotuba ya Ayatollah na majenerali wake hasa mkuu wa vikosi vya makombora General Amir Hajizadeh hawaonyeshi confidence ya kuchukua hatua. Ayatollah aliongea kama rhetoric tu, ana utu uzima na busara kujua madhara makubwa yatakayotokea. Ila majenerali watakuwa tiyari ingawa wanasubiri kauli yake.

Kwa maoni yangu:
1. Wataalamu na washauri wa usalama wa Iran wanamshawisi Ayatollah asichukue hatua kubwa sana ili kuleta response kubwa kutoka Israel.

2. Majenerali na wanajeshi wa Iran wako tiyari kwa lolote, ni kawaida ya majenerali kukurupuka maana huzingatia vita tu sio siasa za vita hata uwafundishe namna gani. Kila jeshi huwa lina ile kujiamini sana na Iran they are very good kwenye hilo.

3. Ikitokea Iran ikatoa response ndogo ya kawaida, Israel inaweza funika kombe. Kuna ishara za kidiplomasia za "tufanye yaishe" kama ambavyo Iran ilipolipiza kisasi cha General Qasem Soleimani iliitaarifu Marekani wapi itashambulia na lini, Marekani ikajipanga alafu Iran ikarusha makombora kwenye rami na runway za base. Marekani ikashika lake, usalama wa wanajeshi wake uwanjani hakuna aliyekufa wala kujeruhiwa, Iran ikashika lake "ona tumelipiza kisasi" na raia wakashangilia.

4. Ikitokea Iran ikajibu vikali, Israel inajibu vikali maana kwenye masuala ya kusamehe itoe.

Tena kwa huo mtazamo wako ndio uko kinyume, siku ukiona Iran ina mkanganyiko wa ndani ujue ndio iko hatihati kuanzisha vita na jirani.
 
US ndio anaitaka Tehran, Israel hana ubavu wa kupambana na Hezbollah ndio aimudu Iran?
Hezbollah na Houth tu amemudu kwa Backup kutoka Washington
Umeingia cha Mabubu
Mbona hujasema ambavyo Iran inashindwa na wanamgambo wa Balochistan?
 
Israel has notified the United States that if Iran makes the decision to Target the Territory of Israel, then they will be forced to Respond.
Leo Biden na Netanyahu waliongea kwa dakika 45. Mashabiki wa Iran walifurahi Netanyahu anafanyiwa upasuaji wakadai atakuwa hawezi kuongoza kwa muda mrefu, sijui walidhani amelazwa Mwananyamala na madaktari wake ni kama wetu hawa wanaotapeliwa na Kalynda
 
⚡Netanyahu says Iran has been working against Israel for years, and therefore Israel is operating against Iran and its proxies — Reuters
 
JUST IN: Reuters reports Iranian officials saying response over Damascus strike will be 'limited and aimed at deterrence'.
 
Prime Minister Netanyahu on the Iranian threats.

"For years, Iran has been working against us both directly and through its proxies, and therefore Israel has been working against Iran and its proxies, both defensively and offensively.

We know how to defend ourselves and we will act according to the simple principle that whoever hurts us or plans to hurt us, we will hurt them.''

Via @IsraelWarRoom
 
Iran kumbe tishio hivyo sasa wayahudi wa Bomba mbili wanatuambia Iran hamna kitu,
 
Fake news
View: https://twitter.com/amjadt25/status/1775990085327954172?t=vXdnTluwsNE8AQ4JuB6h4Q&s=19
 
Walisema Iran au walisema marekani CIA kuwaambia Israeli? Ukiwa umelewa gongo saahizi uwache kuandika.
Waisrel wa bonyokwa hao usihangaike nao wanaropoka tu, wengine wanakwambia Putin alitangaza ataimaliza Ukraine ndani ya saa 72 ukimwambia leta ushahidi anakwita mvaa kobazi, mara Ooh Pakistan tu ilimtoa jasho Mwiran sembuse Mwisrael sasa sijajua sijui ni brainwashed efected or downpayments ila waafrika dini zimetuathiri pakubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…